Kuna nyuzi nyingi sana huku zinaongelea kuhusu safari za kwenda Uganda (nauli, malazi, sehemu za biashara). Jaribu kuzitafuta kwani hata mimi nilikua nina safari ya Uganda ila ilibidi nighairi kutokana na janga la Corona. Ila kama 27 Apr mipaka itafunguliwa itakua jambo jema kwani nadhani Corona itakua imeshaisha
Sent from my iPhone using JamiiForums