Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Khaaa! Mi ndo sirudii tena kwenda huko.......... usiniulize kwanini. Unakumbuka ulivyoniuliza haya makovu mdomoni yamesbabishwa na nini sikukujibu?
aiseee, hapa ndio naelewa sasa, ukomege na wewe, sio lamba lamba ile ati....hahahaha, nashukuru 2 kwangu mie haina madhara(kidhungu) kupiga deki huko chini, na msukuma alivyo na kinyaa hahahaha ningemic uvinza kweli, na mie bila uvinza sebene haliendi......karibu mbege!:lol: