US Election Coverage 2008

Kitila, see now what you got yourself into?


..acha uchochezi na wewe, ala!!! naona watu wana force kingi wkend ianze jumatano!! LOL.........vitimbi kweli haviishagi ktk hiki kijiwe, naona hapo chini wahusika wapo gado...mie nasubiri "shock and awe."
 
..acha uchochezi na wewe, ala!!! naona watu wana force kingi wkend ianze jumatano!! LOL.........vitimbi kweli haviishagi ktk hiki kijiwe!!.

Hakuna vidonda vya kufunga leo? Halafu umesikia Super Governor/ Hillarican Ted Strickland wa Ohio alivyotosa wazo la yeye kuwa veep wa The radical Barack Obama? Bwahahahahaaaaa
 
 
 
 
 
 
Hiyo habari yako inasema kuwa atampigia kura kwenye convention August!!!!
 
Hiyo habari yako inasema kuwa atampigia kura kwenye convention August!!!!

..na hakuna sehemu yeyote alosema kwamba hata-vote BHO come November!!! kuna tofauti kati ya endorse na vote.....Nyani ngabu!! sometimes unajishusha bei bila sababu za maana, aaagh..sad!!
 
naona habari ya babu makopo kuzidi kuchanganyikiwa na kujaribu mambo ya Hillary,wamebaki na vikashfa kama Wright na bitter maana hannity bila kumtaja basha wake Rev Wright kila siku hana raha ...Repubs na babu makopo sasa kushne maana kama hii ndio campaign mnategemea itawapeleka WH bora tusubiri Jan 20th kumwapisha 44th President of United States of America Barack Hussein Obama,mmesikia kivumbi cha 100m cha may kwa BO,babu sasa kaanza kujikojolea kwenye suruali naona na sasa naona anaanza kujuta nomination ya Repubs!
 

Wewe ni King wa Pumba wa JF!!! Nashangaa hata hao wanaokupa "thanks" , wanakupa kwa minajili ipi.....sielewi kabisa. Sasa hapo juu sijui hata unazungumzia nini. Labda nimwulize shoga 'ako Yournameismine.....maana wewe na yeye mnazungumza lugha moja...
 
..hii kitu bado ya moto moto, ipo kwenye wire!!! kuna arguments hapa za kina nanilii itabidi waanza kuzikimbia!! huwezi kuzima "wild fire" kwa kuutemea mate....Go BHO!! yes you can.!! Keith Olbermann anaita hii kitu "Obamomentum"......sweeeeety, yay.

1 hour ago

WASHINGTON (AFP) — De facto Democratic presidential nominee Barack Obama has rapidly picked up support from women voters in the wake of Hillary Clinton's withdrawal from the campaign, according to a Gallup poll out on Wednesday.

Between the eve of the final primaries on June 3 and Monday, Obama's support among all women in polling matchups with Republican rival John McCain has jumped to give him a 13-point margin in this voter group.

According to Gallup, in its surveys covering June 5-9, Obama was supported by 51 percent of women voters compared to 38 percent for McCain.

A week earlier, Obama topped McCain with just a 48-43 percent spread.

Gallup pointed out that Obama's support among women voters is now close to the steady 52 percent level Clinton had in earlier theoretical matchups with McCain, whom she led in this group by 12 points.

It said that the shift of older and married women to Obama appeared to explain his surge.

Married women backed McCain 52-40 percent in the previous poll, and are now evenly split 45-45 percent over the two.

Meanwhile unmarried women liked Obama by 57-32 percent and 57-31 percent in the earlier May 27-June 2 poll and the most recent poll, respectively.

"Now that Clinton is no longer campaigning and the focus of voters' decision-making is a choice between Obama and McCain, female voters may be taking a second look at Obama," Gallup said.

"Indeed, his current 13-point advantage over McCain is essentially the same advantage that Clinton held over McCain throughout her active candidacy."

Among male voters Obama also picked up ground on McCain. McCain led his Democratic rival in the earlier poll by six points, 49-43 percent. In the newest poll, McCain maintained only a two-point spread, 47-45 percent.

The Gallup poll was conducted between May 27 and June 2 among 5,270 voters and has a two-point margin of error.

A Rasmussen Institute poll carried out June 7-9 shows that Obama is ahead of McCain by seven points, 50 percent against 43 percent.

An NBC/Wall Street Journal poll to appear Thursday in the newspaper confirms the tendency in Obama's favor.

Forty-seven percent of those polled plan to vote for Obama against 41 percent that support McCain, a broader margin for Obama when compared to the same poll in April (46-43 percent).

According to the poll, 54 percent of those surveyed believed "it is important to look for a person who will bring greater changes to the current policies even if he is less experienced and tested," against 42 percent that supported a "more experienced and tested person even if he brings fewer changes to the current policies."

And 59 percent said they believed it was "time to have a president who will focus on progress and help move America forward," against 37 percent who said it was "time to have a president who will focus on protecting what has made America great."

The WSJ/NBC poll was conducted June 6-9 among 1,000 voters, and has a 3.1 point margin of error.
 
...kwa hispanics huko jamaa ana 62% kwa twenty something ya Babu Makopo!!! mambo si mambo ndani ya "straight talk express."
...yaani kila kona, Makopo yupo nyuma, msee wa "demographies" tunakusubiri..numbers don't lie!!
 
Wewe kweli uko naive na critical thinking yako (kama unayo) imekuwa clouded na ushabiki. Siamini habari kama hizi miezi 5 kaba ya uchaguzi zinakupa 'orgasm'. Do you remember Dukakis? I'm sure you do. In case you've forgotten or if you happen not to know, he (Dukakis) had a 17-point lead of Bush Sr. two or three months before the election and we all know what happened.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…