Usaliti ni mbaya sana

Usaliti ni mbaya sana

Kwanini uwe msaliti wakati fursa zipo.
Jiunge na Group la WhatsApp kwa Ajili ya kupata pesa bila kuvuja jasho...

Hii ni fursa yako kijana mwenzangu so

📝 Kinachohitajika:

1. Chagua group unalotaka ni VIP (YAKUZ) au NORMAL (YAVUZ): Tembelea mojawapo ya nyuzi zangu hapo utajua hayo, chagua jina lako hapo.

2. Piga Screenshoot 📸: Piga picha ya neno ulilochagua.

3. Tuma Inbox 📲: Tuma screenshot hiyo kwenye inbox yetu kupitia WhatsApp.

4. Lipia 💸: Utalipia jina lako, na nitaithibitisha namba yako ya WhatsApp.

5. Pata Pesa zako: Pesa zako zitaingia kutokana na jina ulilochagua kama ni YAKUZ au YAVUZ yako.

Jiunge sasa na ufurahie maisha rahisi na ya uhakika ✅.

Usikose kipindi kila siku saa tatu mpaka saa saba mchana 🎯

👉 Bonyeza hapa kujiunga na group letu la WhatsApp:

Karibu sana! 🎉
Huyu ndo POOR BRAIN naemfahamu kweli???
 
Samia anajua huku Bara hakuna anayeweza kumpa kura yake hata wana CCM wenyewe hawawezi kukabidhi nchi kwa Samia hata siku moja
Kwanza ni udhaifu wake wa kuongoza hana uwezo .
Hii ilitokea kwenye Bandari DGIS na Katibu Mkuu Kiongozi waligoma, Samia akawala kichwa , baadhi ya wazalendo pale kwake wakavujisha mktaba akaanza kuwapangua pangua akamchukia Mzanzibar tena wa kwao kuwa DGIS.
Samia anajua kabisa wanaume huku bara wamemkalia kooni ndo maana leo Majaliwa anagombea tena ubunge amtege kama atampa tena Uwaziri Mkuu au atamnyima aanze harakati za Urais 2030 aje amnyooshe ni kazi kweli kweli.

Lissu ana watu kwenye system ndo maana alikua anapata taarifa za mwendazake hadi kifo chake kabla ya Samia. WAZALENDO PALE TISS HAWAJAFA WAPO.
Majaliwa kugombea tena ubunge ni kujikosea heshima.

Asipopata tena huo uwaziri mkuu, hadi kuwa mgonga meza bungeni ataweka wapi sura yake?
 
Hiyo system itashinda Ile ya padri slaa 2010?...ni upepo TU na utapita

Mbowe aliagizwa na Samia kumpa ahadi za kulegeza kamba chadema ipewe majimbo kadhaa

Halafu reform ziwekwe mfukoni mpaka baada ya uchaguzi

Lissu akagoma watu wema wameshutuka na kupush aamishwe gereza kwa sababu za kiusalama na wanaotakiwa kumuona Sana Sana ni ndugu 3 wa karibu tu wanaompelekea chakula

Inaonekana mbowe alianza michezo michafu na wenzie

Lakini hawajui kwamba wanapambana na system kubwa Sana ambayo imekataa ujinga mwisho mwaka huu!!
 
Ninasema kila aliyesaliti Tanzania atapata majibu yake kabla ya kifo atateseka Sana!!

Kila msaliti wa mageuzi Tanzania atalipwa usaliti wake

Leo mbowe ni wa kusaliti mageuzi kuwa kiungo wa mafisadi na wanyonyaji ?

Mbowe ameenda kumtembelea Lissu keko wameshindwa kuelewana mpaka Lissu imebidi aamishwe gereza ili kulinda maisha yake dhidi ya wasaliti!!

Enyi watu wabaya enyi wasaliti Lissu ni mpango wa Mungu hamtakaa mpange mpango wowote gizani mfanikiwe!!

Wasaliti ni watu wabaya Sana
Bro unaonaje kesho mwende mkakinukishe huko Ukonga hadi mutoe Lissu? Ahahahahaha!!!
 
H
Ninasema kila aliyesaliti Tanzania atapata majibu yake kabla ya kifo atateseka Sana!!

Kila msaliti wa mageuzi Tanzania atalipwa usaliti wake

Leo mbowe ni wa kusaliti mageuzi kuwa kiungo wa mafisadi na wanyonyaji ?

