Sijaelewa TANAPA kuweka kikomo cha umri kwenye nafasi zao za kazi

Mar 13, 2023
97
196
Jana Tanapa wametoa nafasi za kazi lakini ambacho mimi mmeshangaa. Kuna limited age.

Mwenye diploma usizidi 25year na Mwenye Degree asizidi 30years.

Au baada ya kigezo Cha JKT kutolewa Kwa Sasa Kuna limited age au kwenye miongozo Yao ya kazi ipo ipo Kwa upande wao.

Serikali iliangalie hili hapa ni kuwagawa vijana kimakundi, mtu hana kazi na ana sifa kamaliza miaka iliyopta kaona fursa umri unamkataa.

Tunatengeneza nini hapo TANAPA?
 
Tanapa ni kimeo
1710846467242.jpg
 
Jana Tanapa wametoa nafasi za kazi lakini ambacho mimi mmeshangaa
Kuna limited age

Mwenye diploma usizidi 25year na Mwenye Degree asizidi 30years.

Au baada ya kigezo Cha JKT kutolewa Kwa Sasa Kuna limited age au kwenye miongozo Yao ya kazi ipo ipo Kwa upande wao.

Serikali iliangalie hili hapa ni kuwagawa vijana kimakundi, mtu Hana kazi na ana sifa kamaliza miaka iliyopta kaona fursa umri unamkataa

Tunatengeneza nini hapo TANAPA?
Wanaotakiwa huko Tanapa ni maafa de
 
Ni vigezo vyao. Usilalamike. After all life isn't fair, is it?

Kesho utaanzisha uzi wa kwanini taasisi fulani wameweka GPA kuanzia Upper Second ili uweze kuomba kazi?

Au kwanini taasisi fulani wanakupima kwanza afya kabla hawajakuajiri?

And it will go on and on... so stop it. Kuna opportunities nyingine ambazo hazina age limit. Deal with them!

Lastly, there's a chinese proverb explained it much better. It's worth reading...

"The man who blames others has a long way in his journey to go. The man who blames himself is half way there. The man who blames no one has already arrived"

Anyway. Just try to be the last man in the proverb!
 
Ni vigezo vyao. Usilalamike. After all life isn't fair, is it?

Kesho utaanzisha uzi wa kwanini taasisi fulani wameweka GPA kuanzia Upper Second ili uweze kuomba kazi?

Au kwanini taasisi fulani wanakupima kwanza afya kabla hawajakuajiri?

And it will go on and on... so stop it. Kuna opportunities nyingine ambazo hazina age limit. Deal with them!

Lastly, there's a chinese proverb explained it much better. It's worth reading...

"The man who blames others has a long way in his journey to go. The man who blames himself is half way there. The man who blames no one has already arrived"

Anyway. Just try to be the last man in the proverb!
Why asichuliwe hata kama ana miaka 32, time yake ya Utumishi wa umma ikiisha anabeedroped out Kwa shida kwa hapo. Vyote n sawa ila Age it's just number itolewe watu wapewe furusa
 
Hivyo vigezo vya umri vimewalenga amabao hawana connection tu
Mbona wamewapendelea sana Diploma mtu humal8za sana sana akichelewa anakuwa na miaka 19 ina maana walipoweka ukomo miaka 25 maana yake wako tayari kuchukua hata aliyemaliza diploma miaka sita iliyopita

Digrii wengi akichelewa sana ni miaka 24 kwa hiyo walipoweka ukomo.miaka 30 ina maana wako tayari kuchukua hata aliyemaliza miaka sita iliyopita

Wako fair
 
Mbona wamewapendelea sana Diploma mtu humal8za sana sana akichelewa anakuwa na miaka 19 ina maana walipoweka ukomo miaka 25 maana yake wako tayari kuchukua hata aliyemaliza diploma miaka sita iliyopita

Digrii wengi akichelewa sana ni miaka 24 kwa hiyo walipoweka ukomo.miaka 30 ina maana wako tayari kuchukua hata aliyemaliza miaka sita iliyopita

Wako fair
Hivyo vigezo vipo tu kwa wasio na connection
 
Mbona wamewapendelea sana Diploma mtu humal8za sana sana akichelewa anakuwa na miaka 19 ina maana walipoweka ukomo miaka 25 maana yake wako tayari kuchukua hata aliyemaliza diploma miaka sita iliyopita

Digrii wengi akichelewa sana ni miaka 24 kwa hiyo walipoweka ukomo.miaka 30 ina maana wako tayari kuchukua hata aliyemaliza miaka sita iliyopita

Wako fair
Miaka ya 90's mtu alikuwa anaanza darsa la kwanza yupo na miaka 7, hizo hesbabu zako hazipo sawa Hawa wa kisasa wa 20,s chanjo za kuboost Kila wiki na vyakuka vya lishe wanaanza na miaka minne had mitano BOSS
 
TANAPA sasa ni miongoni mwa jeshi usu chini ya JESHI LA UHIFADHI hivyo ajira zao lazima zizingatie umri mzuri na sahihi wa kumrecruit muhusika.
 
Back
Top Bottom