USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

Hata Irani mafuta ndiyo nguzo ya uchumi. Tofauti/uadui wa S.Arabia na Irani msingi wake ni U-shia na U-sunni. Imani ni upumbavu.
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
 
Kumbe umeliona hilo, USA ni wahuni sana wakiamua kupiga propaganda hapo Waarabu wala tende watanunua hafu hata kuitumia hawawezi.
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Cha ajabu Saudi Arabia ina silaha kibao za kimarekani lakini wanasumbuliwa na vi drones za Waasi wa kihouthi wa Yemen 😂😂😂😂😂
 
Tena Imani ndo chanzo kikubwa cha kutoelewana .Wengine wanaamini Mohamed ndo wa mwisho,wengine baada ya Mohamed alikuwepo mwingine. Ila all in all wote wanaamini Mohamed na Allah. Huwa najiuliza kwa nini wasiunganishwe na Allah na Mohamed maana wanashare. Halafu wakaruhusu kuvumiliana tofauti zao?.
🙏🙏🙏🙏🙏
 
Iran?hiyo number nyingine. Iran siyo Iraq wala Afghanistan. Si unaona US wenyewe walichange dakika 10 kabla. Yaani wangethubutu sasa hivi story ingekuwa kivingine vingine.
Iran hawana maneno mengi, wamesema Trump aanzishe vita aone what will hapen. US inabembeleza wafanye mazungumzi bila hata mashart ya mwanzi Iran imekataa kwa madai kua Trump haaminiki hivo sio mtu wa kufanya mazungumzo nae. Kiuhalisia Iran ikivamiwa mashariki ya kati yote haitakua salama.
 
Wanafiki hawa. Wivu tu kwa Iran. Eti wanamuunga mkono US alieko mail kibao mbali kuliko jirani yao Iran. US anawapenda urafiki with benefits ili auze silaha. Saudi Arabia vilaza wale washukuru Mafuta na gas kutoka kwa Mungu. La sivyo wangekuwa maskini wa kutupwa.
Hata hivyo bado masikini wa akili..
 
Iran hawana maneno mengi, wamesema Trump aanzishe vita aone what will hapen. US inabembeleza wafanye mazungumzi bila hata mashart ya mwanzi Iran imekataa kwa madai kua Trump haaminiki hivo sio mtu wa kufanya mazungumzo nae. Kiuhalisia Iran ikivamiwa mashariki ya kati yote haitakua salama.
Hakika mkuu 🙏🙏🙏
 
Chaguo lao?Yanapokua maslah haramu mwenye yaliypjaa damu pia.Hapana bro FRANC THE GREAT,Damu zetu ndiyo utajiri wao!Fikiria tena bro
Ndugu! Hii Dunia ina mambo mengi sana mabaya yanatendeka na imekuwa hivyo kipindi kirefu sana. Ni kitu gani unaweza kukifanya hivi sasa kuzuia hilo ilhali mabaya yanazidi kuongezeka siku hadi siku?

Bado linabaki kuwa chaguo lao kuamua kile wanachokiona kinawafaa. Kama ni maslahi haramu au maslahi halali. It's Their Choice!
 
Back
Top Bottom