Usalama wa Taifa hutangaza nafasi za kazi ila sio direct kama watu tuvyofikiria

Hahahaa kuna siku watu walikosa kazi ya TISS kwa kuwa sio wazalendo,Jamaa ananiambia wakati wanapiga DEPO akatokea kiongozi wa KOMBANIA yao,Akasema tunahitaji watu 10 wakajitolee kuzibua Vyoo vimeziba,Jamaa yangu akawa hajajitolea,wakajitokeza watu 10 wa kujitolea na ndio hao wakawa selected kujiunga TISS kumbe lile la kuzibua vyoo ilikuwa geresha tu.
 
Kimsingi sasa hivi hawa jamaa wanapita sana vyuoni, hasa vya diploma na certificates. Wakifika wanajifanya tu kama kampuni ya recruitment so mnapeleka vyeti wanakagua then mnaandika sponsors ambao sio blood related(sijui kwanini) then watawaambia tutawapigia simu. Na kweli baada ya mda mtapigiwa simu kwa wenye vigezo japo hawatawaambia kama mnaitwa kitengo. Just in short.
Wenye GPA kubwa ndio watachukuliwa tu
 
  • Thanks
Reactions: bkk
Habari wanajamvi, kumekuwa na ulinganishi,ukosoaji na maulizo kwa nini nchi zilizoendelea mashirika yao ya kijasusi hutangaza nafasi za kazi kwa uwazi kabisa kama zinavyotangazwa kazi nyingine kwenye vyombo mbalimbali kama magazetini,mitandaoni n.k. lakini ni tofauti kwa nchi zetu. Baadhi ya wakosoaji huwa ni watu walio katika nchi hizi zilizoendelea hivyo kwao huona kitu cha kawaida ila hushangaa kwetu halipo hilo jamabo na kutoa mifano ya mashirika kama CIA, MI6 n.k wakitangaza nafasi za kazi kwa uwazi kabisa

Ukweli ni kwamba kazi hizi hutangazwa kama kawaida ila tu hazitangazwi direct kabisa kwa kuambiwa unajiriwa na idara ya ujasusi. Utakuta tangazo linahitaji wapishi, wafagiaji n.k lakini unachoenda kukifanya unafanya ukiwa mwajiriwa wa idara. Hii hutokea kulingana na mahitaji ya wakati huo. ila sisemi wote huajiriwa hivyo hapana,ila ikitokea kwa mfano idara ina uhitaji wa madereva,ina maana zinaweza kutangazwa tu nafasi za kazi za udereva.

Ngoja nitoe mifano hai, majuma kadhaa nyuma kulitangazwa nafasi kwa ajili ya kuwapata vijana wa kuwapa mafunzo ya upigaji picha ili wazunguke mashuleni nchi nzima kwa ajili ya kupiga picha, lakini tangazo lilionesha ni kazi ya mda mfupi na ukilipwa kwa kila kichwa kiasi fulani tu cha kawaida, lakini kweli ilikuwa ni idara. Je vijana wa ngapi wenye degree unaweza ukawaambia kuwa ukapatiwe mafunzo ya kupiga picha alafu azunguke nchi nzima kwa kila kichwa elfu moja wakakubali? Aliyekubali maana yake yupo tayari kufanya kazi yeyote mahala popote bila kujali kwamba ana elimu gani.

Mfano wa pili kulitangzwa kazi kwa watu wenye Diploma ya IT lakini walikuwa wanaenda kuwa waajiriwa wa idara, imagine usawa huu wa masuala ya IT yaliyovyopamba moto lakini unasikia wanahitajika wa Diploma. Kwangu tafsiri yake kwanza matarajio ni kwamba wengi wao watakuwa ni vijana wadogo, kwa hiyo watakuwa ni watiifu kwani wengi wao hawajaanza maisha,wengi wao watakuwa hawajaingia kwenye masuala ya ndoa, wengi wao watakuwa wana njaa na kiu ya mafanikio lakini pia miili yao inaweza kuhimili mikiki mikiki ya mafunzo kwa urahisi zaidi.

Ni mawazo yangu binafsi, karibuni kwa michango
....Kuna kazi ya kuchimba mitaro, Kama utaiweza uje na vyeti kesho asubuhi...
 
