Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,730
ngabu,
kwa maana ya "fairy tale" ni nini? jibu lake ndio tatizo!!.
Sentensi ya Hilly kwamba it took a president to sign civil rights bill, pia ipo offensive kwani inadaiwa ku-demise the work of MLK!!!.
Madogo ruksa, lakini yasivuke mpaka. Pia ndio maana watu wanataka change, maana politics za kuvurumishiana madogo ni za kizamani. Mbona Obama harushi madogo?, kampeni yake ni clean kana glass ilotoka kwa dish washer mashine. Kubali kataa, hawa clintons wapo xposed na hawajali tena.....their playbook is getting old na ni wao ambao behind the scene wana-play racial politics!!.........kuna operative wao mmoja kamwita Obama "kenyan american"!!! wrong.....jamaa ni "african american." Cheap shots kama hizo lazima zikome!!
Bill Clinton just called into Al Sharptons radio show to explain what he meant when he referred to Barack Obamas campaign as a fairytale.
First of all, thats not true, Clinton said. Its not a fairytale. He might win. I think hes a very impressive man and hes run a great campaign. I was addressing a specific argument [Obama made] that had never been brought up in the debate.
Obama's argument, Clinton said, was that [Obama's] relative lack of service in the Senate was not relevant, because he had better judgment than all the Democrats, because he had always been against the Iraq war in every year. And he enumerated the years from 2002 to 2007. And I pointed out that he had never been asked about his statements in 2004, that he didnt know how he would have voted on the war resolution. And there was, at that time, there was no difference between his position and President Bushs.
Wait a minute," said Sharpton, who hasn't yet endorsed a candidate. "Senator Obama said there was no difference in his position and President Bushs?
In 2004, Clinton responded affirmatively. Look, there could be a perfectly good explanation for it [why he would say that]. Maybe he felt once it was done, he just wanted it to work, including the U.N. My point is it disproves the argument that everybody else was wrong and he was right.
After praising Obama again, Clinton added, And I have gone out of my way not to express any personal disrespect for him or his campaign, even when theyve been fairly critical of me and Hillary.
..wakuu,
..hivi mwai kibaki ashafikiria uwezekano wa obama kuwa rais wa states?
Of course! na he is intelligent enough kujua Obama atakuwa President of USA who will keep africans politics at the bottom of his priorities let alone Kenya issue...
Mkuuu YRS,
Vipi hiii game ya Jints na the boys? kweli Jints watawaweza Romo na TO, maana wiki nzima ilikuwa media big deal ya Romo na Jesica yaani tumechoka,
Obama juzi alikuwa Jersey City, damn yaani ukumbi wa watu 3000ulijaa ikabidi wananchi karibu 1000 wawekewe TV screen nje, no mtter what by the time uchaguzi huu umeisha siasa za US hazitakuwa the same again, I know kwamba sasa Obama, ataiona fresh the otherside of the Clintons, lakini bado atawatesa sana mpaka ieleweke exactly what they are made of, yaaani the Clintons are they for real?
I like Obama, lakini the idea kwamba anaweza akashinda national election ya US, inanitisha sana kwamba the time is not ready maana hao walinzi alionao damn! karibu 24 wa nini maana sasa inakuwa taabu hata kumsogelea!
early december kuna chalii mmoja kapost picha na Obama akiwa manchester........watu wengi(wabongo & wakenya) walifanya hivyo lakini mambo ya kwa Michuzi ni noma!!.
Ndio bwana mdogo ni mshikaji Mwingira, good guy, Michuzi naona siku hizi kumejaa wananchi wanaotaka ujiko wa kukimbilia kupiga picha na kujianika kule yaani matatizo ya taifa hawana habari kabisaa, ni pichaaa tu ndio maana wegine tutafia hapa JF,
Jints waliwatesa sana NE, je kuna uwezekano wa kuwapita the Boys?
Mkuu Masatu,
Kweli unaaamini Obama anaweza shinda National ya US? are you serious maana ninaposikia mawazo kama yako ninakuwa nervous sana, yaani nataka kuamini lakini ninajua ukweli kutokana na experience, hebu weka the insight zaidi mkuu tupate moyo!