Usanii wakati wa kumuaga Ngwea

Usanii wakati wa kumuaga Ngwea

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,318
Nipo Mlimani city, awali nilikua Mwenge mademu wapo saloon kibao wakijiandaa kwa mtoko wa kesho.
Sa iv npo Mlimani city, maceleb kibao wanajinunulia viwalo na miwani ya tinted maalum kwa ajili ya kumuaga kipenzi chao Ngwea.
Tutegemee kesho watu kuzuga wamezimia hasa akina Wema, tinted za kumwaga na show off za masharabaro.
 
Aaaah aaj yani apo ndo wanapopapendag wabongo celebrities,shida tupu,iende ikaazime magari ya watu ili iuzie sura tabu kweli
 
mbona walishabadilisha kwmb mwl utafika kesho sa8 ila kuagwa n j3 kuanzia saa2-6 leaders then moro.
 
poda na mafaundesheni yatabanduka
 
Watakao piga suti nyeusi nao kama kawa.
 
pumbafu hao wanaofanya shoping wote alafu kuna wasanii flani wa bongo move kila siku wanauzaga sura pale mlimani sity so bad hawana hata magari utaona wanaletwa na lifti huku sura zaoziking'aa utadhani wanaenda kutafuta mabwana ukiwafuatilia hawana walichofata bar hawapo wanazunguka tu mule ndani na vitambaa vyao vikining'inia kwenye makalio tena wanaume iko siku ntawataja humu mana watu wote wamewachoka.
 
yaaani kamera ikiekekezwa kwao tu wote wznazimiaaa..hahaaaa bongo tambarare sanaaaaa

Ikumbukwe ni Tz pekee neno USANII lina maanisha pia "kukosa ukweli; mtafutaji kwa njia zisizokuwa nyoofu, mk). Hawa ni WASANII KWELI KWELI! Kesho kutwa hakuna rangi utaacha kuona huko viwanja vya Leaders.
 
Lazima wajiandae..c unajua tena kuvizia Kemera za shingongo ...kudadeki zao....wakat Yuko alosto wote walimkimbia...adi Yule ---- mmoja akamdunda cowwizy wa watu...kesho utaona msg zao kweny instagram
 
Rip mangwea the world king of swahili hiphop free style!
 
watawatafuta wapiga picha wao kesho yake wauze sura kwenye magazeti na blog zao ...
 
Dar raha hadi basi.....full wapenda matukio, yawe ya raha au karaha kwao furaha
 
pumbafu hao wanaofanya shoping wote alafu kuna wasanii flani wa bongo move kila siku wanauzaga sura pale mlimani sity so bad hawana hata magari utaona wanaletwa na lifti huku sura zaoziking'aa utadhani wanaenda kutafuta mabwana ukiwafuatilia hawana walichofata bar hawapo wanazunguka tu mule ndani na vitambaa vyao vikining'inia kwenye makalio tena wanaume iko siku ntawataja humu mana watu wote wamewachoka.

wataje mkuu!!!!:yell:
 
Back
Top Bottom