Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Watu wengi wanafikiri usalama ni kulala na kuamka mzima.
Lakini usalama ni zaidi ya hapo
Nawaambia nchi haipo salama kwa Sasa.
Hakuna usalama wa ajira yaani kwa Sasa mpaka utoe rushwa ya pesa,Ngono au uwe Mtoto wa kiongozi ndio upate ajira au cheo.
Usalama wa kiafya haupo Kama ndugu yako anakufa anadaiwa milioni moja wanashikilia maiti Muhimbili.
Usalama wa uraia wako haupo kwa sababu mtu anaweza kutoka Rwanda, Burundi, Congo au Oman na kuja akaanza kuwa Chawa wa kiongozi mwisho wa siku anakuwa waziri mkuu
Ukiwa mzalendo na mzawa unaweza kuundiwa zengwe la kuambiwa si uraia Kama ilivyokuwa kwa wapili na watu kibao.
Wako wapi wengine Kama yule Nasari, Wenje, Zitto, kafilulila, Mdee walioibuka from no where?
Wakawa wabunge now bila pesa hakuna ubunge? Ingawa walikuja kukengeuka lakini tumeshindwa ku groom wapya?
Kiongozi ambaye ajaandaliwa na TISS kutoka sekondari na jkt anawezaje kuwa mzalendo wa kulinda rasilimali za nchi?
Kiongozi anayepewa pesa na mtu akatafute cheo akikipata atamtumikia mtu au watu?
TISS imelala ni lini tena tutapata kiongozi bure aje kututumikia bure?
Kiufupi usalama wa taifa umevamiwa na umekufa!.
Lakini usalama ni zaidi ya hapo
Nawaambia nchi haipo salama kwa Sasa.
Hakuna usalama wa ajira yaani kwa Sasa mpaka utoe rushwa ya pesa,Ngono au uwe Mtoto wa kiongozi ndio upate ajira au cheo.
Usalama wa kiafya haupo Kama ndugu yako anakufa anadaiwa milioni moja wanashikilia maiti Muhimbili.
Usalama wa uraia wako haupo kwa sababu mtu anaweza kutoka Rwanda, Burundi, Congo au Oman na kuja akaanza kuwa Chawa wa kiongozi mwisho wa siku anakuwa waziri mkuu
Ukiwa mzalendo na mzawa unaweza kuundiwa zengwe la kuambiwa si uraia Kama ilivyokuwa kwa wapili na watu kibao.
Wako wapi wengine Kama yule Nasari, Wenje, Zitto, kafilulila, Mdee walioibuka from no where?
Wakawa wabunge now bila pesa hakuna ubunge? Ingawa walikuja kukengeuka lakini tumeshindwa ku groom wapya?
Kiongozi ambaye ajaandaliwa na TISS kutoka sekondari na jkt anawezaje kuwa mzalendo wa kulinda rasilimali za nchi?
Kiongozi anayepewa pesa na mtu akatafute cheo akikipata atamtumikia mtu au watu?
TISS imelala ni lini tena tutapata kiongozi bure aje kututumikia bure?
Kiufupi usalama wa taifa umevamiwa na umekufa!.