LJ Innocent
Member
- Oct 20, 2016
- 31
- 16
Inabidi sasa inapofikia nchi mbili zinatakiwa kupigana tuwafungie marais au viongozi wa nchi hizo mbili wazichape kavu kavu mpaka mmoja atakaposhindwa..... Dunia imechoka kuona wananchi wanakufa vifo vinavyotokana na siasa wakati wanasiasa wenyewe wapo tu wamekunja nne kwenye hoteli za kifahari.
Kwa Lugha nyingine dunia haihitaji vita, tunaomba vyombo vya habari muache kutushawishi vinginevyo
Kwa Lugha nyingine dunia haihitaji vita, tunaomba vyombo vya habari muache kutushawishi vinginevyo