Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu
Nimechoka kutibia magonjwa ya zinaa ambayo nimekuwa nikiambukizwa na wanawake wenzangu! Nimechoka kupoteza hela zangu ! Nimechoka kumkufuru Mungu nimechoka kuishi maisha ya siri, nimechokwa kuishi maisha ya kutengwa ! Sasa nimeamua kumrudia Mungu. Kwa wote nilio wakwaza, samahani. Nipo tayari kutoa somo la bure kwa wanawake wenzangu ambao bado wanaendekeza usagaji. Usagaji sio ishu kabisa jamani!~ Ni kufuru na laana kubwa mbele za Mungu
it was a rubbish post. akitaka kuona wasagaji acheki online kwa muda wake. JF sio porn site
Siamini na wewe umeingizwa mkenge na Kons. Na ujanja wako wote umeshindwa kukonekt dots ukajua abc za huyu binadamu?
Wajanja tulishastuka siku nyingi sana. Kusoma hatujui ila picha na miandiko haitushindi.
Huyu ni mkoboaji kaka. Update ram yako unapitwa na mengi. Ana twin wake anaitwa Mpole sana
He he he...
Hivi bado mnatoa tu comments zenu kwa hii sredi...ngoja miye niendelee kutunza wino wa keyboard yangu!
Wewe mtundu wewe, yani yote hayo unataka nifunguke tu, anyways nitaanza kufunguka muda si mrefu but honestlty nimeachana kabisa na mchezo huu wala sitakaa nifikirie kuurudia na nita washauri wadogo zangu ambao wanaingia kwenye mchezo huo kwa wingi waachane kabisa na mchezo huo coz madhara yake ya kiakili, kimwili na kiroho ni makubwa sana . NIKIPATA NDIO AROBAINI NITAFUNGUKA. STORI YANGU NI NDEFU SANA NA INAWAHUSISHA MAKUMI YA WASICHANA NA WANAWAKE NILIO WAHI KUWA NAO KATIKA MAHUSIANO HAYA
Siku hizi nimekua mgeni hapa....
Huyu ndo nani mzee tablet?
babu hivi ni yale yale au........siku zinavyozidi kwenda ndio nazidi kuwa mgeni lol!!!
Sikujibu kwakuwa nna hasira na wewe.
Hivi kwanini unakoroma usiku namna ile?
Naogopa name calling double R. Ntakuambia over a bottle of cold beer.
Babu hivi kwa ile shughuli nitaacha kukoroma kweli!!!!!
ssiku nyingine usiniruhusu kushiriki kwenye ile kazi looh
Na mimi.....najua unajua hatujakutania barabarani sie........
Sshiii kuna vimjamaa vinafuatilia nyendo zetu vitatuloga. Sipendi kikojoleo changu kihamishiwe usoni na chako kwenye goti.
Kweli kabisa, tumekutana gesht haush.
hahaaaa kwani ni nini kinaendelea......maana nilivyokuwa mbele kukoment....nahisi wino wangu wote kwishney.....
si unaona unavyotoka kimpauko.......