USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

Your so brave --woman
Nani kasema natamani vita itokee. Napenda peaceful world. Huwezi amini ninavyochukia hawa majirani Iran,Saudi arabia,Qatar,UAE wanavyochonganishwa na US. Yes US akimchokoza Iran,nataka Iran amshikishe adabu US. Kasome vita vya Iraq-Iran 1980 mpaka 1988.Uone US walivyomsadia Iraq kupigana na jirani yake Iran. I hate folks who cause conflicts. Eti natafuta mabwana. Naona huna hoja umeanza vioja. Jibu hoja kwa hoja. Na sio personal attacks.
 
Ujinga tu ndio unao watafuna ---- hapo kikubwa mnoo kinacho gombaniwa ni maslahi na sio chochote Dini inatumika tu kama chambo cha kuwa brain wash watu

Saudia wanajua kuwa Imani ya Iran ikiweza kusambaa sana kisha watu wakaya fuata mafundisho yao kuwa 'Imam hussein (mjukuu wa mtume ) na yeye alikuwa mtume baada ya muhammad kufariki ---

Basi wao kama Saudia watakosa ushawishi wa kiimani dhidi ya Mataifa '-- kitu ambacho kinaweza kupelekea watu wao kukosa watu kwenda Hijja Saudia ---ifahamike kwamba Saudia wana nufaika kwa kiasi kikubwa ''kukuza pato la Taifa lao kwa kupitia mbinu ya Hijja '' lakini huu ni ukweli ambao hauwezi kusemwa hata siku 1.... wame wajaza watu ujinga ili waamini kuwa kwenda Ku Hijji ni lazima ''kwa kila muislam mwenye uwezo ili wao wapige pesa kupitia utalii wao wandani '''(mbaya zaidi watu hawaja shtuka kuwa Ule ni utalii tu ila umepachikwa Imani bandia ili waweze kuvunwa pesa zao. ..mm
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
 
Marekani imedai kuwa Iran ina silaha za masafa marefu zaidi kuliko nchi yoyote ile mashariki ya kati.

Kuna ukweli wowote juu ya hilo?


Kwani kumiliki hizo silaha ni dhambi ?

Wamarekani nao waache tabia za kike
Wamejawa na wivu wivu. Vyao vya kwao, vya wenzao navyo vyao.
 
Ujinga tu ndio unao watafuna ---- hapo kikubwa mnoo kinacho gombaniwa ni maslahi na sio chochote Dini inatumika tu kama chambo cha kuwa brain wash watu

Saudia wanajua kuwa Imani ya Iran ikiweza kusambaa sana kisha watu wakaya fuata mafundisho yao kuwa 'Imam hussein (mjukuu wa mtume ) na yeye alikuwa mtume baada ya muhammad kufariki ---

Basi wao kama Saudia watakosa ushawishi wa kiimani dhidi ya Mataifa '-- kitu ambacho kinaweza kupelekea watu wao kukosa watu kwenda Hijja Saudia ---ifahamike kwamba Saudia wana nufaika kwa kiasi kikubwa ''kukuza pato la Taifa lao kwa kupitia mbinu ya Hijja '' lakini huu ni ukweli ambao hauwezi kusemwa hata siku 1.... wame wajaza watu ujinga ili waamini kuwa kwenda Ku Hijji ni lazima ''kwa kila muislam mwenye uwezo ili wao wapige pesa kupitia utalii wao wandani '''(mbaya zaidi watu hawaja shtuka kuwa Ule ni utalii tu ila umepachikwa Imani bandia ili waweze kuvunwa pesa zao. ..mm
Hakika mkuu
 
Wanafiki hawa. Wivu tu kwa Iran. Eti wanamuunga mkono US alieko mail kibao mbali kuliko jirani yao Iran. US anawapenda urafiki with benefits ili auze silaha. Saudi Arabia vilaza wale washukuru Mafuta na gas kutoka kwa Mungu. La sivyo wangekuwa maskini wa kutupwa.
Mbona nchi nyingi za Afrika zina rasimali nyingi ikiwemo mafuta lakini maskini wa kutupwa.

so issue inayowabeba ni zaidi ya wao kuwa na mafuta.
 
Hivi kwann Pakistan hauzi technology ya nuclear Kwa jirani yake Iran ?
 
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
shia hawaamini kuna mtume baada ya muhammad(saw)...get your facts right maam!!
 
Watu wengi wanafikiria kuwa vita nijambo baya sana lakini katika dunia ya leo na iliopita vita ndo vinaleta kuheshimiana katika jamii mbali mbali ijapokuwa sijambo zuri lkn kuna wakati uonevu, dhulma na maasi yanapozidi katika dunia Muungu huwapambanisha baina ya watu kwa watu ili kupatikane kwa amani na kuheshimiana katika jamii husika.
Wala kuwa na jeshi kubwa, teknlogi, uchumi nk sisababu ya kushinda vita, turudini katika historia za nyuma baina ya Mussa na Firauni, Daudi namna alivyo tawala, kuuangushwa tawala za Rome, kuangushwa kwa tawala za Fursi (Parsia) nk.
Kiifupi ushindi unaletwa na Muungu kwa hio yule atakae pendwa na Muungu atapewa ushindi ili kumdhibiti adui wa Muungu pamoja na kuokoa madhara ya waja wa Muungu.
Muungu anamajeshi mengi ardhini na mbinguni lkn miongoni mwa majeshi anayotumia ni kuwapambanisha binaadamu kwa binaadamu ili kuleta nidhamu.
Tawala ngapi zimeanguka na kuchipuka tawala mpya ambazo hazina majina na baada ya kupata ushindi zikajisahau na kufanya dhulma nazo hazikudumu.
Nb.
Dhulma haidumu na ikudumu huwa inaangamiza
 
shia hawaamini kuna mtume baada ya muhammad(saw)...get your facts right maam!!
Shia wanaamini cousin wa Mohamed ndo mrithi. Anaitwa Ali kama sikosei. Shia na sunni tofauti zao ziliibuka baada ya Mtume Mohamed kufa. Nani awe mrithi wake?.Sunna wao walimchagua aliyekuwa rafiki mkubwa mtume. Nimemsahau jina. Haya niliyasoma longtime.But wote wanaamini Mtume Mohamed na wanasoma koran moja.
 
Shia wanaamini cousin wa Mohamed ndo mrithi. Anaitwa Ali kama sikosei. Shia na sunni tofauti zao ziliibuka baada ya Mtume Mohamed kufa. Nani awe mrithi wake?.Sunna wao walimchagua aliyekuwa rafiki mkubwa mtume. Nimemsahau jina. Haya niliyasoma longtime.But wote wanaamini Mtume Mohamed na wanasoma koran moja.
ugomvi ulikuja kipindi cha khalifa wa nne,uthman bin affan,alikua mpole,myahudi abdullah bin sabai(akijijenga kama mwanazuoni wa kiislam kwa muda mrefu) na wenzie ndio walioanzisha zogo la utawala,wakawagawa waislam makundi mawili,wanatia fitna huku wanatia na kule,mwisho uthman akauawa..hapo ndo ugomvi ulipoanzia..shia maana yake kundi,shia aliy..kundi la aliy
 
Hahahahaha

Iran sasa kazidi dharau mkuu
Hahahahahah Iran wanaume mkuu.
mwambie
ze kokuyo
Dish linauzwa ataona Afcom bila kingamuzi!

1137671
 
Marekani wanadai wanatengeneza coalition kupambana na iran,ngoja tuone
 
Ujinga tu ndio unao watafuna ---- hapo kikubwa mnoo kinacho gombaniwa ni maslahi na sio chochote Dini inatumika tu kama chambo cha kuwa brain wash watu
Saudia wanajua kuwa Imani ya Iran ikiweza kusambaa sana kisha watu wakaya fuata mafundisho yao kuwa 'Imam hussein (mjukuu wa mtume ) na yeye alikuwa mtume baada ya muhammad kufariki ---
Basi wao kama Saudia watakosa ushawishi wa kiimani dhidi ya Mataifa '-- kitu ambacho kinaweza kupelekea watu wao kukosa watu kwenda Hijja Saudia ---ifahamike kwamba Saudia wana nufaika kwa kiasi kikubwa ''kukuza pato la Taifa lao kwa kupitia mbinu ya Hijja '' lakini huu ni ukweli ambao hauwezi kusemwa hata siku 1.... wame wajaza watu ujinga ili waamini kuwa kwenda Ku Hijji ni lazima ''kwa kila muislam mwenye uwezo ili wao wapige pesa kupitia utalii wao wandani '''(mbaya zaidi watu hawaja shtuka kuwa Ule ni utalii tu ila umepachikwa Imani bandia ili waweze kuvunwa pesa zao. ..mm
Kwani hijja imeanzishwa na huo ufalme au huo ufalme umeikuta hiyo hijja?
 
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
Shida katkati yupo Muamerika mpenda fedha kazi yake kuchochea kuni[emoji23]
 
Back
Top Bottom