US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Sikujua kuwa rally crowds zinamaanisha mtu kashinda uchaguzi.....but I guess to the simple minded it is the case

Nyani by no means big rally means kushinda uchaguzi lakini kama "maelfu" ya watu wako tayari kukaa nje kwenye mvua na baridi kumsikiliza mgombea...tena siku ya Jumanne (siku ya kazi). Wakati huo huo mgombea mwingine ana cancel rally yake na kuamua ku i mvove ndani na bado wahudhuriaji sio wengi. That says much about these 2 nominee.
Ila kwa sababu wewe ni bingwa wa ubishi unaweza ku interprate vyovyote utakavyopenda wewe mkuu.
 
Nyani by no means big rally means kushinda uchaguzi lakini kama "maelfu" ya watu wako tayari kukaa nje kwenye mvua na baridi kumsikiliza mgombea...tena siku ya Jumanne (siku ya kazi). Wakati huo huo mgombea mwingine ana cancel rally yake na kuamua ku i mvove ndani na bado wahudhuriaji sio wengi. That says much about these 2 nominee.
Ila kwa sababu wewe ni bingwa wa ubishi unaweza ku interprate vyovyote utakavyopenda wewe mkuu.

Washabiki wa Obama ndio walivyo....kwa sababu wameshapagawishwa na Messiah.....
 
Nyani by no means big rally means kushinda uchaguzi lakini kama "maelfu" ya watu wako tayari kukaa nje kwenye mvua na baridi kumsikiliza mgombea...tena siku ya Jumanne (siku ya kazi). Wakati huo huo mgombea mwingine ana cancel rally yake na kuamua ku i mvove ndani na bado wahudhuriaji sio wengi. That says much about these 2 nominee.
Ila kwa sababu wewe ni bingwa wa ubishi unaweza ku interprate vyovyote utakavyopenda wewe mkuu.

na ktk hiyo mvua, "the one," "messiah," Barack Hussein Obama alisema yafuatayo....

[media]http://www.youtube.com/watch?v=Sy88UpRBIBk[/media]

bingwa anakandamiza utafikiri ndio kwaaaanza kampeni imeanza, check energy, passion, dedication n.k ktk hiyo sauti!! do you feel it??

GOBAMA.
 
....Nyani makopo ana mihasira na mipovu inamtoka mdomoni maana landslide is about to happen,ndugu zako wa PUMA wako wapi siku hizi,maana hata hillary ame wakataa(disown) na kuwaita stupid fake Democrats,endelea kujitahidi na policy zako za Joe Kabwela the unlicenced plumber mkwepa kodi!
 
..hivi nyie hamkujua mna discuss issue na mwendawazimu?
 
Today in Pennsylvania:

Obama holds a rally outside in the rain, thousands show up to see him despite the weather.

McCain....cancels his outdoor event because nobody would attend, holds one indoors but still the attendance for his closing argument was minimal.

Obantu supporters have nothing better to do than attend his rallies. They obviously don't work for a living otherwise they wouldn't be at his rallies in the middle of the day on a weekday. In summary, they are too lazy to work and are waiting for Obantu to redistribute other people's wealth to them if he gets elected. McCain supporters most likely are too busy working for a living. If you pay attention to the crowds in McCain rallies are usually old retirees and stay at home mothers. Unlike grown men and women you find at Obantu rallies. Rest assured on the election day McCain supporters will come out.
 
Obantu supporters have nothing better to do than attend his rallies. They obviously don't work for a living otherwise they wouldn't be at his rallies in the middle of the day on a weekday. In summary, they are too lazy to work and are waiting for Obantu to redistribute other people's wealth to them if he gets elected. McCain supporters most likely are too busy working for a living. If you pay attention to the crowds in McCain rallies are usually old retirees and stay at home mothers. Unlike grown men and women you find at Obantu rallies. Rest assured on the election day McCain supporters will come out.

...keep on dreaming..!
 
Today in Pennsylvania:

Obama holds a rally outside in the rain, thousands show up to see him despite the weather.

McCain....cancels his outdoor event because nobody would attend, holds one indoors but still the attendance for his closing argument was minimal.

slide_516_11372_large.jpg


slide_516_11374_large.jpg



slide_516_11384_large.jpg



slide_516_11385_large.jpg



slide_516_11375_large.jpg



slide_516_11377_large.jpg


slide_516_11376_large.jpg
 
You mean Nyani ni mwendawazimu? And I had such high regard for him:-


Nimechanganyikiwa.kumbe usikute nawaza sivyo.I had such regard for him too.Kumbe ndo wake wale waliokunywa uji wa mgonjwa halafu mgonjwa akafa.Kibaya mgonjwa mwenyewe alikuwa na utapihamlo.Hahahahahah
 
Jasusi, koba, Capitol Hill, Hofstede, Majita na JF Obama team! Naona we are on steroids za kudumu! Kwikwikwii
Sasa naomba niwakumbushe that last week niliwapa warning kwamba things will get ugly na Nyani pamoja na wafuasi wa Babu Makopo watabadilika na kuwa nasty, hivyo msishange, hata mtu mstaarabu na akili zake anapagawa anapoona chama chake cha GOP kinapormoka.
Wale ambao walikuwa na vision na foresight wamesha-jump ship, wengine kama Romney wamebaki ili kukisafisha chama.
But the GOP HAS TO CLEANSE ITSELF. imeruhusu too much elements of extremism and shallow thought!
 
You mean Nyani ni mwendawazimu? And I had such high regard for him:-

..nyani ni loser mwingine ambaye atafanya vizuri under Obama policies lakini ushabiki wake rooted in his stupidity like Joe i-d-i-o-t the fake plumber ameamua to trash the good man obama ili aonekane smart,cha kusikitisha hajui kwa nini hes against obama na nina uhakika the way he argues his points he belongs to the bottom of the bottom 95%(tax bracket),hope kina Nyani hawako wengi maana inatisha!
 
Jasusi, koba, Capitol Hill, Hofstede, Majita na JF Obama team! Naona we are on steroids za kudumu! Kwikwikwii
Sasa naomba niwakumbushe that last week niliwapa warning kwamba things will get ugly na Nyani pamoja na wafuasi wa Babu Makopo watabadilika na kuwa nasty, hivyo msishange, hata mtu mstaarabu na akili zake anapagawa anapoona chama chake cha GOP kinapormoka.
Wale ambao walikuwa na vision na foresight wamesha-jump ship, wengine kama Romney wamebaki ili kukisafisha chama.
But the GOP HAS TO CLEANSE ITSELF. imeruhusu too much elements of extremism and shallow thought!

...i'm not worried na hakuna cha upset wala nini maana Republican is just obsolete party na sera zao za kinazi na sijui kama watarudi kwenye power maana wame lose the entire young generation to Obama,this election is nothing but over and Obama will be president elect by next week cha muhimu ni obama ata deliver au laa na hata yeye akileta upuuzi ajue 2012 Hillary yupo tayari(ingawaje sitegemei obama to be that stupid).
 
Jasusi, koba, Capitol Hill, Hofstede, Majita na JF Obama team! Naona we are on steroids za kudumu! Kwikwikwii
Sasa naomba niwakumbushe that last week niliwapa warning kwamba things will get ugly na Nyani pamoja na wafuasi wa Babu Makopo watabadilika na kuwa nasty, hivyo msishange, hata mtu mstaarabu na akili zake anapagawa anapoona chama chake cha GOP kinapormoka.
Wale ambao walikuwa na vision na foresight wamesha-jump ship, wengine kama Romney wamebaki ili kukisafisha chama.
But the GOP HAS TO CLEANSE ITSELF. imeruhusu too much elements of extremism and shallow thought!

Wazee wacha hizi arguments zetu na akina Nyani na relatives wake akina Sean Hannity na Michael Levin, na Uncle Rush...to me these are civil interactions. Leo usiku nilikuwa naangalia NIGHTLY NEWS nikasikitika sana. Walikuwa na clip ya Ma red neck kutoka Kentucky..wale ambao Dave Chapelle anawaita "White Power". These are the guys who are not ready for change and they are training with heavy weapons na wako tayari kufa ili ku protect White Supremacy. Simple, they do not want Obama as a President regardless atachaguliwa na majority ya wananchi.
Wote walioonyeshwa kwenye hiyo clip walikuwa na tattoo ya NAZI.
Inasikitisha. Hebu imagine you are new to this country hujamfanyia mtu kosa. Siku moja kutokana na upendo unaenda kumsalimia ndugu au rafiki out of state..una happen ku pass kwenye hiyo "Red neck" territory...ghafla unapata matatizo na chombo chako cha usafiri. You want to tell me hawa jamaa watakusaidia? I doubt so! The next thing ni wewe as a black person making a cover of a national paper being decapitated or tied to a tree and shot dead execution style.
I am glad I am part of a civilized world where we argue constructively and we learn to agree on our disagreements.
Haya basi...back to Obama na kibabu.
 
Jasusi, koba, Capitol Hill, Hofstede, Majita na JF Obama team! Naona we are on steroids za kudumu! Kwikwikwii
Sasa naomba niwakumbushe that last week niliwapa warning kwamba things will get ugly na Nyani pamoja na wafuasi wa Babu Makopo watabadilika na kuwa nasty, hivyo msishange, hata mtu mstaarabu na akili zake anapagawa anapoona chama chake cha GOP kinapormoka.
Wale ambao walikuwa na vision na foresight wamesha-jump ship, wengine kama Romney wamebaki ili kukisafisha chama.
But the GOP HAS TO CLEANSE ITSELF. imeruhusu too much elements of extremism and shallow thought!

Talking about nasty...you people are the meanest SOBs that I've ever seen in my life. Look what you have to done to Governor Palin...you invented all kinds of lies including an affair, she speaks in tongues, etc. You have even investigated Joe The Plumber. You have hang an effigy of Gov. Palin in a noose. You've made fun of McCain's inability to use the computer (when he can't due to injuries sustained in Vietnam). You are now going after Barb West...the Florida anchorrete who grilled big mouth Joe Gaffe a Day Biden. You've gone after Cindy McCain. You've gone after Gov. Palin's daughter.

Bila hata chembe ya aibu mnadai eti GOP tu ndio wako/ wamekuwa nasty. If you think that then you are all imbeciles!!!!!!
 
Jamani wenzetu wanaposema lazima washinde...wana strategy zao ambazo sio "fair". Naombeni dakika zenu mbili muangalie mashine ya kura ambayo uki click Democratic candidate inarusha na kumpa credit Republican...Hii hapa hii mashine iko West Virginia...Swali: Ni mashine ngapi kama hizi ziko across America?

[media]http://www.youtube.com/watch?v=0Q9NSVUu8nk&eurl=http://www.huffingtonpost.com/2008/10/28/west-virginia-vote-flippi_n_138729.html[/media]

Sasa wewe naona unaanza kuleta za uchaguzi wa Tanzania mwaka 2005. Eti kuna watu walisema walikuwa wakipiga kura kwa upinzani (hasa Mbowe) inabadilika inakuwa ya JK! Hebu usilete hizi stroy za abunuwasi kaka, hata huko majuu pia mnaleta hizi!!?
 
Back
Top Bottom