Mbowe ameenda kumtembelea Lissu keko wameshindwa kuelewana mpaka Lissu imebidi aamishwe gereza ili kulinda maisha yake dhidi ya wasaliti!!

Enyi watu wabaya enyi wasaliti Lissu ni mpango wa Mungu hamtakaa mpange mpango wowote gizani mfanikiwe!!

Wasaliti ni watu wabaya Sana
Huu upumbavu ndio unatufanya tuwadharau sana.

Mnajisababishia majanga wenyewe,halafu mnaanza kutafuta mchawi.

Mbowe si aliruhusu demokrasia mkashinda bado mnamlaumu nini wahuni nyie?
 
Wa tz wa JF mnafurahisha sana. Hapa mnatukanana mitusi mizito zito, next reply mnapeana michongo ya kazi??😂😂😂
Relax mkuu, usiwe serious hvy utaumia kichwa. Mbona mambo sio magumu hvy, tujifunze kutokuvuka mipaka na pia tujitahidi kujua huyo mtu unayetukanana nae n nani.
Humu kuna watu wanaweza kukupa michongo mpaka ukajiuliza kwan huyu hana ndugu wa kuwasaidia mpaka anisaidie mm?
 
Majaliwa kugombea tena ubunge ni kujikosea heshima.

Asipopata tena huo uwaziri mkuu, hadi kuwa mgonga meza bungeni ataweka wapi sura yake?
Ubunge atapata tu kwa Tume hii na uliona 2020 aliyegombea kwa Majaliwa alifunguliwa mikesi kibao mara kupora fomu zake na manyanyaso makali makali , kwa mwaka huu hiyo hakuna
Isipokua atapewa tena heshima ya kuwa mbunge ndo hapo tena Samia ataingia mtegoni kumpa Uwaziri Mkuu.
 
kwa mwaka huu hiyo hakuna
Isipokua atapewa tena heshima ya kuwa mbunge ndo hapo tena Samia ataingia mtegoni kumpa Uwaziri Mkuu.
Hapo ndipo aibu ilipo!

Kutoka uwaziri mkuu hadi kuuliza maswali ya nyongeza bungeni.

Kama wameweza kumuwekea msaidizi unadhani kumnyima huo uPM ni kitu kigumu kwao?
 
Mkuu acha bana ...
Inamaana mimi kusaidia vijana wenzangu imekua matatizo tena
Haina tabu mkuu ni jambo jema na ndo utu haswa ila kama ni la heri na liwe hivyo mkuu.
Ila sikuwa nahakika kama hzo mishe wadeal nazo ndo maana nikawa na shaka.
 
Haina tabu mkuu ni jambo jema na ndo utu haswa ila kama ni la heri na liwe hivyo mkuu.
Ila sikuwa nahakika kama hzo mishe wadeal nazo ndo maana nikawa na shaka.
Acha kuninafikia sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mmekwisha mtosa mwenzenu na style ile ya wasyria kuvamia nchi kwa pickup ,hii Tanzania sio mnakuja na mipango mwitu ,hapa ni uchaguzi tu , watu washindane kwenye kuiba kura tu. mambo ya kupinduana hatuyahitaji.
Pangeni mipango ya kuiba kura kama wanavyopanga CCM ,kama wanaweka askari na nyie mnaweka askari na hayo hayo magwanda ya mgambo ,kama ni kutangaza na nyinyi mnaweka vyombo vya kutangaza. Mtanzania hafundishwi wizi ni mtz na hiari yake kuiba au kutulia,
 
Mmekwisha mtosa mwenzenu na style ile ya wasyria kuvamia nchi kwa pickup ,hii Tanzania sio mnakuja na mipango mwitu ,hapa ni uchaguzi tu , watu washindane kwenye kuiba kura tu. mambo ya kupinduana hatuyahitaji.
Pangeni mipango ya kuiba kura kama wanavyopanga CCM ,kama wanaweka askari na nyie mnaweka askari na hayo hayo magwanda ya mgambo ,kama ni kutangaza na nyinyi mnaweka vyombo vya kutangaza. Mtanzania hafundishwi wizi ni mtz na hiari yake kuiba au kutulia,
Zero brain. Hii nchi siyo mali ya kundi fulani ni mali ya Watanganyika wote hata wasio wafuasi wa vyama vya siasa.
Mnawaza tu madaraka bila kujali haki na uhai kwa wengine. NO REFORMS NO ELECTION.
 
Back
Top Bottom