Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,713
Wanajifanyaga don't care...yaani akijiweka smart ataitwa brazamen au shoga. Khaaaa!Asilimia kubwa ya wanaume ni wachafu.
Wanajifanyaga don't care...yaani akijiweka smart ataitwa brazamen au shoga. Khaaaa!Asilimia kubwa ya wanaume ni wachafu.
Uko sahihi kabisa mkuu,wanajifanya wagumu.Wanajifanyaga don't care...yaani akijiweka smart ataitwa brazamen au shoga. Khaaaa!
Si mnaoga wote...tatizo liko wapiMmmh! jamani huo mda wa kuoga tunao? cha jioni sijakipata niwaze kuoga tena kama umeshindwa kunipa mambo lala mbele
We haup?Wamekuelewa uliowalenga.
inaoneka hata wewe tu mleta mada hilo janga ni lako wenzio wote tukipanga mihadi tukifika kwanza lazima tuoge kidogo kuondoa jasho la barabarani maana kuna wanawake wengine hisia zipo kwenye makwapa so kuoga ni lazimaHatari na inatia aibu...
Sass kwanini uoe/olewa na mchafu!??Hata kwenye ndoa nako kuchafu tena useme na huko mkisha zoeana tu kosa
Umewasaidia wengi mana kuna wengine miili yao kama wanaloweka kwenye maji tu..kingine watu wajifunze kuchagua aina za perfume unapokutana na mwenzi wako mana wengine sijui wanajipulizia za chooni au wafu hadi inakuwa tafrani mtu unapatwa na mafua usiyoyatarajia
Naona Hapa Ni Where We Dare To Talk Openly,
Nitakae Mkwaza Anisamehe,
Japo Ndio Uzi Naanza Nao Ila Ni Kero Naiskia Kwa Wengi
Japo Nashukuru Mungu Janga Halijanifika Bado...
Hivi Kweli Tunda La Kiume Au la kike Ndio Unaenda Kukutana Nalo Chumbani 6/6 Room Ya Gharama Elfu 50,40 au Hata 25tsh
Unaenda Bila Kuoga, kupiga Mswaki, Kuvaa Nguo Za Uvundo Ambazo unazirudia Mara Mbili mbili za nje au ndani Kiujumla Unazifu Tu Zero...
Point:
*Full Body Kissing Kinyaa
*Kissing or Suck Dushe Kinyaa
*lips mdomo unanuka mradi tafran tu
*jasho sasa utafikiri kachumbari Imechacha...
In Short Ukiona Mtu Umekutana Nae Halafu Kakukacha Kiaina Labda Emergency Jua Wewe Unasifa Moja Wapo Za Uchafu...
Wengine Hujiona Kama Rihanna Au Angelina Jolie Kwa Wanawake Na Wanaume Hujiona Kama Shahrukh Khan Au Akon Lakini Ndani
Mapori Na Uvundo....
Ukiambiwa Ukweli Unakua Mkali...
Wakuu Mwenye Nyongeza Na Yaliyomkuta Tuelimishane
Aysher
View attachment 393388
Utupendae watanashati
Aseee uciombee ukutane na mbunyee inayotoa harufu ndivyo sivyoo unawezaa ukapatwa tumbo la kuharaa jaman ile kituu ikiamuaga kunukaa banaaa chaaa afuu hataa akiondokaa ukimuona kwa mbaalii unahisi ilee harufuu
Kwa kuwa jiji likiwa chafu ni jukumu la wananchi kufanya usafi,, mm nitaanza kinyozi maalum ya vikwapa, wenzangu nao wajichagulie hizo sehem zilizobaki, jamani hii ni janga tusaidianeni

Siyo binadam wote wana hiyo courage, lkn lazima tu atakutana na mwenye hy courage na atakwambia weakness ykMtu akiwa mchafu ukimuacha bila kumwambia haita kuwa suluhisho, mwambie na msaidie ajirekebishe
[HASHTAG]#makavulive[/HASHTAG]