Mpanda Merikebu
Senior Member
- Dec 27, 2007
- 170
- 2
Hold on a minute.. yawezekana Balali alipomuambia mama Meghji kuwa zilikuwa ni sababu za "Usalama" alikuwa anajua anachozungumzia? Mtu mkubwa kama yeye kuja na sababu ya "usalama" kati ya sababu zote duniani..
Haya sasa:
TISS - Tanzania Intelligence and Security Service;
AU
TISS - Tanzana Inter-bank Services System
Dr Slaa atueleze alikuwa na maana ipi. Inter-bank service ambayo haikuwa na jina la benki husika, alama ambayo laa na wenzake wasingeweza kuitambua?
Halafu ni kwa vipi hizo TISS z Meremeta na DeepGreen na wenzake ziwe nyakati hizo hasa Aug. hadi Dec.? Ni udadisi tu, mimi sina majibu wala ufahamu.
Duh hizi aibu za mchana mwanawane! inaelekea wakati tunasheherekea hizi public holidays mafisadi wanakuwa na ngoma wanazocheza gizani.
By the way wana JF msimind, ni majina tu yanafanana, sina hisa huko deep green!
nimeamua kununua kijikombe cha gahawa, na kashata zangu, ladu kidogo pembeni, na vikaimati.. sichezi mbali..
Bi. mdogo mwaga vitu nakuaminia.. na nimeandaa pongezi zako zis weekend..!
Katika vitu ambavyo viliondoa credibility ya Slaa na mafisadi wa ngono wenzake kwenye donor community, kwa wasomi na wafanyabiashara ni kutangaza kwenye hiyo dossier kwamba neno TISS kwenye transactions walizoona maana yake ni Tanzania Intelligence and Security Service. Hata teller pale Mwanga Community Bank atakwamba TISS kwenye banking jargon manake ni Tanzania Inter-bank Services System. Usalama wa taifa is so incompetent lakini sio kwenye kiwango cha kuandika TISS kwenye transactions, labda wataandika Kagoda Agriculture.
Halafu mpenzi, unajikuza sana kutangaza vita na usalama wa taifa kwasababu they are incompetent as to know kwamba upo Ohio. Na pili who the f are you to deserve their attention?
Icadon:
Kuanzia tarehe mosi Aug. hadi Desemba 2005 kulikuwa na janga gani katika nchi jirani lililosababisha matumizi hao?
nimeamua kununua kijikombe cha gahawa, na kashata zangu, ladu kidogo pembeni, na vikaimati.. sichezi mbali..
Bi. mdogo mwaga vitu nakuaminia.. na nimeandaa pongezi zako zis weekend..!
Wana JF na especially my sister the African Lady.
Let us take a deep breath and read between the lines. Ukweli ni kwamba hizo transactions ni fishy yes, and in this case TISS ni Tanzania Inter-Bank Settlement System, na ni system(and I know how it works), currently being used to facilitate inter-bank transactions within local banks in Tanzania. Kinachotokea ni kama hutaki ku-expose who is the actual recipient was hizo pesa na kama ni transansaction within the realm of the local banking system, then kwenye transaction logs zako unaweza kuweka TISS. Ila nivigumu kuiweka hivyo kama transaction ina involve foreign banks (meaning outside your local banking realm) manake sheria za money laundering zitakubana, lakini napo pia kuna mbinu zingine zinazoweza kutumika.
Nadhani issue ya TISS (Idara) kuhusiana na hilo transaction log siyo and we could be barking at the wrong tree! Nadhani kilichotokea ni kuwa pesa hizo zilikombwa mara ya mwisho na wenye akaunti wakatoa order ziwekwe kwenye local account kwenye benki nyingine through TISS (inter-bank settlement) badala ya kuandika cheques etc.
Lingine ni kwamba Tanzania Intelligence Community lina watu very well versed with their profession and most of them are very articulate professionals, na hilo I stand by my comment and I don't have to prove it, ila pia kuna wachache wanaojidai wamo kumbe hawamo na ndio hao tunakumbana nao mitaani mbwembwe nyiingi. Kwa mfano kwa issue ya BOT niliandika majuzi kuwa walimwabia Balali mara nyingi tu kuwa analizwa lakini hakusikia, kumbuka huyu jamaa BWM alimpa kichwa saana.Hata ile document ya kwanza kuhusu BOT scam alionyeshwa na TISS yeye akapuuzia, na hii ni kala ya circulation yake over the internet! Sasa la ajabu ni kwamba, yeye badala ya kusikiliza ushauri wa TISS akatumia bango la TISS (according to Meghji)kuwa malipo ya Kagoda ni kwa shughuli za usalama wa taifa, ambalo pia nina uhakika Mama Meghji amelizua tu. Yeye aliboronga na hata hiyo barua ya ku-retract naamini kaiandika juzi tu! Mbona mwanzoni alikuwa anamtetea Balali. Mama akubali tu kazi imemshinda; alichoweza ni kuziagiza suti za JK for inauguration ceremony hapo alifanya kazi nzuri!
La mwisho ni kwamba tusiliangalie hili la BOT kuwa ni kubwa mno; makubwa yapo ambapo serikali inapoteza over $2 million kila siku na mahali hapo ni TRA. Kama kuna penye ufisadi kikomo ni TRA, kuanzia system yenyewe ya taxation, structure ya shirika lenyewe na viongozi wake ndo basi tena, wakiongozwa na Yona, Mramba, Meghji! Kama kuna wa kuwavalia njuga ni TRA, kwa vile hakuna nchi inayoweza kuendelea kama haina taxation system inayoeleweka. Yetu ni kumliza mchapa kazi!
Wana JF na especially my sister the African Lady.
Let us take a deep breath and read between the lines. Ukweli ni kwamba hizo transactions ni fishy yes, and in this case TISS ni Tanzania Inter-Bank Settlement System, na ni system(and I know how it works), currently being used to facilitate inter-bank transactions within local banks in Tanzania. Kinachotokea ni kama hutaki ku-expose who is the actual recipient was hizo pesa na kama ni transansaction within the realm of the local banking system, then kwenye transaction logs zako unaweza kuweka TISS. Ila nivigumu kuiweka hivyo kama transaction ina involve foreign banks (meaning outside your local banking realm) manake sheria za money laundering zitakubana, lakini napo pia kuna mbinu zingine zinazoweza kutumika.
Nadhani issue ya TISS (Idara) kuhusiana na hilo transaction log siyo and we could be barking at the wrong tree! Nadhani kilichotokea ni kuwa pesa hizo zilikombwa mara ya mwisho na wenye akaunti wakatoa order ziwekwe kwenye local account kwenye benki nyingine through TISS (inter-bank settlement) badala ya kuandika cheques etc.
Lingine ni kwamba Tanzania Intelligence Community lina watu very well versed with their profession and most of them are very articulate professionals, na hilo I stand by my comment and I don't have to prove it, ila pia kuna wachache wanaojidai wamo kumbe hawamo na ndio hao tunakumbana nao mitaani mbwembwe nyiingi. Kwa mfano kwa issue ya BOT niliandika majuzi kuwa walimwabia Balali mara nyingi tu kuwa analizwa lakini hakusikia, kumbuka huyu jamaa BWM alimpa kichwa saana.Hata ile document ya kwanza kuhusu BOT scam alionyeshwa na TISS yeye akapuuzia, na hii ni kala ya circulation yake over the internet! Sasa la ajabu ni kwamba, yeye badala ya kusikiliza ushauri wa TISS akatumia bango la TISS (according to Meghji)kuwa malipo ya Kagoda ni kwa shughuli za usalama wa taifa, ambalo pia nina uhakika Mama Meghji amelizua tu. Yeye aliboronga na hata hiyo barua ya ku-retract naamini kaiandika juzi tu! Mbona mwanzoni alikuwa anamtetea Balali. Mama akubali tu kazi imemshinda; alichoweza ni kuziagiza suti za JK for inauguration ceremony hapo alifanya kazi nzuri!
La mwisho ni kwamba tusiliangalie hili la BOT kuwa ni kubwa mno; makubwa yapo ambapo serikali inapoteza over $2 million kila siku na mahali hapo ni TRA. Kama kuna penye ufisadi kikomo ni TRA, kuanzia system yenyewe ya taxation, structure ya shirika lenyewe na viongozi wake ndo basi tena, wakiongozwa na Yona, Mramba, Meghji! Kama kuna wa kuwavalia njuga ni TRA, kwa vile hakuna nchi inayoweza kuendelea kama haina taxation system inayoeleweka. Yetu ni kumliza mchapa kazi!
Anafanya mchezo mchafu maana hiyo report itavuja siku sio nyingi.
Hao vigogo wa Usalama wa taifa(TISS) wangekuwa wanazingatia proffesionalism wasingeandika barua ambayo ilivuja inayomtaka Waziri Mkuu azuie hoja ya Dr Slaa ya BOT isiingie bungeni. Kwa kweli ni mwanausalama mmoja tu aliyefanya kazi ya usalama wa taifa, huyo aliyetoa hiyo barua na ripoti hadharani. Hao wengine ni wana usalama wa mafisadi tu. Na ni mafisadi kabisa, wamepewa fedha mgao wa BOT
Asha
Hao vigogo wa Usalama wa taifa(TISS) wangekuwa wanazingatia proffesionalism wasingeandika barua ambayo ilivuja inayomtaka Waziri Mkuu azuie hoja ya Dr Slaa ya BOT isiingie bungeni. Kwa kweli ni mwanausalama mmoja tu aliyefanya kazi ya usalama wa taifa, huyo aliyetoa hiyo barua na ripoti hadharani. Hao wengine ni wana usalama wa mafisadi tu. Na ni mafisadi kabisa, wamepewa fedha mgao wa BOT
Asha
Mwafrika wa Kike,
Chukua tano! mbona ulisema ungenipita? Lakini sikulaumu naamini ulikuwa unakusanya the dataz.
Huyo mjinga anaanza kuongelea mambo ya Ohio, ni dalili ya watu wanaoanza ku panic.
Haya mapambano sio ya fikra tena na sasa yanaanza kuwa physical. Inabidi kujiandaa maana tumenyanyaswa kwa muda mrefu sana na nchi kuibiwa na watu ambao hata hawana respect na ubinadamu.
Muhimu ni kumkamata mmoja mmoja na wataropoka tu. Watu walimsaliti Saddam ndio iwe akina Mkapa?
Tatizo kwa TZ ni kwamba JK bado anatikisa kiberiti kuangalia kama jumuia ya kimataifa na sisi Watanzania je tunaelewa kwa kiasi gani?
Anafanya mchezo mchafu maana hiyo report itavuja siku sio nyingi.
Wapiganaji wa JF, nawatakia mapambano mema, maana mwaka huu ukiisha salama, huenda nchi yetu ikawa ahueni.