Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,467
- 2,861
Inawezekana akawa anatokea izumacheri.Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Bwanaaa weeeNjoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Haupendi kuwa,mengi,bakhresa,moe Ila kuajiriwa,kutumwa tumwa,kujipendekeza pendekeza.Change your mindsets.Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Sorry nilisahau kukueleza, liko jijini Dar es Salaam, ila kama uko mikoani huna haja ya kuja Dar es Salaam, nenda ofisi ya Mkuu wa Mkoa uliopo, ulizia ofisi ya RSO, na kama ni Wilayani ulizia ofisi ya DSO.Lipo mkoa gani
Mkuu Don, humu jf kuna vitu vya kuamini na kuna vitu ni furahisha genge tuu.Nadhani hii ni mara ya pili naiona koment kama hii au inayofanana na hii kutoka kwako.
Kwa waliosoma hesabu, kuna hesabu za logic tulikuwa tunasoma:
T then T = T
F then F = T.
So it could be.
Ni wewe pia huwa unaandika kwamba, "Kitu kikiandikwa au kutamkwa mara nyingi zaidi bila kukanushwa huwa ni kweli au hugeuka kuwa ukweli".Mkuu Don, humu jf kuna vitu vya kuamini na kuna vitu ni furahisha genge tuu.
P
Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Nakushauri jambo moja muhimu sana. Kama kweli unayo nia ya kuwa mmoja wao hivi karibuni. (1) Nadhani office zao na makao yao mkuu utakuwaNdugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Kwa hiyo umeona utumie logicNadhani hii ni mara ya pili naiona koment kama hii au inayofanana na hii kutoka kwako.
Kwa waliosoma hesabu, kuna hesabu za logic tulikuwa tunasoma:
T then T = T
F then F = T.
So it could be.
Kwa hiyo umeona utumie logic
Umenikumbusha mbali..Hahaha, nimejikuta tu nimekumbuka hiyo term.