....Kuna kazi ya kuchimba mitaro, Kama utaiweza uje na vyeti kesho asubuhi...

Hii mbinu haitumiki tena siku hizi kwani tayari imeshashtukiwa hata na Watoto wa ' Kindergarten ' Mkuu hivyo hata ukisema unataka Watu wanaoweza ' Kujinyea ' na Kukatiza hovyo mitaani bila kuona aibu nakuhakikisha utawapata wengi sana kuliko ambavyo ulitegemea. Sasa hivi ' recruitment ' inafanyika kama ile ya enzi ya Hayati Baba wa Taifa ambayo ndiyo ilizalisha Watu makini, mahiri na wa uhakika wa hizo Kazi. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Hii mbinu haitumiki tena siku hizi kwani tayari imeshashtukiwa hata na Watoto wa ' Kindergarten ' Mkuu hivyo hata ukisema unataka Watu wanaoweza ' Kujinyea ' na Kukatiza hovyo mitaani bila kuona aibu nakuhakikisha utawapata wengi sana kuliko ambavyo ulitegemea. Sasa hivi ' recruitment ' inafanyika kama ile ya enzi ya Hayati Baba wa Taifa ambayo ndiyo ilizalisha Watu makini, mahiri na wa uhakika wa hizo Kazi. Naomba niishie hapa tafadhali.
Naweza kuwa far ahead...ila kwa kuwa wewe unajua kila jambo...endelea
 
Naweza kuwa far ahead...ila kwa kuwa wewe unajua kila jambo...endelea

Siko hapa kutafuta labda ' Majibizano ' au ' Mashindano ' nawe bali nami nimejaribu tu Kukuambia kilichopo katika Upeo wangu. Sikupingana na Hoja yako ila nimekuambia vyema tu kwamba hizo mbinu tayari zimeshaanza Kujulikana / Kushtukiwa na wengi hivyo zimebadilishwa na kuzingatiwa tena zile mbinu za ' System ' ya Nyerere hasa katika ' recruiting ' ya Watendaji sasa hapo ' UJUAJI ' wangu umetoka wapi? Hivi kwanini Watanzania baadhi mnakuwa na ' Uswahili ' na ' Upumbavu ' hivi? Hivi leo hii Mtu kuyajua mambo mbalimbali ya ' Ujasusi ' ni mpaka awe mmoja wao na akiyajua basi aonekane ' ANAJUA ' sana?

Halafu naomba labda leo nikusaidie Wewe pamoja na ' Wapumbavu ' wengine wenye ' Uswahili ' kama wako kwamba hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda kama kutafuta ' Knowledge ' ya mambo mbalimbali ya Duniani na hiyo ndiyo ' Passion ' yangu. Napitia Mitandao mingi, nasoma Vitabu na Machapisho mengi lakini pia napenda mno ' Kujichanganya ' na Watu ambao naamini wamenizidi ' Maarifa ' bila kusahau na Uzoefu wao katika Kada mbalimbali za Kitasnia hivyo nami nikichanganya yote hayo najikuta naweza kufahamu mambo mengi japo siyo yote.

Na hata Wewe pia hujakatazwa kuwa ' MJUAJI ' wa mambo kama ukitaka na ningekushauri tu ya kwamba huu muda ambao unaupoteza katika kumsema GENTAMYCINE anajifanya ' MJUAJI ' wa kila Kitu ungeutumia nawe katika Kujiongezea ' Maarifa ' zaidi basi huenda leo ungekuwa mbele yangu au mbele ya wengi ila bahati mbaya umewekeza katika Wivu, Chuki na Majungu ndiyo maana uko hivyo.

Mwisho namalizia kwa kukuambia kwamba ' I am not that INTELLIGENT but I am very KNOWLEDGEABLE na namshukuru sana na mno Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Nimemaliza.
 
