Usafi katika mahaba

Usafi katika mahaba

Mmmh! jamani huo mda wa kuoga tunao? cha jioni sijakipata niwaze kuoga tena kama umeshindwa kunipa mambo lala mbele
 
Aseee uciombee ukutane na mbunyee inayotoa harufu ndivyo sivyoo unawezaa ukapatwa tumbo la kuharaa jaman ile kituu ikiamuaga kunukaa banaaa chaaa afuu hataa akiondokaa ukimuona kwa mbaalii unahisi ilee harufuu
 

Hata wewe ulicho kiandika hapa ebu fikiria ndo una mwambia mpenzi wako hapo
Hatari tupuu!
Mi namwambia tu sasa inategemea yeye atalipokea vipi akichukia poa lkn badae atakaa ataona huu no ukweli
 
MIE HUWA SIPIGI GAME MPAKA TUOGE KWANZA NDO MTANANGE UANZE
 
Ingieni ktk ndoa. Acheni dhambi. Ndo maana mnakutana na mivundo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom