Utumishi wako fair
JF-Expert Member
- Nov 12, 2021
- 431
- 1,335
Leo Bwana baada ya kukaa nikawaza aahh,kumbe niliombaga nafasi za ajira za TRA. Nikastuka nikajua Tayari watu wameshaitwa .. cz sikuwa nimeingia online muda sehemu nilipokuwepo hakuna internet wala mtandao wa simu.
Basi kwa unyonge nikajua aahh basi haikuwa ridhiki yangu labda, ila sasa sijui nini kikanituma nijaribu kuzipiga zile number ambazo waliziweka kipindi kile kama ulikuwa na shida unawapigia, wanakusaidia basi bwana nikavuta wire kujaribu kuuliza kama Interview zilipita na kama zimepita basi niangalie channel nyingine...
Nyieeeee 🙄🙄, nilichojibiwa hakika kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa...😭@tra
Basi kwa unyonge nikajua aahh basi haikuwa ridhiki yangu labda, ila sasa sijui nini kikanituma nijaribu kuzipiga zile number ambazo waliziweka kipindi kile kama ulikuwa na shida unawapigia, wanakusaidia basi bwana nikavuta wire kujaribu kuuliza kama Interview zilipita na kama zimepita basi niangalie channel nyingine...
Nyieeeee 🙄🙄, nilichojibiwa hakika kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa...😭@tra