Usahihi Kuhusu Nembo Anayotumia Rais Samia Suluhu

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

Tazama meza ndogo

d8dbf654c31f2a26b57b50839d03f43dC895C6CC-B24C-420E-81FA-413E1B472F07_1_105_c.jpeg.jpeg

Tazama meza
F3PYLtEXwAAFoOD.jpeg

Tazama Kiti alichoketi Mhe Rais

ffb23acfef74429265f4c1ede760577f2A880921-5196-4EF6-89C9-560D040F29A7_1_105_c.jpeg.jpeg
 
Ufafanuzi mzuri sana huu natamani kila Mtu akiusoma utamsaidia sana kutambua alama Mbalimbali za Taifa na Matumizi yake
 
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

View attachment 2714402
Hakika hili cz
Ujumbe utawafikia wengi
Hakika hili darasa zuri Sana.. Kuna mijamaa flani hivi ilikuwaga tayari ishaanza kutupeleka Chaka. W alikuwa tayari kuanda mikutano ya siasa hili kupotosha watu kuhusu hili.
 
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

View attachment 2714402
Hakika hili darasa zuri Sana.. Kuna mijamaa flani hivi ilikuwaga tayari ishaanza kutupeleka Chaka. W alikuwa tayari kuanda mikutano ya siasa hili kupotosha watu kuhusu hili.
 
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

View attachment 2714402
Elimu nzuri. Wengi wanapata elimu hata kama hawatokiri kwa sauti.
 
W
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

View attachment 2714402
Well put!!
 
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

View attachment 2714402
Imeeleweka sasa maana watu wamekuwa wakijiuliza sana juu ya nembo ya taifa.
 
Imeeleweka sasa maana watu wamekuwa wakijiuliza sana juu ya nembo ya taifa.
Hiyo ni nembo ya Rais mara nyingi hutumika kwenye mikutano ambayo Rais pekee ndio ataongea kwenye hiyo Podium ya kwake, endapo podium itatumiwa na watu tofauti tofauti huwa inawekwa nembo ya Bibi na Bwana, kwa ujumla ni mambo ya Protocol
 
Hakika hili cz

Hakika hili darasa zuri Sana.. Kuna mijamaa flani hivi ilikuwaga tayari ishaanza kutupeleka Chaka. W alikuwa tayari kuanda mikutano ya siasa hili kupotosha watu kuhusu hili.
Tuwe tayari kujifunza kila siku
 
Hiyo ni nembo ya Rais mara nyingi hutumika kwenye mikutano ambayo Rais pekee ndio ataongea kwenye hiyo Podium ya kwake, endapo podium itatumiwa na watu tofauti tofauti huwa inawekwa nembo ya Bibi na Bwana, kwa ujumla ni mambo ya Protocol
Nakuongezea tu, anapokuwepo Rais kunakuwa na Podium mbili na yeye anatumia podium yake peke yake
 
Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.
Ungeweka picha za kila moja kunogesha uzi
 
Tunaweza kujifunza mengi humu kama tutatulia na kuuliza kwa adabu. Tatizo hawa wapinga bandari na haters wa mama waliotumwa huwa wanatuharibia sana.
 
Je ngao/nembo ya Taifa imebadilishwa?

Ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na wadau wengi wakitaka kufahamu kuhusu nembo inayoonekana kwenye mimbari (podium) ya Rais wa Jamhuri ya Muungano katika siku za karibuni

Kimsingi ile si ngao ya taifa bali ni alama ya bendera ya Rais au kwa Kingereza inaitwa Presidential Standard.

Bendera ya Rais ni tofauti na Ngao ya Taifa. Ngao ya taifa imeelezwa kwenye Sheria Namba 15 ya bendera ya Taifa na Ngao ya Taifa ya mwaka 1971.

Bendera ya Rais ni mali ya Rais husika ndiyo maana Rais akimaliza muda wake hukabidhiwa bendera hiyo (Rais husika anaweza kuibadili atakavyo bendera hiyo pasina kuhojiwa kwa sababu ni suala la utashi wake).

