USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

Huyo kijana naona haijui marekani? Amesahau watu wangapi walikufa Afghanistan, Iraq na kwingineko ambako alikua anatoa misada ya kijeshi kwa wapiganaji.
Hivi Dripboy unadhani Marekani wanawaonea huruma Wairan?Umeshawah kusikia Marekan inatoa amr ya kushambulia kisha amr inasitishwa ghafla?Hiv kule Iraq walikufa wangapi?au Bush hana huruma Trump ndo Malaika?
 
Ninachojua kwa sasa tuna rais mjinga sana Trump,,,mwanaume alikua Bush bwana, alikua hapepesi, alikua anakupa muda kabisa lina anakuja kukuchapa,,,huku mwana mama machachari Condeleza Rice akisimama kama moja....
 
Ndugu yangu,Marekani siwapendi kabisa.Ila kwa teknolojia waliyonayo wakiamua kumpiga Iran ni dk tano tu wanamaliza mchezo.Marekani Iran anauogopa ushirika wa Mrusi na mchina
Technolijia ya Drone kuonwa na kutunguliwa?
 
Malengo yapi?
Unaiweza vita wewe, unaweza kukaa mahala kwenye vita wewe, mwanamke gani una roho mbaya unatamani vita itokee waangamie wanyonge wasio na maslahi yoyote?

Nina shaka wewe humu huenda unatafuta mabwana mwanamke wa kitanzania hawezi kuwa kama wewe, sehemu yenye vita ya mapanga tu wewe hukai alafu unatamani kwa wenzio vita itokee kisa tu una chuki zako binafsi PUMBAVU kabisa
 
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
Huko unakokwenda Victoire siko kabisa. Una ujuzi wa hayo unayoyaandika au chuki,mihemko,kufurahisha wana jamvi?Hapana tusiende huko dada
 
Mimi nimefika Iran na naijua vizuri Iran. Jana umeisikiliza interview ya Trump aliofanya NBC? Je umeyasikilizamazungumzo na waandishi jana Mike Pompeo aliosema kabla ya kupanda ndege kuelekea UAE/Saudia? Au hata kimombo hakipandi unapata tabu kujua vizuri kinachoendelea duniani? Na je ulifuatilia ziara ya Shinzo Abe aliofanya Tehran na alisemaje kilichomleta kuonana na Khamenei?
Trump jana hajazungumza acha kupotosha, mimi kituo changu pendwa cha habari ni kituo ambacho CIA wanakiita Russian propaganda machine kinaitwa RT hiki hakizungumzi mabaya ya Russia kabisa hata chembe ila kinazungumza mabaya ya U.S tu na anapokosea ndio inakuwa trending news.

Hawa wanakomaa sana na France na U.S sasa nieleze ni jambo gani la kutisha alilozungumza Pompeo ambalo wewe ulilisikia au hata John Bolton maana nae alizungumza
 
No bro i disagree.Unaambiwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.Haukuzuka tu.Wanasema ndondondo c chururu.Wema ukianza kujengwa leo ucdhani ubaya ucdhani utaondoka mara moja,laa!Ila hatuwezi kuacha kufanya mema kwasababu ubaya umezidi bro FRANC THE GREET
Ni wapi hapo unapo-Disagree?
Mimi sijasema mtu yeyote aache kufanya mema na wala silazimishi mtu kutenda mema. Kufanya mema au mabaya ni swala la uchaguzi, hivyo ni utashi wa mtu kuamua ni kipi cha kutenda kati ya hayo mawili.
 
Huko unakokwenda Victoire siko kabisa. Una ujuzi wa hayo unayoyaandika au chuki,mihemko,kufurahisha wana jamvi?Hapana tusiende huko dada
Shia wanaamini baada ya Mohamed kufa Ali ndo mrithi ambae alikuwa cousin wa Mohamed. Sunni wao wanaamini Abu Bakri ndo anatakiwa awe mrithi wa Mohamed. Sakasaka lilianza baada ya Mohamed kufariki dunia. Pia nadhani ni la kisiasa zaidi. All in all wote wanaamini Allah mmoja,Mohamed na wanasoma Kuran moja. Any way hiyo ni maada nyingine.
 
Ni wapi hapo unapo-Disagree?
Mimi sijasema mtu yeyote aache kufanya mema na wala silazimishi mtu kutenda mema. Kufanya mema au mabaya ni swala la uchaguzi, hivyo ni utashi wa mtu kuamua ni kipi cha kutenda kati ya hayo mawili.
Uliandika mabaya yanafanywa mengi sana na hayakuanza leo,nikakuelewa kwamba pengine unamaanisha kwa kua mabaya yanafanywa mengi na hayakuanza leo bas mema hayana nafasi,ikiwa hukumaanisha hivyo poa kaka,nitakuelewa
 
Sasa ndugu wewe unasema unaangalia tu RT, na mimi nimekuuliza umeisikiliza interview ya Trump iliorushwa jana NBC? kama hujaona Trump anaongea rt maanake hajazungumza right? Jaribu kuangalia pia angalau CNN, Presstv, Aljazeera, Al-arabia au hata BBC utapata uongo na ukweli wa kinachoendelea middle East kwa sasa.
Trump jana hajazungumza acha kupotosha, mimi kituo changu pendwa cha habari ni kituo ambacho CIA wanakiita Russian propaganda machine kinaitwa RT hiki hakizungumzi mabaya ya Russia kabisa hata chembe ila kinazungumza mabaya ya U.S tu na anapokosea ndio inakuwa trending news.

Hawa wanakomaa sana na France na U.S sasa nieleze ni jambo gani la kutisha alilozungumza Pompeo ambalo wewe ulilisikia au hata John Bolton maana nae alizungumza
 
Unaiweza vita wewe, unaweza kukaa mahala kwenye vita wewe, mwanamke gani una roho mbaya unatamani vita itokee waangamie wanyonge wasio na maslahi yoyote?

Nina shaka wewe humu huenda unatafuta mabwana mwanamke wa kitanzania hawezi kuwa kama wewe, sehemu yenye vita ya mapanga tu wewe hukai alafu unatamani kwa wenzio vita itokee kisa tu una chuki zako binafsi PUMBAVU kabisa
Nani kasema natamani vita itokee. Napenda peaceful world. Huwezi amini ninavyochukia hawa majirani Iran,Saudi arabia,Qatar,UAE wanavyochonganishwa na US. Yes US akimchokoza Iran,nataka Iran amshikishe adabu US. Kasome vita vya Iraq-Iran 1980 mpaka 1988.Uone US walivyomsadia Iraq kupigana na jirani yake Iran. I hate folks who cause conflicts. Eti natafuta mabwana. Naona huna hoja umeanza vioja. Jibu hoja kwa hoja. Na sio personal attacks.
 
Dada angu,huna haki ya kujadili suala usolijua au huna ilm nalo.Hii ni kanuni.Umekosea ndo maana nikaandika huko unakotupeleka SIKO.Unatuletea mada nyingine kabisaaaa.Tusiende huko dd Victoire
Tuliache hilo.
 
Uliandika mabaya yanafanywa mengi sana na hayakuanza leo,nikakuelewa kwamba pengine unamaanisha kwa kua mabaya yanafanywa mengi na hayakuanza leo bas mema hayana nafasi,ikiwa hukumaanisha hivyo poa kaka,nitakuelewa
Niliposema kuwa mabaya hayakuanza leo nilizungumzia uhalisia wa mambo uliopo na si kwamba nilihalalisha mabaya yanayotendeka. Yote kwa yote, nashukuru kama umenielewa.
 
Back
Top Bottom