Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,298
Mimi napingana na nyie Obama amefanya vizuri kwenye hii debate esp part ya mwisho alipombana mama kuhusu suala la Iraq.
Nakubaliana nawe Rufiji, lile swala la ku-reverse mindset na kuzifanya zisiwe za kupenda penda vita sana nadhani imempa point nzuri dhidi ya Clinton.
Lakini itabidi ukubali tu pia kuwa, mama Clinton naye na kiusemi chake cha 'it took a clinton to clear after the first bush and it will take another clinton to clear after this bush' nadhani hii ni 'killer phrase' na selling point nzuri sana kwa voters.
SteveD.