Katika diplomasia na jamii za kimataifa hakuna taifa lenye uwezo wa kuweka vikwazo dhidi ya taifa lingine. Kinachofanyika ni Amerika anatumia ushawishi wake katika jumuiya za kimataifa hasa hasa jumuiya ya ulaya ili kuhakikisha Urusi inadumaa kiuchumi. Lakini unatakiwa kufahamu ulaya unayoisikia na kuiona kwenye vyombo vya habari sio ile ya zamani, ulaya sasa hivi nchi nyingi ni masikini sana kuliko hata baadhi ya nchi za Afrika. Sio zaidi ya nchi 15 zenye uwezo wa kujiendesha zenyewe bila ya msaada wa EU.
Hakuna nchi katika jumuiya ya ulaya inayoweza kusimama na China katika sekta zote, ni Amerika pekee ndio inajivunia kutokana na kuwa na wanasayansi kutoka mataifa mbali mbali duniani. Tofauti na hapo China wamefaulu kuufanya uchumi wao kuwa wa kileo bila ya kujiingiza katika utamaduni wa kimagharibi.
Tunaposema Rais kikwete ana nguvu kuliko Francis Cheka, hatuangali personality yake. Tunaangalia power of influence. Unaposema USA inatumia ushawishi wake, unapuuza ukweli mchungu kuwa USA INA power ya kusimamia dunia kwa remort control?
Ni nchi gani duniani inaweza kuiwekea marekani vikwazo.? ...None.indeed
Sasa kama hujajua maana ya super power. Huwa tunaangalia vitu3
military mighty,
economic giant and influence.
USA bears all three in his shoulder.
China sio msafi ndio maana hawezi kuinyooshea kidole nchi yoyote duniani. USA. Wanajiamini Na wanaweza
China ndio wezi wa pembe za tembo nchini.
Kiss my ass..
Ulaya ni ulaya tu. Haijabadilika kivile usemavyo.
Utalii nchini unategemea mataifa ya ulaya kuliko hata sisi wabongo na hao wachina uwasemao.
Usitumie matatizo ya uchumi ya ugiriki kama kisingizio.
Ujeumani, England, France wanaishi vizuri na kulipwa vizuri kuliko wachina wote.
China wenyewe inategemea soko nono la ulaya magharibi...even Arabuni kote wanategemea western Europe.
Russia mwenyewe amekiri kuwa pesa nono ya gesi anayouza IPO ulaya na sio China.
Ukraine kupenda kujiunga na ulaya ni kutaka kunukia harufu ya mafanikio ya ulaya magharibi.
Wananchi wa Japan wanaishi vizuri zaidi ya wachina. Japan ni ya tatu kwa uchumi mkubwa duniani.
Wa Taiwan, south Korea wanainjoy uchumi wao kuliko wachina.
Wachina wa Hong Kong ndio wako vizuri zaidi.
Wachina tupo nao wanauza karanga na mahindi ya kuchoma hapa bongo..na kufanya smuggling rasilimali zetu.
Huku ukisoma na kusikiliza media unaambiwa china ni ya pili kwa uchumi mkubwa duniani. Kumbe uchumi unapaswa kuwanufaisha wananchi.
Hii inamaana China ikithubutu kugawana na wananchi wake, itaporomoka nafasi yake na kurudi nyuma ilikoanzia.
China imepanda haraka sana kiuchumi. kinachoiva mapema huvunda mapema vilevile. Pamoja na uchumi wa china kuwa mkubwa, bado China haina uwezo wa kupandisha thamani ya pesa yao ya Yuan, Kama ilivyo US dollar. Inajua ikithubutu kuipandisha thamani, itapoteza soko lake, ulaya na amerika. So Inatumia saikolojia kujijengea jina duniani. Watu wananunua vitu vya kichina kwasababu ni rahisi.
.