Ieleweke kwamba, tofauti na Nembo ya Taifa, nembo ya Rais haina Bibi na Bwana, haina Mlima Kilimanjaro, lakini pia haina mazao ya Pamba na Karafuu


Kwa mfano, Marais walioongoza nchi ya Kenya wote wamebadili bendera ya Rais kutoka kwa mtawala wa kwanza mpaka Rais wa sasa William Ruto.

Rais wa kwanza wa Kenya Mzee Jomo Kenyatta bendera yake ilikuwa na bluu iliyokolea sana (navy blue), ikiwa na ngao, mikuki miwili na jogoo wa njano kwa pembeni.

Alipoingia Rais Daniel Arap Moi alibadili rangi ya bluu iliyokolea na kuweka kijani huku jogoo akiwa wa rangi nyekundu.

Rais Mwai Kibaki yeye bendera yake ilikuwa nyeupe ikiwa na mikuki lakini ikiwa na majani kama ngano yakizunguka ngao.

Alipoingia Rais Uhuru Kenyatta yeye bendera yake ilikuwa na rangi ya bluu iliyokoza kidogo (air force blue) huku pembeni ikiwa na njiwa anaruka.

Rais wa sasa Mhe. William Samoei Ruto yeye bendera yake ina rangi ya chungwa na kitoroli kwa pembeni.
Kwa kawaida bendera za Marais hubeba kauli mbiu za Marais husika kwa wakati husika. Kwa mfano, Rais wa sasa wa Kenya bendera yake ina kitoroli kwa kuhanikiza ile kauli mbiu yake ya Hustler.

Bahati nzuri kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marais wote wamekuwa wakiheshimu bendera ya Rais wa kwanza Hayati Julius Kambarage Nyerere mpaka sasa hivyo haina mabadiliko kama ilivyo kwa Kenya.

Kwa upande wa Zanzibar, mimbari ya Rais huwa na nembo ya bendera ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ikiwa na visiwa vya Unguja na Pemba na herufu kubwa 'R' ikimaanisha Rais.


Asili ya bendera ya Rais ilianza zamani wakati wa enzi za kabla ya Vita vya Westphalia ambapo wafalme walikuwa wakienda kwenye vita au safari mbalimbali wakiwa wamebeba bendera zao.

Kwa wale wanaotazama filamu ya Ottoman wanaweza kuona namna viongozi walivyokuwa wakitembea na bendera zao.

Baada ya Vita vya Westphalia mwaka 1648 na kuzaliwa kwa aina ya nchi tulizonazo sasa, utaratibu wa bendera ya Mfalme ulirithiwa kwa marais ambapo bendera hizo huwekwa Ikulu au sehemu yoyote ambapo Rais yupo.
Bendera ya Rais huweza kuwekwa Ikulu, kwenye gari au pahala atakapofika kwa tukio.

Bendera hiyo huwa haishushwi pindi nchi ikiwa kwenye vita au ikiwa kuna janga kubwa ambalo litamkutanisha Rais na Kamati ya Usalama ya Taifa hata kama ikiwa saa nane usiku.

Mnaweza kufuatilia vema matangazo ya Ikulu Mawasiliano au Ikulu habari Zanzibar kuona uhalisia wa hayo niliyoainisha hapo juu.
Sehemu kubwa ya andiko hili imetokana na andiko la Ndugu Abbas Mwalimu

Tazama meza ndogo

View attachment 2714527
Tazama meza
View attachment 2714402
Tazama Kiti alichoketi Mhe Rais

View attachment 2714531
Je bendera za Maraisi wa Kenya unao wataja zinaingiliana na ile ya Taifa la Kenya? Angalia kwenye Podium za Maraisi wa Kenya huwa zina nembo ya Taifa na sio bendera unacho kitaja wewe kinakaa tu kwenye bendera ya Ikulu.
 
Back
Top Bottom