mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 7,258
- 9,728
Kwenda zako hukoMbowe aliagizwa na Samia kumpa ahadi za kulegeza kamba chadema ipewe majimbo kadhaa
Halafu reform ziwekwe mfukoni mpaka baada ya uchaguzi
Lissu akagoma watu wema wameshutuka na kupush aamishwe gereza kwa sababu za kiusalama na wanaotakiwa kumuona Sana Sana ni ndugu 3 wa karibu tu wanaompelekea chakula
Inaonekana mbowe alianza michezo michafu na wenzie
Lakini hawajui kwamba wanapambana na system kubwa Sana ambayo imekataa ujinga mwisho mwaka huu!!
Eti mwisho mwaka huu
Uchaguz utafanyika na hakuna utakacho fanya