Usafiri wa Ungo !

Usafiri wa Ungo !

Hizi habari za wanga itakuwa janja ya wanasiasa kusahaulisha agenda ya gesi, na wabongo walivyo wasahaulifu baada ya mwezi moto wa gesi utakuwa umepoa huku wakitafuta kituko kingine.
 
Usafiri huu una raha sana. Mbeya mwanza ni mwendo wa dk 17 tu. Tabu yake ni mafuta daah!
 
Sumtra wanahusika sana hapa wangelegalise aina hii ya transport.
 
... Mara Mtwara, sasa Singida. Ni bora Hii sayansi hirusiwe kwenye katiba Mpya.
 
hivi huo usafiri nilisikia kuna mbunge fulani aliuruhusu iliishia wapi au ulikua upepo tu na umeshapita,Tz kila kukicha nafuu ya jana.

... Wataalam wa masuala haya wanasema ili uweze kupaa inabidi utumie viungo vya binadamu.
Sasa ikipitishwa si tutaisha wote!
 
that's a cheaper alternative to fastjet and the likes
 
Mbona serikali yetu inakataa uchawi?Na wakihojiwa na polisi wakakiri kuwa ni kweli huwa wanafanya hvyo kuna kfungu cha sheria cha kuwapandisha kizimbani?Je wataachiwa?Wizara ya Uchukuzi na mawasiliano,ni changamoto kwenu,only 17mn.huko MBEYA,Hongera zenu wachawi.
 
Mmmmh!

Sasa hapo Polisi watawafungulia hawa jamaa jalada kwa kosa gani?
-Rubani kuendesha chombo cha anga bila leseni?
- Chombo cha anga kutua sehemu isioruhusiwa?
- Au wamevunja kifungu gani cha sheria hawa?

Niana shaka sana hawa jamaa walikuwa wamekula kitu cha A town; wakajiona ka wako mawinguni vile!
Chezea MARYJANE bila kula ni noumaa!!!
 
ITV?
seriously?
hakuna nchi ya ajabu kama yetu
yaani! We acha tu! Hivi kwa nini hawaisaidii ATCL na hiyo sayansi yao?
maendeleo ya mswahili bwana, hayana manufaa yoyote hata kwa mtoto wake. Nafwaaa
 
Polisi hawana cha kuhoji hapo,badala yake waanzishe kitengo cha nguvu za giza (japo serikali 'inajifanya' haiamini katika ushirikina)
Hao vijana wamepata fundisho na haraka zao hadi wakasahau side-mirrors.
Hivi ndege zao hazina hata panic buttons? parachute? kwa hiyo ikitokea hitilafu unadondoka tu bila kujali ulikuwa angani urefu gani????balaaa
 
habari zenu,
natumaini weekend inaenda vyema hapo ulipo....leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikaona watu kadhaa wa familia moja wamedondoka na ungo sehemu flani hapa nchini kwetu Tanzania (thread yenye habari zaidi JF hii hapa)...maswali yakaanzia hapo kutoka kwa niliokuwa nao,naomba niwashirikishe ili kama kuna anayefahamu atujulishe.
1.is it scientifically proved kwamba ungo unapaa?....kwanini tusijaribu kufanya utafiti tuhakikishe hii mambo,maana wengine(mimi personally) naona hili swala la kupanda ungo ni mulugo.
2.je hizi ungo zinavyopaa,zina route yake?....kama kulivyo na anga la kimataifa,anga la ndege ndogo etc.
3.je radar inaweza ikaona hizi ungo?
4.ungo unafananaje----kwa mwenye picha tafadhali aweke
5.je zinatumia nishati gani?
6.zipo aina tofauti za ungo?ni ngapi?




wengine mtaanza kuponda hii thread,ila naamini itatusaidia wengine kupata uelewa kuhusu haya mambo yakoje yakoje,na kama ni kweli au stori tu......sisi ni waafrika,na mambo haya yapo kwetu,nitafurahi kujua kiundani kuhusu haya kwa JF.ni haayo tu kwa leo



CC: watu8 , Chimbuvu babaV Nicas Mtei Bujibuji Zinduna Filipo Mtambuzi Mbuzimzee The Boss Puppy @lara1 Preta Erickb52 charminglady Mwali Ndoa
 
ladies and gentrmen karibu katika ungo airways, Tafadhari funga mkanda wako na zima simu yako pia usigeuke nyuma sababu itaingiliana mawasiliano na rubani, tutasafiri mita 3500 juu ya usawa wa bahari. Kumbuka kapteni wako ni.... na msaidizi ni.... Safari yetu itachukua muda wa dk 2 na nusu kutoka dar hadi mwanza tafadhari kaa na ufurahie safari yako karibu ungo ways safiri kwa raha na kwaharaka kwa bei nafuu
 
