Usajili wa pikipiki

Usajili wa pikipiki

matinel

Member
Joined
Dec 31, 2022
Posts
34
Reaction score
43
Wakubwa kwema ,, naombeni mnisaidie namna ya kusajili pikipiki maana mwezi uliopita nilinunua pikipiki aina ya kinglion kama tatu hivi nikawapa vijana sasa sikupewa kadi kwa maana ya kwamba saiz mfumo wa kusajili kwa jina la kampuni hawafanyi saiz , hivyo mteja ndiyo anatakiwa anaacha Tin number ndiyo watamsajilia sasa changamoto nikwamba wale madogo wanasumbuliwa sana barabaran na latra kwasababu hawana plate no wanatumia chesis namba
Hivyo nataka nilivalie njuga mwenyewe maana naona hawa wa kampuni ni miyeyusho tu naomba kujua kusajili pikipiki moja ni sh ngapi na evidence za kwenda nazo TRA ni zipi asanten wakubwa
 
Ulifanya mistake kutoka bila kukamilisha usajili kwa muuzaji. Mie nina uzoefu wa zaidi ya mara tano na kununua hizo pikipiki mpya za biashara. Ila mara zote pale pale nawapa TIN no. na namba yangu ya simu .......baada ya siku 3 nafuata plate namba ambayo ina usajili wangu kamili(kibao cheupi....business), nikihitaji kibao cha njano .....nawapa 50,000/= nakifuata baada ya siku 3.

Sema round zote pikipiki nanunuaga kkoo tu.........sijajua huku pembezoni ya mji wana utaratibu gani.
 
Kinachofanyika najua ni hicho hicho ila kwasababu huku mikoani ni mawakala ambapo ukichukua piki piki unawachia hiyo tin number then zikija ndiyo wanakupigia lakin mim hoja yangu nilitaka incase nataka kusajili mwenyewe requirements ni zipi
 
Kinachofanyika najua ni hicho hicho ila kwasababu huku mikoani ni mawakala ambapo ukichukua piki piki unawachia hiyo tin number then zikija ndiyo wanakupigia lakin mim hoja yangu nilitaka incase nataka kusajili mwenyewe requirements ni zipi
Jaribu kwa njia ya mtandao
 
Ulifanya mistake kutoka bila kukamilisha usajili kwa muuzaji. Mie nina uzoefu wa zaidi ya mara tano na kununua hizo pikipiki mpya za biashara. Ila mara zote pale pale nawapa TIN no. na namba yangu ya simu .......baada ya siku 3 nafuata plate namba ambayo ina usajili wangu kamili(kibao cheupi....business), nikihitaji kibao cha njano .....nawapa 50,000/= nakifuata baada ya siku 3.

Sema round zote pikipiki nanunuaga kkoo tu.........sijajua huku pembezoni ya mji wana utaratibu gani.
Kiongozi naomba tuwasiliane nijue namna ya kupata kwa muda mfupi vitu hivyo
 
Back
Top Bottom