Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,244
- 1,180
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro anapenda kuwajulisha walioomba ajira za kazi za muda za Karani wa Sensa, Msimamizi wa Maudhui na Msimamizi wa TEHAMA kupitia tangazo la kazi la 05 Mei, 2022 lililotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu, wameitwa kwenye usaili huo
Usaili wa nafasi za Karani wa Sensa na Msimamizi wa Maudhui utafanyika 20 Julai, 2022 kuanzia saa 2:00 asubuhi katika ofisi za Kata uliyoomba mwa nafasi za Msimamizi TEHAMA usaili utafanyika 21 Julai, 2022 katika ofisi za makao makuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
Usaili wa nafasi za Karani wa Sensa na Msimamizi wa Maudhui utafanyika 20 Julai, 2022 kuanzia saa 2:00 asubuhi katika ofisi za Kata uliyoomba mwa nafasi za Msimamizi TEHAMA usaili utafanyika 21 Julai, 2022 katika ofisi za makao makuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro