Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Katika CDM Zitto unaweza kumlinganisha na wanachama ambao hawako kwenye secretariat yao... yaani Dr. Kitilla na Prof. Baregu wengine ni wadogo sana ukilinganisha na ZZK.
Mnafiki siku zote atatetewa na wanafiki wenzake,chadema ni taasisi kubwa sana hakuna mkubwa zaidi wa taasisi hii,jaribu kufikiri kabla ya kuandika ----- wako hapa. Eti Zitto? Wapo watu walipigwa risasi kwaajili ya kutetea chama wakafa,wapo watu wamekuwa vilema,wapo watu wamefungwa na wapo watu wamefukuzwa kazi kwaajili ya chadema,Nakushangaa sana na nnatafakari uelewa wako katika kupambanua mambo.
 
Vikao vya chama vipo na wewe ni mjumbe wa kamati kuu kwa nini usisubiri hukohuko kuliko kuja kuropoka jf.

yaani wewe jamaa sijui hata kama unawashauri wenye akili.

mkuu wewe hauna tofauti na Juliana Shonza na mtela mwampambe. ujinga uleule waliokua wanaufanya wao wewe unaurudia leo.

Lema unaua chama mchana kweupe.


Wajinga tuh hao.,.

Naona kuna Mwehu Mwingine Kileo kaja hapa nayeye anasema ana ushahid dhidi ya mambo mabaya aliyokuwa
anafanyiwa na zitto kipindi hiko yuko jela,sasa kipindi chote hiko alikuwa anasubiri nin kusema??alikuwa anasubir Mwehu mwenzake lema atokee hapa hadharani kujidhalilisha kisha nayeye ndipo aje??

Hawa Jamaa wana akili za kitoto sana aisee
 
Ukweli gani na uzalendo gani aliyonao huyo msaliti? Mmeambiwa msubiri mpewe ukweli kwanini mnakimbilia kuanza kujibu msichokijua? Mtamtetea sana ila mtamdharau sana siku moja.

Nyie endeleeni na porojo zenu upande wa pili haujasema kitu subirini na yeye aje kama mwenyekiti/katibu hawajaaibika.
 
tanzania tunachekesha sana .... huwa tunatafuta easy solutions ya mambo tu .... hatutaki kusolve a problem

hii issue ya posho .... ni kweli wabunge wanapata kiasi kikubwa kulinganisha na maisha ya mtanzania wa kawaida

ila swali nalojiuliza tumeshawahi kufuatilia vipato walivyo navyo viongozi na watumishi wa umma kama wamevipata na wanaendelea kuvipata kihalali .... au tunawasikiliza wao wanapoenda kujaza zile forms zisizofanyiwa uchunguzi wowote? hata mimi kama nina vyanzo vingine vikubwa vya mapato ningekataa posho ili kuuza jina magazetini!

bado tuna safari ndefu sana katika kujenga system iliyo bora!


Wqbunge wanakula kwa kura zetu,tunawajibishana nao 24/7 hawa ndio watunga sheria na wao wakisema serikali inasikia kirahisi zaid,sisi tunabana wao na wao watabana serikali na serikali itabana hao unaowaita watumishi wa umma ambao wengi ni wateuliwa!!!!!!!

Wewe unataka nguvu kidogo tuliyonayo tuitawanye all over halafu???!!!!

Kama unaona hii haifanyi kazi anzisha NGO yako ajenda iwe maslahi makubwa ya watumishi wa umma!!!!Utakuwa umesaidia kuliko kututoa tulipo!!!!!
 
Wajinga tuh hao.,.

Naona kuna Mwehu Mwingine Kileo kaja hapa nayeye anasema ana ushahid dhidi ya mambo mabaya aliyokuwa
anafanyiwa na zitto kipindi hiko yuko jela,sasa kipindi chote hiko alikuwa anasubiri nin kusema??alikuwa anasubir Mwehu mwenzake lema atokee hapa hadharani kujidhalilisha kisha nayeye ndipo aje??

Hawa Jamaa wana akili za kitoto sana

acha kujitukana wewe,unataka kujofananisha na kamanda kilewo au Lema? Acha ushakunaku wewe soro.Mwaka huu mtaitana wote wasaliti ila hamtafanikiwa ni muda sasa wa kutupilia mbali,kama kwenye jiji tulifukuza madiwani 4 na tukashinda viti vyote itakuwa kwa huyo ambaye alishinda kwa kura 200? Subirini mfundishwe, Mahelehele ya nini?
 
Wajinga tuh hao.,.

