Usaliti unauma

Usaliti unauma

Mimi nimedumu 7 years kwenye mahusiano lakn mwaka huu ameniacha,simu hapokei wala sms hajibu,nilimgharamia kama wew na sasa ni mwalimu kaniacha,ila sina stress mana nimewapanga balaa
1.Kuna nurse 2
2.Kuna mwalimu 1
3.Mfanyabiashara 1
Jumla 4
Ni dhambi kubwa sana kuwa na mwanamke mmoja hapa duniani
samahan wewe ni askofu?, n kweli hakuna dhambi kubwa, kama kuwa na mwanamke mmoja!! n pm ka huyo alo kuzingua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii post ni ya mwaka 2018? Hivi ninyi vijana hua hamuelewi? Demu hasomeshwi
 
Mwaka 2010 niliingia katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja mwanafunzi wa kidato cha 5.

Tulidumu kwa muda mrefu sana kwani alikua akisoma jitegemee sec school nilikua nikimuhudumia vitu mbali mbali vya shuleni mfano pesa ya matumizi na kadharika japo Ada ya shule alikua akilipiwa na wanafamilia yake ususani ndugu zake.

Mpaka alipomaliza kidato cha sita tulikua bado wapenzi na nilikua nikimjali kwa kila hali na kumsaidia shida zake kadri ya uwezo wangu.
Mwaka 2012 akajiunga na chuo cha ualimu kwa ngazi ya sekondary ikambidi akakae huko huko Hosteli lakini bado nilikua karibu nae kwa mawasiliano kwani alienda kusomea mkoani mbeya.

Sikusita kumsaidia japo yupo mbali nilikua nikimsaidia mambo mbali mbali ikiwemo pesa ya matumizi na hata nguo pia n.k.

Mpaka alipomaliza mafunzo yake ya Diploma mwaka 2014 hakubaatika kupata ajira ya moja kwa moja hivyo aliludi kukaa nyumbani kwanza kusubili ajira hapo tulikua karibu saanaa na kupanga mipango mingi ya kimaisha kwa wakati huo na baadae pamoja na kukubaliana kuja kufunga ndoa.

Mwaka 2016 akabaatika kupata nafasi ya kujiunga na JKT kwa kujitolea na yote hilikua ni kwa juhudi zangu kwani nilitafuta mtu wa kumuunganishia si unajua siku hizi ili kupata nafasi JKT ni lazima uwe na mtu wa kukushika mkono hasa ukiwa na elimu ya juu.

Akafanikiwa kumaliza mafunzo ya jkt na kupangiwa kambi kwa ajili ya kujitolea kusubili Ajira kwa kuwa ana elimu ya juu akuchelewa kuchukuliwa na JWTZ na kwenda kupitia Kozi ya JWTZ baada ya kuludi uko na kuapishwa kuwa mwanajeshi rasmi alianza kubadilika kwa upande wangu nilishindwa kuelewa kabisha ni mwaka huu 2018.

Alikua mtu wa tofauti sana simu zangu hapokei kwa wakati msg ajibu yaani niliumia saaana.

Nikamuomba tuonane tuongee kwa kina nini tatizo Alichonijibu sikutegemea.

Nilijibiwa hivi....FANYA YAKO NA MIMI NIFANYE YANGU NASHUKURU KWA UKARIMU WAKO NA KUWA MWEMA KWANGU KWA KIPINDI CHOTE AHSANTE.

Niliumia sana sikuelewa ni kwa nini ameamua kunifanyia hivi au labda nimemkosea lakini cha ajabu aliniblock kila kona
Facebook
Whatsapp
SMS
Call

Yaani sikutegemea inauma sana
Nawaombeni wanawake kuweni na Moyo wa huruma pia mkumbuke fadhira na hutu alio kufanyia mtu Usika...
Pole sana mkuu shit happens all the time
Binafsi huwaga siwekezi kabisa kwa wanawake
RAHA TUPATE WOTE IWEJE GHARAMA ZIWE KWANGU A BIG NO
 
Hii ni mara ya pili nasikia hii kitu ya kuondolewa uraia, Hii ikoje mkuu?
Mshana Jr aliwahi uongelea hii kitu kwenye mambo ya kidini lakini inatumika hata huko jeshini kwa lugha ya kigeni unaweza ita brain washing, Ni mafunzo flani ya kuharibu ufahamu wako kukubali kutokutumia ubongo wako kifupi unatengenezwa kuwa kama robot, Ni moja kati ya mafunzo muhimu kwa yeyote ambaye atahitajika kutumika kwenye majeshi
 
Mkuu pole sana. Lakini ushauri wangu ni kwamba hebu fanya mpango na wewe ukafungue vitabu kwa kwenda shule Mkuu. Ni muhimu sana. Nenda kasome mkuu.
Nakuunga mkono mkuu,jamaa akapige kitabu kwelikweli..yaani kama ana bachelor degree, tia msuli hadi PhD,halafu siku ukikutana naye,utakuwa humkumbuki kabisa.

Jeshi lina mifumo yake ambayo mara nyingi wanawazua mabinti kuolewa na raia wa kawaisa,na hilo lina logic, maana kiuhalisia mtakuwa mnapishana sana kisaikolojia na ki falsafa,kwa hiyo hata ungemuoa,msingefika popote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanakufariji kuliko kukwambia ukweli....Sasa mm nakwambia ukweli ni hiviiiiii..mchumba hua hasomeshwi brother..kazi ya kusomesha na kuhudumia waachie wazazi wake tena ukome kuanzia leo kusomesha mchumba waambie na ndugu zako wote pamoja na jamaa zako wote kua mchumba hasomeshwi Ovaaaaaaaaa...and out..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali uliyonayo ni kutokubali matokeo na kujihisi kama unaota vileeee... ila kubali matokeo kua kaenda japo si mchezo... maumivu hupotea taratibu sana kwanza itakusumbua siku za awali... POLE RAFIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2010 niliingia katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja mwanafunzi wa kidato cha 5.

Tulidumu kwa muda mrefu sana kwani alikua akisoma jitegemee sec school nilikua nikimuhudumia vitu mbali mbali vya shuleni mfano pesa ya matumizi na kadharika japo Ada ya shule alikua akilipiwa na wanafamilia yake ususani ndugu zake.

Mpaka alipomaliza kidato cha sita tulikua bado wapenzi na nilikua nikimjali kwa kila hali na kumsaidia shida zake kadri ya uwezo wangu.
Mwaka 2012 akajiunga na chuo cha ualimu kwa ngazi ya sekondary ikambidi akakae huko huko Hosteli lakini bado nilikua karibu nae kwa mawasiliano kwani alienda kusomea mkoani mbeya.

Sikusita kumsaidia japo yupo mbali nilikua nikimsaidia mambo mbali mbali ikiwemo pesa ya matumizi na hata nguo pia n.k.

Mpaka alipomaliza mafunzo yake ya Diploma mwaka 2014 hakubaatika kupata ajira ya moja kwa moja hivyo aliludi kukaa nyumbani kwanza kusubili ajira hapo tulikua karibu saanaa na kupanga mipango mingi ya kimaisha kwa wakati huo na baadae pamoja na kukubaliana kuja kufunga ndoa.

Mwaka 2016 akabaatika kupata nafasi ya kujiunga na JKT kwa kujitolea na yote hilikua ni kwa juhudi zangu kwani nilitafuta mtu wa kumuunganishia si unajua siku hizi ili kupata nafasi JKT ni lazima uwe na mtu wa kukushika mkono hasa ukiwa na elimu ya juu.

Akafanikiwa kumaliza mafunzo ya jkt na kupangiwa kambi kwa ajili ya kujitolea kusubili Ajira kwa kuwa ana elimu ya juu akuchelewa kuchukuliwa na JWTZ na kwenda kupitia Kozi ya JWTZ baada ya kuludi uko na kuapishwa kuwa mwanajeshi rasmi alianza kubadilika kwa upande wangu nilishindwa kuelewa kabisha ni mwaka huu 2018.

Alikua mtu wa tofauti sana simu zangu hapokei kwa wakati msg ajibu yaani niliumia saaana.

Nikamuomba tuonane tuongee kwa kina nini tatizo Alichonijibu sikutegemea.

Nilijibiwa hivi....FANYA YAKO NA MIMI NIFANYE YANGU NASHUKURU KWA UKARIMU WAKO NA KUWA MWEMA KWANGU KWA KIPINDI CHOTE AHSANTE.

