Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,455
- 10,869
Masanja,
..umeishamsikia Dr.Ron Paul? alishindwa kwenye primaries za Republican. yeye alikuwa ana-propose a total dis-engagement of US military from foreign countries.
..nilisikia kwamba ana matatizo yake ya Racism, lakini kwa kweli anachokisema kuhusu US foreign and military policy nadhani nakubaliana nacho kwa kiasi kikubwa. they would never give him much publicity, kwasababu ni kama alikuwa anawa-expose conventional Republic candidates.
..kwa kweli George Bush amelikoroga kwelikweli. ndani ya Marekani wananchi wanataabika na hali ngumu ya uchumi. nje ya Marekani nchi changa zinataabika kwasababu ya ubabe wa Marekani.
Ron Paul simjui kiundani zaidi ya kusikia jina lake tuu mkuu. Ukweli ndugu yangu ni kwamba ubabe wa Bush ndo unazidi kutuumiza. Mafuta ni issue kubwa sana, kama umeona hata Europe naona wameanza kugoma, sasa jiulize huku kwetu uswahilini itakuwaje, kama serikali hazijapinduliwa.... Hapo hujaongelea challenge ya baa la njaa inayotukabili. Ofcourse hatutegemei USA isolve haya matatizo yote, lakini tunategemea iwe nchi ya kuwa cooperative na kuaccomodate mawazo ya wengine jinsi ya kutatua haya matatizo. Ndivyo Bush Snr. na Clinton walijitahidi hata kama hawakufanikiwa sana. Dunia kwa sasa ina challenge nyingi sana, na hii policy ya Bush ya kuwadivide watu..you are with us, or against us..ni mbaya sana!
Mimi huu uchaguzi nauangalia kwa taswira ya mbali sana. Consequences za Neo cons kurudi madarakani ni kubwa mno....to the rest of the world. Na China isnt doing us any favour! yeye anaona ndo mwanya wa kula na kipofu...
Tuendeleze mjadala ila as I said huu uchaguzi unawahusu sio wamarekani tuu hata sisi huku nje tunaumia sana!