Usafi katika mahaba

Usafi katika mahaba

Hatari na inatia aibu...
inaoneka hata wewe tu mleta mada hilo janga ni lako wenzio wote tukipanga mihadi tukifika kwanza lazima tuoge kidogo kuondoa jasho la barabarani maana kuna wanawake wengine hisia zipo kwenye makwapa so kuoga ni lazima
kama hujawai kuoga before sex just do that
 
Umewasaidia wengi mana kuna wengine miili yao kama wanaloweka kwenye maji tu..kingine watu wajifunze kuchagua aina za perfume unapokutana na mwenzi wako mana wengine sijui wanajipulizia za chooni au wafu hadi inakuwa tafrani mtu unapatwa na mafua usiyoyatarajia

Halafu perfume ikichanganyika na harufu ya jasho inakuwa shida kwelikweli
 
Kwa kuwa jiji likiwa chafu ni jukumu la wananchi kufanya usafi,, mm nitaanza kinyozi maalum ya vikwapa, wenzangu nao wajichagulie hizo sehem zilizobaki, jamani hii ni janga tusaidianeni
 
Naona Hapa Ni Where We Dare To Talk Openly,
Nitakae Mkwaza Anisamehe,
Japo Ndio Uzi Naanza Nao Ila Ni Kero Naiskia Kwa Wengi
Japo Nashukuru Mungu Janga Halijanifika Bado...


Hivi Kweli Tunda La Kiume Au la kike Ndio Unaenda Kukutana Nalo Chumbani 6/6 Room Ya Gharama Elfu 50,40 au Hata 25tsh
Unaenda Bila Kuoga, kupiga Mswaki, Kuvaa Nguo Za Uvundo Ambazo unazirudia Mara Mbili mbili za nje au ndani Kiujumla Unazifu Tu Zero...

Point:
*Full Body Kissing Kinyaa
*Kissing or Suck Dushe Kinyaa
*lips mdomo unanuka mradi tafran tu
*jasho sasa utafikiri kachumbari Imechacha...

In Short Ukiona Mtu Umekutana Nae Halafu Kakukacha Kiaina Labda Emergency Jua Wewe Unasifa Moja Wapo Za Uchafu...

Wengine Hujiona Kama Rihanna Au Angelina Jolie Kwa Wanawake Na Wanaume Hujiona Kama Shahrukh Khan Au Akon Lakini Ndani
Mapori Na Uvundo....
Ukiambiwa Ukweli Unakua Mkali...

Wakuu Mwenye Nyongeza Na Yaliyomkuta Tuelimishane

Aysher

View attachment 393388
Utupendae watanashati
 
Duh, ukweli mkuu. Binafsi enzi zangu kabla ya ndoa nilikuwa naoga na kupiga pamba safi najirashia body spray au perfume amazing, narudia kupiga mswaki na dawa kisha nasukutua vema. Nikiwa njiani kuelekea eneo sasa naongezea na kutafuna chewing gum ya mint. Yaani yote hii ni kuweka mazingira safi. Sikilizia tukifika 6x6 sasa utakuta mtoto watu ananilamba kila sehemu kwa hamu zote.
 
Aseee uciombee ukutane na mbunyee inayotoa harufu ndivyo sivyoo unawezaa ukapatwa tumbo la kuharaa jaman ile kituu ikiamuaga kunukaa banaaa chaaa afuu hataa akiondokaa ukimuona kwa mbaalii unahisi ilee harufuu


Harufu huwa ina linger hadi kwa imaginations....
 
Kwa kuwa jiji likiwa chafu ni jukumu la wananchi kufanya usafi,, mm nitaanza kinyozi maalum ya vikwapa, wenzangu nao wajichagulie hizo sehem zilizobaki, jamani hii ni janga tusaidianeni
 
Me mke wangu anavyonifanyia km mtoto mdogo!nalazmishwa kuoga tena na sabuni napewa na mswaki nikitoka hapo nafkizwa udi napuliziwa mapafyum!mwanzo nilikereka ikawa na ugomvi ila alikomaa hadi nimezoea sasa hivi najifanyia bila shuruti
 
Mtu akiwa mchafu ukimuacha bila kumwambia haita kuwa suluhisho, mwambie na msaidie ajirekebishe
[HASHTAG]#makavulive[/HASHTAG]
Siyo binadam wote wana hiyo courage, lkn lazima tu atakutana na mwenye hy courage na atakwambia weakness yk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom