Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,459
- 2,829
Inawezekana akawa anatokea izumacheri.Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali.
P
Kama akichukua basi kwa uharaka sana atafika Jmosi.
Kwa mazingira hayo tayari atakuwa nikachelewa kama hana ticket ya flight ya asb toka mkoani.
Msifanye maisha kuwa magumu kwa potential boy-scout