Siko hapa kutafuta labda ' Majibizano ' au ' Mashindano ' nawe bali nami nimejaribu tu Kukuambia kilichopo katika Upeo wangu. Sikupingana na Hoja yako ila nimekuambia vyema tu kwamba hizo mbinu tayari zimeshaanza Kujulikana / Kushtukiwa na wengi hivyo zimebadilishwa na kuzingatiwa tena zile mbinu za ' System ' ya Nyerere hasa katika ' recruiting ' ya Watendaji sasa hapo ' UJUAJI ' wangu umetoka wapi? Hivi kwanini Watanzania baadhi mnakuwa na ' Uswahili ' na ' Upumbavu ' hivi? Hivi leo hii Mtu kuyajua mambo mbalimbali ya ' Ujasusi ' ni mpaka awe mmoja wao na akiyajua basi aonekane ' ANAJUA ' sana?

Halafu naomba labda leo nikusaidie Wewe pamoja na ' Wapumbavu ' wengine wenye ' Uswahili ' kama wako kwamba hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda kama kutafuta ' Knowledge ' ya mambo mbalimbali ya Duniani na hiyo ndiyo ' Passion ' yangu. Napitia Mitandao mingi, nasoma Vitabu na Machapisho mengi lakini pia napenda mno ' Kujichanganya ' na Watu ambao naamini wamenizidi ' Maarifa ' bila kusahau na Uzoefu wao katika Kada mbalimbali za Kitasnia hivyo nami nikichanganya yote hayo najikuta naweza kufahamu mambo mengi japo siyo yote.

Na hata Wewe pia hujakatazwa kuwa ' MJUAJI ' wa mambo kama ukitaka na ningekushauri tu ya kwamba huu muda ambao unaupoteza katika kumsema GENTAMYCINE anajifanya ' MJUAJI ' wa kila Kitu ungeutumia nawe katika Kujiongezea ' Maarifa ' zaidi basi huenda leo ungekuwa mbele yangu au mbele ya wengi ila bahati mbaya umewekeza katika Wivu, Chuki na Majungu ndiyo maana uko hivyo.

Mwisho namalizia kwa kukuambia kwamba ' I am not that INTELLIGENT but I am very KNOWLEDGEABLE na namshukuru sana na mno Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Nimemaliza.
Tatizo sidhani Kama huwa unaelewa kwamba una upumbavu wako pia...!!! Second time na crash na wewe...! Hope levels of Insanity differs, sijui upo daraja gani, ila una upumbavu mwingi mzee...knowing everything and crashing with every body...!!! Among stupid people in JF u can take the lead...!
 
Siko hapa kutafuta labda ' Majibizano ' au ' Mashindano ' nawe bali nami nimejaribu tu Kukuambia kilichopo katika Upeo wangu. Sikupingana na Hoja yako ila nimekuambia vyema tu kwamba hizo mbinu tayari zimeshaanza Kujulikana / Kushtukiwa na wengi hivyo zimebadilishwa na kuzingatiwa tena zile mbinu za ' System ' ya Nyerere hasa katika ' recruiting ' ya Watendaji sasa hapo ' UJUAJI ' wangu umetoka wapi? Hivi kwanini Watanzania baadhi mnakuwa na ' Uswahili ' na ' Upumbavu ' hivi? Hivi leo hii Mtu kuyajua mambo mbalimbali ya ' Ujasusi ' ni mpaka awe mmoja wao na akiyajua basi aonekane ' ANAJUA ' sana?

Halafu naomba labda leo nikusaidie Wewe pamoja na ' Wapumbavu ' wengine wenye ' Uswahili ' kama wako kwamba hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda kama kutafuta ' Knowledge ' ya mambo mbalimbali ya Duniani na hiyo ndiyo ' Passion ' yangu. Napitia Mitandao mingi, nasoma Vitabu na Machapisho mengi lakini pia napenda mno ' Kujichanganya ' na Watu ambao naamini wamenizidi ' Maarifa ' bila kusahau na Uzoefu wao katika Kada mbalimbali za Kitasnia hivyo nami nikichanganya yote hayo najikuta naweza kufahamu mambo mengi japo siyo yote.

Na hata Wewe pia hujakatazwa kuwa ' MJUAJI ' wa mambo kama ukitaka na ningekushauri tu ya kwamba huu muda ambao unaupoteza katika kumsema GENTAMYCINE anajifanya ' MJUAJI ' wa kila Kitu ungeutumia nawe katika Kujiongezea ' Maarifa ' zaidi basi huenda leo ungekuwa mbele yangu au mbele ya wengi ila bahati mbaya umewekeza katika Wivu, Chuki na Majungu ndiyo maana uko hivyo.

Mwisho namalizia kwa kukuambia kwamba ' I am not that INTELLIGENT but I am very KNOWLEDGEABLE na namshukuru sana na mno Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Nimemaliza.
Tatizo sidhani Kama huwa unaelewa kwamba una upumbavu wako pia...!!! Second time na crash na wewe...! Hope levels of Insanity differs, sijui upo daraja gani, ila una upumbavu mwingi mzee...knowing everything and crashing with every body...!!! Among stupid people in JF u can take the lead...!
 
Tatizo sidhani Kama huwa unaelewa kwamba una upumbavu wako pia...!!! Second time na crash na wewe...! Hope levels of Insanity differs, sijui upo daraja gani, ila una upumbavu mwingi mzee...knowing everything and crashing with every body...!!! Among stupid people in JF u can take the lead...!

Ni kweli naweza kuwa naongoza kwa Upumbavu JamiiForums ila nina uhakika pasi na shaka kuwa Kidunia kabisa Wewe ndiyo Rais wa Wapumbavu wote hivyo nimefurahi Kukutana na Bosi wangu Mkuu wa Kiupumbavu Duniani.
 
Siko hapa kutafuta labda ' Majibizano ' au ' Mashindano ' nawe bali nami nimejaribu tu Kukuambia kilichopo katika Upeo wangu. Sikupingana na Hoja yako ila nimekuambia vyema tu kwamba hizo mbinu tayari zimeshaanza Kujulikana / Kushtukiwa na wengi hivyo zimebadilishwa na kuzingatiwa tena zile mbinu za ' System ' ya Nyerere hasa katika ' recruiting ' ya Watendaji sasa hapo ' UJUAJI ' wangu umetoka wapi? Hivi kwanini Watanzania baadhi mnakuwa na ' Uswahili ' na ' Upumbavu ' hivi? Hivi leo hii Mtu kuyajua mambo mbalimbali ya ' Ujasusi ' ni mpaka awe mmoja wao na akiyajua basi aonekane ' ANAJUA ' sana?

Halafu naomba labda leo nikusaidie Wewe pamoja na ' Wapumbavu ' wengine wenye ' Uswahili ' kama wako kwamba hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nakipenda kama kutafuta ' Knowledge ' ya mambo mbalimbali ya Duniani na hiyo ndiyo ' Passion ' yangu. Napitia Mitandao mingi, nasoma Vitabu na Machapisho mengi lakini pia napenda mno ' Kujichanganya ' na Watu ambao naamini wamenizidi ' Maarifa ' bila kusahau na Uzoefu wao katika Kada mbalimbali za Kitasnia hivyo nami nikichanganya yote hayo najikuta naweza kufahamu mambo mengi japo siyo yote.

Na hata Wewe pia hujakatazwa kuwa ' MJUAJI ' wa mambo kama ukitaka na ningekushauri tu ya kwamba huu muda ambao unaupoteza katika kumsema GENTAMYCINE anajifanya ' MJUAJI ' wa kila Kitu ungeutumia nawe katika Kujiongezea ' Maarifa ' zaidi basi huenda leo ungekuwa mbele yangu au mbele ya wengi ila bahati mbaya umewekeza katika Wivu, Chuki na Majungu ndiyo maana uko hivyo.

Mwisho namalizia kwa kukuambia kwamba ' I am not that INTELLIGENT but I am very KNOWLEDGEABLE na namshukuru sana na mno Mwenyezi Mungu kwa hilo.

Nimemaliza.
hii busara mkuu
 
Sisi chuoni walikuja kama mawakala Wa inteprises fulani... ,wakihitaji vijana Wa kusambaza bidhaa mitaani.
 
Nasikia kuna nafasi za wazi huko,watu wengi wametemwa coz walikuwa wanaingizwa kwa michongo ,
 
Kuna wavuta bangi hapa kitaa nimewashtukia sasa nishaanza kuwachota nataka nimjue mpaka mastermind wao then nipeleke ripoti hapo mjengoni nione kama watanikataa.
 
Back
Top Bottom