Huyo msichana ni wa hapa JF mkuu?Sana tu,kuna msichana namfahamu alikuwa ananuka pichu ni hatari.....
Aiseee niko sensitive mnoo kwenye suala la usafi, kwahiyo ukiwa mchafu nitakuita jirani tu hauwezi vuka hiyo mipaka.usiombe ukakutana na kidume anavua boksa halafu inaanza kutoa harufu ya mapum** hiyo ina uwezo wa kusimama dede yenyewe na rangi yake ukipatia labda ulimnunulia wewe
Fanya basi mpango wa kale kadigirii kabla sijaadhirika mweeeh!!Hiyo hunikera sana kwa kweli.
Sasa hapo unakuta mwenzio wala haoni ubaya wowote ule.
Ndo mtu inabidi ukubali tu kuwa watu tumetofautiana.
Ukionacho kibaya wewe kwa mwenzio ni kawaida tu na kawaida kwako kwa mwengine yaweza kuwa kero.
navuta picha hapa ukienda kukata gogo nahisi unaingia na airfresherAiseee niko sensitive mnoo kwenye suala la usafi, kwahiyo ukiwa mchafu nitakuita jirani tu hauwezi vuka hiyo mipaka.
Hahahaaaa!! Natoa kitu cha cake.navuta picha hapa ukienda kukata gogo nahisi unaingia na airfresher
Hahahaaaa!! Natoa kitu cha cake.
eee si unakulaga ngano sukari na mayaiHahahaaaa!! Natoa kitu cha cake.
Hahahaha,hapana aisee.Huyo msichana ni wa hapa JF mkuu?
Pole mkuu kwa yaliyokusibu ingawa unakwepaNaona Hapa Ni Where We Dare To Talk Openly,
Nitakae Mkwaza Anisamehe,
Japo Ndio Uzi Naanza Nao Ila Ni Kero Naiskia Kwa Wengi
Japo Nashukuru Mungu Janga Halijanifika Bado...
Hivi Kweli Tunda La Kiume Au la kike Ndio Unaenda Kukutana Nalo Chumbani 6/6 Room Ya Gharama Elfu 50,40 au Hata 25tsh
Unaenda Bila Kuoga, kupiga Mswaki, Kuvaa Nguo Za Uvundo Ambazo unazirudia Mara Mbili mbili za nje au ndani Kiujumla Unazifu Tu Zero...
Point:
*Full Body Kissing Kinyaa
*Kissing or Suck Dushe Kinyaa
*lips mdomo unanuka mradi tafran tu
*jasho sasa utafikiri kachumbari Imechacha...
In Short Ukiona Mtu Umekutana Nae Halafu Kakukacha Kiaina Labda Emergency Jua Wewe Unasifa Moja Wapo Za Uchafu...
Wengine Hujiona Kama Rihanna Au Angelina Jolie Kwa Wanawake Na Wanaume Hujiona Kama Shahrukh Khan Au Akon Lakini Ndani
Mapori Na Uvundo....
Ukiambiwa Ukweli Unakua Mkali...
Wakuu Mwenye Nyongeza Na Yaliyomkuta Tuelimishane
Aysher
View attachment 393388
Ndio.eee si unakulaga ngano sukari na mayai
ukienda kukata gogo tu ukiinuka unakagua kama hujavunja sinki kama vita ya mawe au kokotoNdio.
Hahahaaaaaa!!ukienda kukata gogo tu ukiinuka unakagua kama hujavunja sinki kama vita ya mawe au kokoto
huu ndio ukweli

Ukihitaji ushauri nasaha mkuu npmYakinikuta ntakuja kusema wala usitie shaka ni vitu ambavyo vipo na vinatuzunguka.
Aiseeee!!Umewasaidia wengi mana kuna wengine miili yao kama wanaloweka kwenye maji tu..kingine watu wajifunze kuchagua aina za perfume unapokutana na mwenzi wako mana wengine sijui wanajipulizia za chooni au wafu hadi inakuwa tafrani mtu unapatwa na mafua usiyoyatarajia
HahahahahaAseee uciombee ukutane na mbunyee inayotoa harufu ndivyo sivyoo unawezaa ukapatwa tumbo la kuharaa jaman ile kituu ikiamuaga kunukaa banaaa chaaa afuu hataa akiondokaa ukimuona kwa mbaalii unahisi ilee harufuu