Naona kuna Mwehu Mwingine Kileo kaja hapa nayeye anasema ana ushahid dhidi ya mambo mabaya aliyokuwa
anafanyiwa na zitto kipindi hiko yuko jela,sasa kipindi chote hiko alikuwa anasubiri nin kusema??alikuwa anasubir Mwehu mwenzake lema atokee hapa hadharani kujidhalilisha kisha nayeye ndipo aje??

Hawa Jamaa wana akili za kitoto sana aisee
Kama haya ni ya kweli basi hiki chama kinaongozwa kitoto. Anyway the name read "KILEO" am I right, we do expect the same anyway!
 
Nimesikia na Kamanda Kileo nae anaandaa bandiko lake kuhusu usaliti wa Zitto, na kuwepo kwake gerezani.

Nadhani yeye hakujifunza kitu kutoka kwa Prison Graduate baada ya kutoka Segerea. Yeye Lwakatare, hakutaka kumnyooshea yeyote kidole, zaidi ya kuhimiza mshikamano kwa viongozi wote, na kushauri juu ya dhana ya kufukuzana kwa faida ya chama kikielekea kwenye uchaguzi 2014/2015.

Sasa kwa kuwa, viongozi wetu hawa wameona njia hii ya mitandao ya kijamii ndio njia sahihi kuelezea malalamiko yeo na CHAMA kinawaangalia basi ni vizuri tu.

Lakini ni vizuri zaidi sisi wapenzi wa mabadilo tukajiandaa kwa matokeo makubwa zaidi pale wanaoshutumiwa nao wakiamua kutumia njia hii hii kujibu mapigo. Kwan hata uvumilivu wa kibinadamu na kiuongozi una kikomo chake.

Kwa kuwa sisi nafasi zetu ni ndogo, kauli zetu si za kiongozi na sauti zetu hazisikiki, basi ngoja tukae pembeni ili tuwaone hawa wajuzi wa siasa wakivuana nguo hadharani. Ghafla swali linanijia, NI KWA FAIDA YA NANI?
 
Kama haya ni ya kweli basi hiki chama kinaongozwa kitoto. Anyway the name read "KILEO" am I right, we do expect the same anyway!
Magamba wenzako na wanafiki wenzako wanaujua mtiti wake mpaka wakampa kesi ya ugaidi.
 
Mnafiki siku zote atatetewa na wanafiki wenzake,chadema ni taasisi kubwa sana hakuna mkubwa zaidi wa taasisi hii,jaribu kufikiri kabla ya kuandika ----- wako hapa. Eti Zitto? Wapo watu walipigwa risasi kwaajili ya kutetea chama wakafa,wapo watu wamekuwa vilema,wapo watu wamefungwa na wapo watu wamefukuzwa kazi kwaajili ya chadema,Nakushangaa sana na nnatafakari uelewa wako katika kupambanua mambo.
Regardless Zitto anauwezo mkubwa... na kwenye jamii yetu huwa unaweza hukumiwa tu kwa uwezo wako....
 
Mnafiki siku zote atatetewa na wanafiki wenzake,chadema ni taasisi kubwa sana hakuna mkubwa zaidi wa taasisi hii,jaribu kufikiri kabla ya kuandika ----- wako hapa. Eti Zitto? Wapo watu walipigwa risasi kwaajili ya kutetea chama wakafa,wapo watu wamekuwa vilema,wapo watu wamefungwa na wapo watu wamefukuzwa kazi kwaajili ya chadema,Nakushangaa sana na nnatafakari uelewa wako katika kupambanua mambo.

Acha maneno ya ngomani wewe,unajua uzalendo wewe!!!!!?????
Unajua mnafik ni nani????!!!

Shortly; mnafiki ni anayedharau na kufifisha juhudi za wengine,kama watu wamekufa,wamefungwa,wamekuwa vilema na wamepoteza mpaka ajira halafu kina mtu anakwamisha haya huyu mnafiki mbaya zaid ni anayemjua mnafiki lakini hamtaji wala kuchukua hatua huyu ni mbaya zaid! !!!!!!!!

Sasa jipimeni kwenye mzani huo!!!!
 
Nimesikia na Kamanda Kileo nae anaandaa bandiko lake kuhusu usaliti wa Zitto, na kuwepo kwake gerezani.

Nadhani yeye hakujifunza kitu kutoka kwa Prison Graduate baada ya kutoka Segerea. Yeye Lwakatare, hakutaka kumnyooshea yeyote kidole, zaidi ya kuhimiza mshikamano kwa viongozi wote, na kushauri juu ya dhana ya kufukuzana kwa faida ya chama kikielekea kwenye uchaguzi 2014/2015.

Sasa kwa kuwa, viongozi wetu hawa wameona njia hii ya mitandao ya kijamii ndio njia sahihi kuelezea malalamiko yeo na CHAMA kinawaangalia basi ni vizuri tu.

Lakini ni vizuri zaidi sisi wapenzi wa mabadilo tukajiandaa kwa matokeo makubwa zaidi pale wanaoshutumiwa nao wakiamua kutumia njia hii hii kujibu mapigo. Kwan hata uvumilivu wa kibinadamu na kiuongozi una kikomo chake.

Kwa kuwa sisi nafasi zetu ni ndogo, kauli zetu si za kiongozi na sauti zetu hazisikiki, basi ngoja tukae pembeni ili tuwaone hawa wajuzi wa siasa wakivuana nguo hadharani. Ghafla swali linanijia, NI KWA FAIDA YA NANI?

Nyie mnahofu gani? Kwanini tuendelee kukaa kimya wakati huyo zitto na unaibu katibu mkuu wake hukimbilia mitandaoni na kwenye vyombo vya habari? Acheni ukweli uwe ukweli na uongo uwe uongo.
 
Acha maneno ya ngomani wewe,unajua uzalendo wewe!!!!!?????
Unajua mnafik ni nani????!!!

Shortly; mnafiki ni anayedharau na kufifisha juhudi za wengine,kama watu wamekufa,wamefungwa,wamekuwa vilema na wamepoteza mpaka ajira halafu kina mtu anakwamisha haya huyu mnafiki mbaya zaid ni anayemjua mnafiki lakini hamtaji wala kuchukua hatua huyu ni mbaya zaid! !!!!!!!!

Sasa jipimeni kwenye mzani huo!!!!
Jidanganyeni na kujikweza ila muda wa kuumbuka ndiyo huu.
 
Daa yani mtu unashindwa kujenga hoja ya kutetea posho alafu una kimbilia JF.

Lema asante kwa kuturudisha nyuma na madhara yake utayaona soon,na haya unayo yafanya yata athiri chama wala si mtu.

Dr.W.Slaa hamtotenda haki kama mkimuacha Lema aendelee kutuvuruga na kuacha kutumia vikao vya chama.

Huu ni ujinga kabisa.

hivi unamjua zitto vizuri wewe? Hata vikao vyenyewe vya chama haudhurii sawasawa.!
Lema tupo nyuma yako, njoo umuanike huyu kinyonga
 
Last edited by a moderator:
Zitto ndugu yangu usijitokeze kujibu upuuzi wa hawa jamaa sana sana utajishusha tu-a stupid person will always try to drag you down to his level of argument and beat you with experience,That's what they trying to do right now.When they want to drag you down to their level,Drag them up to your level!!!!
 
Vibaraka wa magamba leo mtakiona cha moto mmevumiliwa sana ila saa ya ukweli ni sasa.
 
huu ni muda wa zitto
kufukuzwa chamani,tumevumilia ujinga wake mwingi na chokochoko zake
nyingi.na wale wamshabikiao waondoke naye watuachie cdm yetu sisi tuliyo
tayari kuipigania na kuifia.inatosha sasa na kama yeye anajiona maarufu
atoke tuuone umaarufu wake.nipo igoma mwanza na akija
tunamzomea

absolutely.!
Kama zitto anajiona yeye ni maarufu na bora kuliko wengine wote ni heri aondoke akaanzishe chama chake mwenyewe au ajiunge na chama kingine.! Chadema hatumtaki mtu selfish kama yeye, mtu ambaye hajui nini maana ya team work, anachojali yeye ni maslahi yake mwenyewe binafsi.!
TUMEMCHOKA, AONDOKE
 
Acha maneno ya ngomani wewe,unajua uzalendo wewe!!!!!?????
Unajua mnafik ni nani????!!!

Shortly; mnafiki ni anayedharau na kufifisha juhudi za wengine,kama watu wamekufa,wamefungwa,wamekuwa vilema na wamepoteza mpaka ajira halafu kina mtu anakwamisha haya huyu mnafiki mbaya zaid ni anayemjua mnafiki lakini hamtaji wala kuchukua hatua huyu ni mbaya zaid! !!!!!!!!

Sasa jipimeni kwenye mzani huo!!!!

Busara ikikosekana hao watu walioumia, kupoteza maisha, kulemaa, watakuwa wamelemaa bure kama tutashindwa kufikia dhamira ya ukombozi kwasababu ya viongozi wanaokurupuka na kukosa busara!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom