Wilaya umeenda mbali mno mwingine akihama jengo tu au mtaa umekwisherHuyo wa kwako amechelewa kubadilika tena nampongeza kidogo.
Mabinti wa siku hizi akihama tu wilaya achilia mbali mkoa, anakuwa sio wako tena
Heheheh aisee, hao wengine wanakuwa kama shock absober?Mimi nimedumu 7 years kwenye mahusiano lakn mwaka huu ameniacha,simu hapokei wala sms hajibu,nilimgharamia kama wew na sasa ni mwalimu kaniacha,ila sina stress mana nimewapanga balaa
1.Kuna nurse 2
2.Kuna mwalimu 1
3.Mfanyabiashara 1
Jumla 4
Ni dhambi kubwa sana kuwa na mwanamke mmoja hapa duniani
Hehehe aiseePole sana rafiki,mwenyewe nilishakumbana na kadhia kama yako,tofauti ni kuwa ilikuwa twende naye wote JKT,lakini mie majina hayakuwa vizuri,hivyo akapata yy nafasi mie nikakosa,mie nikaamua kuendelea na masomo ya juu zaidi.
Mwaka wa mwisho kumaliza chuo ,naye ndio anapata kazi JWTZ,hapo akaanza kunichenjia.
Mie nikasema ,no sweaty,nikaamua pia kumuumiza kisaikolojia..Nikamwambia kuwa nilikuwa sikutaki ndio maana nikakusakizia uende jeshini ili niwe huru kula bata na nimpendaye,maana nilikuwa sikupendi,ila nilikuwa natafuta njia ya kukupiga chini. Alinipigia, nikamchana,sasa ivi analazimisha angalau tupige shoo tu,mie sitaki tena.
HeheheWilaya umeenda mbali mno mwingine akihama jengo tu au mtaa umekwisher
Hii ni mara ya pili nasikia hii kitu ya kuondolewa uraia, Hii ikoje mkuu?Nijuavyo wote huwa wanatolewa uraia na kuwa tofauti na aria wa kawaida sasa ni wanawake wachache sana wanaoweza kubaki na ile spirit na kike na kujikubali kama mke wengi huwa wanaharibiwa na mazingira ya kazi zao usikute mngeendelea angekuja akuache baadae sana labda kwa kuona hamuendani kitabia
Umewahi sikia kuhusu 6 weeks bila kulala unadhani huwa wanafanya nini huko??kula nyama miaka 2 ya jkt unafikiri dhumuni lake nini??Hii ni mara ya pili nasikia hii kitu ya kuondolewa uraia, Hii ikoje mkuu?
Duuh aisee ndo kinachofanyika kumbe, ndo maana asilimia kubwa hawana utu wanaishia kutusaliti.Umewahi sikia kuhusu 6 weeks bila kulala unadhani huwa wanafanya nini huko??kula nyama miaka 2 ya jkt unafikiri dhumuni lake nini??
Harujui aisee tupe lipande kidogoUmewahi sikia kuhusu 6 weeks bila kulala unadhani huwa wanafanya nini huko??kula nyama miaka 2 ya jkt unafikiri dhumuni lake nini??
Hakika ndgEndelea na maisha kamanda yashapita hayo
Ahsante aisee ila inanifundisha kitu hiiPoole kamanda pengine kawa kwenye kikosi maalum cha usalama akaona kwakuwa anakupenda sana hataweza kufanya kaz kwa usiri unaotakiwa akafanya uamuzi mgumu. Kwa pande zote mbili
Mmmmh hanakuokoa kakake sisi wengine tunataabikaKuna Dada yangu ni mrembo kishenzi anaolewa soon kila siku ananambia kaka yangu usithubutu kumwamini mwanamke sisi ni noma
Ukiona mwanamke anakusikiliza ujue anatatizo tatizo hilo likiondoka hatakusikiliza tena...Mwaka 2010 niliingia katika mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja mwanafunzi wa kidato cha 5.
Tulidumu kwa muda mrefu sana kwani alikua akisoma jitegemee sec school nilikua nikimuudumia vitu mbali mbali vya shuluni mfano pesa ya matumizi na kadharika japo Ada ya shule alikua akilipiwa na wanafamilia yake ususani ndugu zake.
Mpaka alipomaliza kidato cha sita tulikua bado wapenzi na nilikua nikimjali kwa kila hali na kumsaidia shida zake kadri ya uwezo wangu.
Mwaka 2012 akajiunga na chuo cha hualimu kwa ngazi ya sekondary ikambidi akakae huko huko Hosteli lakini bado nilikua karibu nae kwa mawasiriano kwani alienda kusomea mkoani mbeya.
Sikusita kumsaidia japo yupo mbali nilikua nikimsaidia mambo mbali mbali ikiwemo pesa ya matumizi na hata nguo pia na n.k.
Mpaka alipo maliza mafunzo yake ya Diploma mwaka 2014 akubaatika kupata ajira ya moja kwa moja hivyo aliludi kukaa nyumbani kwanza kusubili ajira hapo tulikua karibu saanaa na kupanga mipango mingi ya kimaisha sasa na baadae pamoja na tulikubaliana kuja kufunga ndoa.
Mwaka 2016 akabaatika kupata nafasi ya kujiunga na JKT kwa kujitolea na yote hilikua ni kwa juudi zangu kwani nilitafuta mtu wa kumuunganishia si unajua siku hizi ili kupata nafasi JKT ni lazima uwe na mtu wa kukushika mkono hasa wewe wa elimu ya juu.
Akafanikiwa kumaliza mafunzo ya jkt na kupangiwa kambi kwa ajili ya kujitolea kusubili Ajira kwa kuwa ana elimu ya juu akuchelewa kuchukuliwa na JWTZ na kwenda kupitia Kozi ya JWTZ baadae ya kuludi uko na kuapishwa kuwa mwanajeshi rasmi alianza kubadilika kwa upande wangu nilishindwa kuelewa kabisha ni mwaka huu 2018.
Alikua mtu wa tofauti sana simu zangu hapokei kwa wakati msg ajibu yaani niliumia sana.
Nikamuomba tuonane tuongee kwa kina nini tatizo Alichonijibu sikutegemea.
Nilijibiwa hivi....FANYA YAKO NA MIMI NIFANYE YANGU NASHUKURU KWA UKARIMU WAKO NA KUWA MWEMA KWANGU KWA KIPINDI CHOTE AHSANTE.
Niliumia sana sikuelewa ni kwa nini ameamua kunifanyia hivi au labda nimemkosea lakini cha ajabu aliniblock kila koni
Sms
Call
Yaani sikutegemea inauma sana
Nawaombeni wanawake kuweni na huruma pia mkumbuke hutu alio kufanyia mtu.