USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

Trump jana hajazungumza acha kupotosha, mimi kituo changu pendwa cha habari ni kituo ambacho CIA wanakiita Russian propaganda machine kinaitwa RT hiki hakizungumzi mabaya ya Russia kabisa hata chembe ila kinazungumza mabaya ya U.S tu na anapokosea ndio inakuwa trending news.

Hawa wanakomaa sana na France na U.S sasa nieleze ni jambo gani la kutisha alilozungumza Pompeo ambalo wewe ulilisikia au hata John Bolton maana nae alizungumza
Nasema tena nawashauri Iran waombee John Bolton asipandwe na uchizi wake maana Trump atapelekewa Seal na atalazimishwa kubonyeza bila kupenda, ile inatoaga jibu moja tu "Bomb Them" hahaaa Tehran yote itakuwa upside down nawaambia.
 
Nasema tena nawashauri Iran waombee John Bolton asipandwe na uchizi wake maana Trump atapelekewa Seal na atalazimishwa kubonyeza bila kupenda, ile inatoaga jibu moja tu "Bomb Them" hahaaa Tehran yote itakuwa upside down nawaambia.
Pale kwa Iran pagumu mkuu.
 
Siwaamini wamarekani kama wanasema drone waliyoituma Iran inauwezo wa kupita anga yoyote bila kuonekana sasa ilipigwa na nani huenda waliipiga wenyewe USA ili wapate sanabu ya kumshambulia Iran wara nyingi huwa wanatengeneza issue ya kuifanya dunia iamini wanavyotaka ili wafanye yao ni wanafiki sana
 
Kwa tabia za USA, ingekuwa Iran ni mnyonge mnyonge kama Tz hivi angekuwa ashatwanga kitambo. Intelligence yake imeshamwambia akigusa Iran atarajie China na Urusi watatwanga Newyork na Washington
, yaani ngumi ya jicho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliahirisha Korea leo Iran, kwanini? Dunia sahizi imwchoshwa na uonevu wake. Maadui ni wengi kuliko anavyodhania. Hata hao marafiki zake si marafiki wa kweli bali wengi wao ni uoga wasijepigwa nae.
Natabiri kuanguka kwa dola ya Marekani miaka ya Karibuni.
ujinga tu
 
Trump anatisha ili wairan wakae WA negotiate name.kama alivyofanya Kwa NK NA CHINA.
 
Back
Top Bottom