Niliumia sana sikuelewa ni kwa nini ameamua kunifanyia hivi au labda nimemkosea lakini cha ajabu aliniblock kila kona
Facebook
Whatsapp
SMS
Call

Yaani sikutegemea inauma sana
Nawaombeni wanawake kuweni na Moyo wa huruma pia mkumbuke fadhira na hutu alio kufanyia mtu Usika...
Pole sana mkuu ila tambua ndivyo walivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr aliwahi uongelea hii kitu kwenye mambo ya kidini lakini inatumika hata huko jeshini kwa lugha ya kigeni unaweza ita brain washing, Ni mafunzo flani ya kuharibu ufahamu wako kukubali kutokutumia ubongo wako kifupi unatengenezwa kuwa kama robot, Ni moja kati ya mafunzo muhimu kwa yeyote ambaye atahitajika kutumika kwenye majeshi
Ni mbaya sana I hate it mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2010 niliingia katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja mwanafunzi wa kidato cha 5.

Tulidumu kwa muda mrefu sana kwani alikua akisoma jitegemee sec school nilikua nikimuhudumia vitu mbali mbali vya shuleni mfano pesa ya matumizi na kadharika japo Ada ya shule alikua akilipiwa na wanafamilia yake ususani ndugu zake.

Mpaka alipomaliza kidato cha sita tulikua bado wapenzi na nilikua nikimjali kwa kila hali na kumsaidia shida zake kadri ya uwezo wangu.
Mwaka 2012 akajiunga na chuo cha ualimu kwa ngazi ya sekondary ikambidi akakae huko huko Hosteli lakini bado nilikua karibu nae kwa mawasiliano kwani alienda kusomea mkoani mbeya.

Sikusita kumsaidia japo yupo mbali nilikua nikimsaidia mambo mbali mbali ikiwemo pesa ya matumizi na hata nguo pia n.k.

Mpaka alipomaliza mafunzo yake ya Diploma mwaka 2014 hakubaatika kupata ajira ya moja kwa moja hivyo aliludi kukaa nyumbani kwanza kusubili ajira hapo tulikua karibu saanaa na kupanga mipango mingi ya kimaisha kwa wakati huo na baadae pamoja na kukubaliana kuja kufunga ndoa.

Mwaka 2016 akabaatika kupata nafasi ya kujiunga na JKT kwa kujitolea na yote hilikua ni kwa juhudi zangu kwani nilitafuta mtu wa kumuunganishia si unajua siku hizi ili kupata nafasi JKT ni lazima uwe na mtu wa kukushika mkono hasa ukiwa na elimu ya juu.

Akafanikiwa kumaliza mafunzo ya jkt na kupangiwa kambi kwa ajili ya kujitolea kusubili Ajira kwa kuwa ana elimu ya juu akuchelewa kuchukuliwa na JWTZ na kwenda kupitia Kozi ya JWTZ baada ya kuludi uko na kuapishwa kuwa mwanajeshi rasmi alianza kubadilika kwa upande wangu nilishindwa kuelewa kabisha ni mwaka huu 2018.

Alikua mtu wa tofauti sana simu zangu hapokei kwa wakati msg ajibu yaani niliumia saaana.

Nikamuomba tuonane tuongee kwa kina nini tatizo Alichonijibu sikutegemea.

Nilijibiwa hivi....FANYA YAKO NA MIMI NIFANYE YANGU NASHUKURU KWA UKARIMU WAKO NA KUWA MWEMA KWANGU KWA KIPINDI CHOTE AHSANTE.

Niliumia sana sikuelewa ni kwa nini ameamua kunifanyia hivi au labda nimemkosea lakini cha ajabu aliniblock kila kona
Facebook
Whatsapp
SMS
Call

Yaani sikutegemea inauma sana
Nawaombeni wanawake kuweni na Moyo wa huruma pia mkumbuke fadhira na hutu alio kufanyia mtu Usika...
Duuuuuh inaumaaa sanaaaa tambua waz hakuna fungu lako ucjl mwombe mungu akuonyeshe wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimedumu 7 years kwenye mahusiano lakn mwaka huu ameniacha,simu hapokei wala sms hajibu,nilimgharamia kama wew na sasa ni mwalimu kaniacha,ila sina stress mana nimewapanga balaa
1.Kuna nurse 2
2.Kuna mwalimu 1
3.Mfanyabiashara 1
Jumla 4
Ni dhambi kubwa sana kuwa na mwanamke mmoja hapa duniani
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom