Sana tu,kuna msichana namfahamu alikuwa ananuka pichu ni hatari.....Hatari na inatia aibu...
Ndo kupenda huko ni pamoja na kukosoanaItategemea Si Unajua Hadi Mtu Kuzungumza Na Kutufikishia Ujumbe
UmeonaaeeeUmewasaidia wengi mana kuna wengine miili yao kama wanaloweka kwenye maji tu..kingine watu wajifunze kuchagua aina za perfume unapokutana na mwenzi wako mana wengine sijui wanajipulizia za chooni au wafu hadi inakuwa tafrani mtu unapatwa na mafua usiyoyatarajia
HahahahMi napenda sana kukosolewa![]()
![]()