US Election Coverage 2008

OBAMA:
..hivi mbona Obama pia amesema Hillary alikuwa ni 1st lady tu, na hana hiyo experience ya kutosha? au kosa ni Hillary kuongezea kwamba McCain ana experience?

..Obama pia amesema Hillary atakata mishahara ya wananchi ili kulipia bima za afya.

..Obama vilevile amesema Democrats wakimchagua Hillary basi USA itarudi kwenye divisive politics of the past.

....

HILLARY:

..kwa upande mwingine Hillary amesema Obama ni mtu wa maneno matamu lakini vitendo hakuna.

..Hillary amedai mpango wa afya wa Obama utawaacha mamilioni ya Wamarekani wakiwa hawana health insurance.

..Hillary amedai Obama amekuwa akipata ushindi kwenye majimbo madogo madogo ambayo hayawezi kuwasaidia Democrats ktk uchaguzi mkuu.

....

NB:

..Nafikiri kila mgombea anajaribu kujitofautisha na mwenzake.

..kwasababu wengine hapa tumejipachika ukereketwa, na kuchukua upande, basi kila mgombea wetu anapokosolewa tunapata mshituko.
 

Sio kweli!! Wangekuwa wanakuwa turned off na negative campaign basi leo hii Bush wala asingekuwa raisi. Unakumbuka yaliyomkuta McCain mwaka 2000? Unakumbuka swift boat veterans? Negative campaigns ni sehemu ya siasa. Na kusema eti aliyosema Clinton kuhusu speech ya Obama ni below the belt huo ni umayai na ulegevu. If you can't take that what can you take? Geeez!!!!
 
Joka Kuu:
I do not accept the premise that Hillary Clinton has more experience that Obama, nor does anyone I know around here. If the experince is being living in the WH for 8 years..then she has one, Obviously, she's married to it, But did not earned it herself and simply demands that we morph her husband's resume onto hers. And here is the kicker..if she wants credits for her husbands tenure as a President she should also accepts the failures of his administrations policies. Its a double edge swords it cut both ways. However, as far as the experience thing go I cannot thinkthrough why anyone accepts such an absurd demand.
 

There you are, na ndivyo kampeni zilivyo duniani kote ila wenzetu wanataka special treatment kwa Obama, the untouchable almighty. Obama akimshambulia Hillary, haiharibu odds za Democrats kwenye uchaguzi mkuu, ila Hillary akimshambulia inawaharibia Democrats, ebo!. Kweli ukipenda kitu....
 
Says Clinton communications director Howard Wolfson: "We do not believe that Sen. Obama has passed the commander in chief test. But there is a long way between now and Denver."


"if someone is not ready on day one, how are they ready to be your VP"


"We are in a tough battle, .....she is working very hard and is tenacious, but I want to make it very clear, I am running for President of the United States, .....commander In Chief....but what kind of judgment when you answer that phone ringing at 3 am...[she has gone along with George Bush]

Barack Obama, in Mississippi

Candy Crowley, "this is a way for the Clinton campaign to have it both ways.....very strong push back...etc" Good stuff catch replays......
 
...seems anafuatilia campaign akiwa usingizini au ni unazi tuu umemzidi!

Wow, great stuff; hata hivyo watu hapa wanafanya uchambuzi tu kwenye hii thread; kuna sehemu ya vituko, not this one!
 

Lets talk about issues, yes lets debate about them. Lakini sio kurushiana mud. Sio kutoa false info, kuwa Obama ni Muislamu, Mara alishiriki ku raise hela kwa ajili ya Palestinians organizations, mara Obama's ambitions tangia utotoni ni ku run for president, lets debate health care, lets debate foreign policy, lets debate the wars in Iraq and Afghanistan, lets debate Immigration...and LETS NOT PAD THE RESUMES
 


What is the substance in calling your opponent a monster?, hebu niambie ingekuwa kama one of the Hillary team angemwita Barack a monster kama kuitwa tu jina lake la Hussein imekuwa issue?
 
