Usalama wa Taifa hutangaza nafasi za kazi ila sio direct kama watu tuvyofikiria

Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Inawezekana akawa anatokea izumacheri.

Kama akichukua basi kwa uharaka sana atafika Jmosi.

Kwa mazingira hayo tayari atakuwa nikachelewa kama hana ticket ya flight ya asb toka mkoani.

Msifanye maisha kuwa magumu kwa potential boy-scout
 
Kama tangu utoto ulikuwa unapenda na haujawahi kujichanganya hata ujuane na mmoja kwenye hicho kitengo basi wewe ni mzembe sana.

Usipende sana hiyo kazi ili uipate kirahisi.
 
Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Bwanaaa weee
 
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Haupendi kuwa,mengi,bakhresa,moe Ila kuajiriwa,kutumwa tumwa,kujipendekeza pendekeza.Change your mindsets.
 
Nadhani hii ni mara ya pili naiona koment kama hii au inayofanana na hii kutoka kwako.

Kwa waliosoma hesabu, kuna hesabu za logic tulikuwa tunasoma:

T then T = T

F then F = T.

So it could be.
Mkuu Don, humu jf kuna vitu vya kuamini na kuna vitu ni furahisha genge tuu.
P
 
Mkuu Don, humu jf kuna vitu vya kuamini na kuna vitu ni furahisha genge tuu.
P
Ni wewe pia huwa unaandika kwamba, "Kitu kikiandikwa au kutamkwa mara nyingi zaidi bila kukanushwa huwa ni kweli au hugeuka kuwa ukweli".
Na fact kwamba mzee wako alikuwa member (rejea story yako ya mzee kuwekwa ndani na Nyerere) si ajabu wewe pia kuwa member.
 
Na mie Darasa la sita ila najua naweza kazi vyema naweza kuja?
Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
 
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
Nakushauri jambo moja muhimu sana. Kama kweli unayo nia ya kuwa mmoja wao hivi karibuni. (1) Nadhani office zao na makao yao mkuu utakuwa
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo

unayajua yalipo.
(2) Mkuu wa kitengo utakuwa unamjua kwa cheo na majina yake.
(3) Utakuwa unazijua kazi na majukumu yao yote.
Sasa nenda moja kwa moja kwenye office zao na uwaambie nataka kazi hapa!! Maana muda mwingine wanatafuta watu wenye kujiamini tu bila woga.
Lakini ikiwa haufahamu chochote kuhusu maswali tajwa hapo juu, achana kabisa na kazi hii, maana haufai hata kidogo.
 
Pasikaliiii
Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
 
Unaweza ukawa unaipenda ila hauna sifa za kuajiliwaa (Intelligence yako ni low)
Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom