UMBWE1
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 799
- 790
Umekuwa ukifanya ngono kwa miaka mitano kuacha ukae hivi hivi itakuwa sio rahisi.labda uniambie utakuwa unachuna tu wazee wa watu wa mjini.ila nakuelewa kwa sababu hata mwez haujapita ndio maana yanakutoka manaeno makali hivyo ngoja miez mitatu ipite msimamo utapungua.uwez kumpima uaminifu na upendo wa mwanaume kwa kufanya ngono na mwanamke mwingine likija kwenye swala la ngono mwanaume huwa hajipangi.inawezekana kabisa walikuwa wanapiga story na hyo office mate wake mara akamtega jamaa akaenda kula mzigo.kama ukiweza kulishinda hili ukamsamehe jamaa utakuwa na maisha mazuri sana mbele ni ukweli kwamba jamaa anakupenda lakini ukikataa kumsamehee unajiweka katika mazingira mengine marahisi ya kusalitiwa zaidi na mwanaume mwingine