KK,
nipo disappointed kabisa, tena mbendembende kwa mtu kama wewe kushabikia siasa za kuchafuana!! yaani unadiriki kusema, "ati hivyo ndivyo kampeni za kisiasa zifanyavyo dunia nzima." Kaka, hata kama dunia nzima wanafanya hivyo, hai-mati, kinacho-matter hapa ni kuwa tabia hiyo sio nzuri!!! hivi watu wengi wakifanya ufisadi, kwahiyo ufisadi unakuwa ni sahihi kwasababu watu wengi wanafanya hivyo?? ama kweli kaaaazi ipo, sasa naanza kumuelewa vizuri kadampinzani!!!!!!

Gov. Elliot Spitzer (D-New York) matatani kwa umalaya......huyu naye ndio hao hao wakina clinton, anasema 'a' kumbe ana maanisha 'e'!!!!! siasa ni upuuuuuuuuuuzi mtupu.
 

Kama Obama na NAFTA na Wacanada eeehhh?
 
What is the substance in calling your opponent a monster?, hebu niambie ingekuwa kama one of the Hillary team angemwita Barack a monster kama kuitwa tu jina lake la Hussein imekuwa issue?

yale mazungumzo yalikuwa ni off the record!! samantha powers alikuwa ktk book tour/signing ktk ku-promote kitabu chake which means mazungumzo yale hayakuwa rasmi kama sehemu ya kampeni!!! mwisho kabisa yule reporter aliye-leakisha ile nyuzi ni Muingereza na US Press ipo upset sana kwa kitendo alichofanya!!! maana hapa in US, off the record means off the record unless kuna court subpoena incase sheria ilivunjwa!!! yule bibi m-britton hana ethics za kiuandishi, na kwa taarifa yako ame-demage trust iliyopo kati ya reporters na surrogates..............pia kuna conspirancy theory hapo ya ULAYA kwa ujumla kutaka ku-torpedo camp Obama!!!

Tafuta Clips za MSNBC uone Tucker Carson alivyombana mbavu yule mwandishi fisadi!!.
 
Jamani leo Jaluo ame-kick butts ile mbaya!
Sijui kama mmepata hii nyepesi kwamba surrogate wa Clinton alileta analogy moja mbovu ya kusema that Obama recognizes the cow but can't milk it (yaani Iraq war is the cow)

http://www.huffingtonpost.com/2008/03/10/clinton-surrogate-obama-_n_90741.html

Sasa naomba niwape response ya Obama:
"How can Hillary milk the cow, if she can't recognize it?'

Wham bam slam! 😀
 
Ngabu na kitila kitumbo ni manazi...this is off the records!
 
Kama Obama na NAFTA na Wacanada eeehhh?

hivi unajua kwamba HRC "camp-pain" pia iliongea na wa-Canada?? isitoshe ni chief of staff wa canadian PM aliyeleakisha ile kitu ili kumwaribia Obama!!! kumbuka Canada wana Conservative government inayo sympathize na GOP!! kwa ufupi walikuwa wanatumika ktk "HitJob."
Bunge la Canada limependekeza jamaa awe fired

Mazungumzo off the record lazima yabakie kuwa hivyo, hakuna justification whatsoever ya ku-bleach utamaduni huo!!! Pls....gaddemu.
 
Leo Jaluo was on the roll! ka-slam dunk Clinton camp nadhani inabidi waende wakaji reorganize upya maana wameleta kituko.
Hii ishu ya VP imebackfire vibaya.
Leo baada ya kuulizwa na waandishi inakuwaje kwamba Clinton anamtaka kama VP wakati alisema Obama is not ready to commander in chief? Wolfson alijibu

This means, Obama is not ready now but will be ready in summer?
Obama kauliza:
Katika hili wamechemka na Jaluo ame-hammer the point home:
NImejaribu kucheki katika ma-blogs hata Hillary supporters wamekiri hii ilikuwa ni gaffe ambayo imewaonyesha as flip-flopping oh oh familiar terminology?
Leo Jaluo kumbe alikuwa anasubiri apumzike vyema nyumbani na mama na watoto wake karudi kwa nguvu! Let the contest continue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…