Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 25,037
- 60,222
Usinijudge kutokana na gender yangu.Mkuu huyu dada humshangai kweli kuna mwanamke wa kibongo yuko hivi? Anaweza kuishi sehemu hata yenye panya road huyu
Usinijudge kutokana na gender yangu.Mkuu huyu dada humshangai kweli kuna mwanamke wa kibongo yuko hivi? Anaweza kuishi sehemu hata yenye panya road huyu
Uweke wazi huo ujinga wa Trump ....Ninachojua kwa sasa tuna rais mjinga sana Trump,,,mwanaume alikua Bush bwana, alikua hapepesi, alikua anakupa muda kabisa lina anakuja kukuchapa,,,huku mwana mama machachari Condeleza Rice akisimama kama moja....
Kitu gani?Kuna kitu kinakuja hapo
Shukran Mkubwa FRANC THE GREETNiliposema kuwa mabaya hayakuanza leo nilizungumzia uhalisia wa mambo uliopo na si kwamba nilihalalisha mabaya yanayotendeka. Yote kwa yote, nashukuru kama umenielewa.
Hicho ndicho USA anachohofia zaidi.Maana Russia akitia timu, balaaaaa 😂😂😂😂😂Ndugu yangu,Marekani siwapendi kabisa.Ila kwa teknolojia waliyonayo wakiamua kumpiga Iran ni dk tano tu wanamaliza mchezo.Marekani Iran anauogopa ushirika wa Mrusi na mchina
Unajua ufalme wa Saudia Una sapoti ya kubwa ya US , Kwa kifupi huo ufalme ni kibaraka wa US , na kukosa US ungeshapinduliwaWanafiki hawa. Wivu tu kwa Iran. Eti wanamuunga mkono US alieko mail kibao mbali kuliko jirani yao Iran. US anawapenda urafiki with benefits ili auze silaha. Saudi Arabia vilaza wale washukuru Mafuta na gas kutoka kwa Mungu. La sivyo wangekuwa maskini wa kutupwa.
Salute mkuu 🙏🙏👊👍Nani kasema natamani vita itokee. Napenda peaceful world. Huwezi amini ninavyochukia hawa majirani Iran,Saudi arabia,Qatar,UAE wanavyochonganishwa na US. Yes US akimchokoza Iran,nataka Iran amshikishe adabu US. Kasome vita vya Iraq-Iran 1980 mpaka 1988.Uone US walivyomsadia Iraq kupigana na jirani yake Iran. I hate folks who cause conflicts. Eti natafuta mabwana. Naona huna hoja umeanza vioja. Jibu hoja kwa hoja. Na sio personal attacks.
Full mtanangeShia wanaamini baada ya Mohamed kufa Ali ndo mrithi ambae alikuwa cousin wa Mohamed. Sunni wao wanaamini Abu Bakri ndo anatakiwa awe mrithi wa Mohamed. Sakasaka lilianza baada ya Mohamed kufariki dunia. Pia nadhani ni la kisiasa zaidi. All in all wote wanaamini Allah mmoja,Mohamed na wanasoma Kuran moja. Any way hiyo ni maada nyingine.
Jamani kulikoni tena 😂😂😂😂😂Unaiweza vita wewe, unaweza kukaa mahala kwenye vita wewe, mwanamke gani una roho mbaya unatamani vita itokee waangamie wanyonge wasio na maslahi yoyote?
Nina shaka wewe humu huenda unatafuta mabwana mwanamke wa kitanzania hawezi kuwa kama wewe, sehemu yenye vita ya mapanga tu wewe hukai alafu unatamani kwa wenzio vita itokee kisa tu una chuki zako binafsi PUMBAVU kabisa
Lazima nikuhukumu mwanamke gani wewe yani ningekuwa nakujua wewe nakutongoza alafu sekeseke lake ungejutaUsinijudge kutokana na gender yangu.
Heeee!Jamani acheni hizo,Driboy polepple kakanguLazima nikuhukumu mwanamke gani wewe yani ningekuwa nakujua wewe nakutongoza alafu sekeseke lake ungejuta
Wewe ni mwanamke mshenzi kabisa, kudadeki unadhani vita ikitokea si itapiganwa kwenye ardhi ya Iran kina nani wataathirika zaidi unahisi kama si kina mama na watoto ambao hata hawana hatia shenzi zako kamfurahishe mumeo huko acha kubwata bwata kipuuziNani kasema natamani vita itokee. Napenda peaceful world. Huwezi amini ninavyochukia hawa majirani Iran,Saudi arabia,Qatar,UAE wanavyochonganishwa na US. Yes US akimchokoza Iran,nataka Iran amshikishe adabu US. Kasome vita vya Iraq-Iran 1980 mpaka 1988.Uone US walivyomsadia Iraq kupigana na jirani yake Iran. I hate folks who cause conflicts. Eti natafuta mabwana. Naona huna hoja umeanza vioja. Jibu hoja kwa hoja. Na sio personal attacks.
Mkuu RT ni habari nyingine.Sasa ndugu wewe unasema unaangalia tu RT, na mimi nimekuuliza umeisikiliza interview ya Trump iliorushwa jana NBC? kama hujaona Trump anaongea rt maanake hajazungumza right? Jaribu kuangalia pia angalau CNN, Presstv, Aljazeera, Al-arabia au hata BBC utapata uongo na ukweli wa kinachoendelea middle East kwa sasa.
Una matatizo. Huko US pia watapigwa. Iraq sio Iran.Wewe ni mwanamke mshenzi kabisa, kudadeki unadhani vita ikitokea si itapiganwa kwenye ardhi ya Iran kina nani wataathirika zaidi unahisi kama si kina mama na watoto ambao hata hawana hatia shenzi zako kamfurahishe mumeo huko acha kubwata bwata kipuuzi