Nitakupa majibu siku si nyingi, ngoja nikamsaili mjomba wangu wa Makorora Tanga
 
hizi ni story tu, na hazipo Africa tu, hata ulaya zamani kutokana na hadithi kulikuwa na myth kwamba wanasafiri kwa kutumia ufagio, kama vile wasukuma na fisi na wakerewe na mamba..., its just a load of BS
 
habari zenu,
natumaini weekend inaenda vyema hapo ulipo....leo nilikuwa naangalia
taarifa ya habari nikaona watu kadhaa wa familia moja wamedondoka na
ungo sehemu flani hapa nchini kwetu Tanzania (thread yenye habari zaidi
JF
hii
hapa
)...maswali yakaanzia hapo kutoka kwa niliokuwa nao,naomba
niwashirikishe ili kama kuna anayefahamu atujulishe.
1.is it scientifically proved kwamba ungo unapaa?....kwanini tusijaribu
kufanya utafiti tuhakikishe hii mambo,maana wengine(mimi personally)
naona hili swala la kupanda ungo ni mulugo.
2.je hizi ungo zinavyopaa,zina route yake?....kama kulivyo na anga la
kimataifa,anga la ndege ndogo etc.
3.je radar inaweza ikaona hizi ungo?
4.ungo unafananaje----kwa mwenye picha tafadhali aweke
5.je zinatumia nishati gani?
6.zipo aina tofauti za ungo?ni ngapi?




wengine mtaanza kuponda hii thread,ila naamini itatusaidia wengine
kupata uelewa kuhusu haya mambo yakoje yakoje,na kama ni kweli au stori
tu......sisi ni waafrika,na mambo haya yapo kwetu,nitafurahi kujua
kiundani kuhusu haya kwa JF.ni haayo tu kwa leo



CC:
watu8 ,

Chimbuvu
babaV
Nicas
Mtei

Bujibuji

Zinduna

Filipo

Mtambuzi

Mbuzimzee
The
Boss

Puppy
@lara1
Preta
Erickb52

charminglady
Mwali

Ndoa

Bibi wa msimbati anayajua yote haya,na huyu aliyetunguliwa leo ndo kajua wana wa ntwara wakoje
 
mnhhh sijui hili taifa lkoje koje
'most primitive nation on earth'
Mkuu the Boss, its the other way round, tuko more developed kuliko wazungu!.

Hata mimi hao jamaa nimewaona, mwanzo nilidhani wasafiri wote wa ungo, huvalia birthday suit zao, kuna wanaweza kusafiri na nguo zao!. Pia nidhani husafiri one on one, kumbe wanaweza kusafiri watu watatu?.

Hao wanahitaji kufanyiwa research ili usafiri huo utumike kitaifa zaidi!.

Kwa msio fahamu, hiyo ni "works of super natural power" kwa kutumia power ziitwazo "PSI". Kila binadamu anazaliwa na hizi powers ila wengi zaidi zina fall out kadri wanavyokuwa. Sasa wengine ziko more dorminant kuliko wengine. Wale ambao ni more dorminant wakishajijua kwa vijijini huitwa waganga, wanga na wachawi, kwa mjini hujiita mitume, manabii na wachungaji au waponyaji kimiujiza!.

Powers hizi zina brances nyingi, miongoni mwake ni "telekinesis", "telepathy", "pre cognition", "pre amonition", " "levitations", "telepotation", "metal benders", "clayvoyance", "deja vu"etc, stc.

Kuna Myahudi "Uri Geller", yeye baada ya kuwa na uwezo wa kupinda vyuma, alianza kurajirika kwa kuonyesha mazingaombwe tuu ya kupinda vyuma hadi alialikwa royal wedding ya Prince Charles na Lady Di, na akavipinda seti ya vijiko vya dhahabu walivyo zawadiwa maharusi.

Kampuni fulani ya mafuta ikamfanyia reseach kufanya "oil dowsing", jamaa anapewa ramani, anapepesa tuu mkono juu ya ramani kujua eneo lenye mafuta!. Baada ya hapo anapandishwa helcopter to trace the real location, jamaa analocate mpaka exact position, jamaa wakijimba wanakuta mafuta. Tangu hapo sasa jamaa huyo ni tajiri mkubwa sana with shares kwenye makampuni makubwa ya mafuta!.

Kwa jinsi nilivyowaona wakihojiwa, wamesema kila kila kitu, ila usiku wa leo, huyo mwenye chombo cha usafiri, atawaibukia na kesho watakuwa wamesahau kila kitu ili wasimuonyeshe huyo mganga alipo. Kesho wataonekana kama mataahira fulani. Hii ni sayansi ya kiafrika, tukiiendeleza, unaweza kukuta hata kuyasafirisha mafuta au gesi kuja jiji, wala hakuhitaji bomba!.

Lets be open minded kukubali black magic ipo, lets put it to a good use!.
Pasco.
 
Back
Top Bottom