US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Ngabu hakuna lolote...Huyo mtu mzima akiwa hapo hapo nyumbani kwake hasemi lolote na najua kavurunda...Anasubiri hadi asafiri nusu ya dunia ili akaseme sio....Uchaguzi uko hapo US sio Israel. Na hata huyo mshkaji wake Ehud Olmert ana skendo ya rushwa wanayomshikia nayo kidedea.
Na ulisikia kaamua kustop by Saudia ili akaombe msaada wa kuongezewa mafuta, jamaa wamemtolea nje. Wamemwambia hilo ni tatizo lake wao Wasaudia supply yao iko bomba tu, sehemu zote duniani.
Na wenyewe Republican wanasema kama name brand yao ingekuwa chakula cha mbwa, basi tayari ingeshatolewa madukani, imevunda......
Kwikwikwikwi....Heheheeeeya Asusa.
 
Ngabu hakuna lolote...Huyo mtu mzima akiwa hapo hapo nyumbani kwake hasemi lolote na najua kavurunda...Anasubiri hadi asafiri nusu ya dunia ili akaseme sio....Uchaguzi uko hapo US sio Israel. Na hata huyo mshkaji wake Ehud Olmert ana skendo ya rushwa wanayomshikia nayo kidedea.
Na ulisikia kaamua kustop by Saudia ili akaombe msaada wa kuongezewa mafuta, jamaa wamemtolea nje. Wamemwambia hilo ni tatizo lake wao Wasaudia supply yao iko bomba tu, sehemu zote duniani.
Na wenyewe Republican wanasema kama name brand yao ingekuwa chakula cha mbwa, basi tayari ingeshatolewa madukani, imevunda......
Kwikwikwikwi....Heheheeeeya Asusa.

..speculation and weak dollar. hii ya mwisho ni kosa lake;anapoendesha nchi kwa kuiweka rehani china na kuzua ubabe wa kitoto iraq.

..wao hawataki ku-deal na speculation kwa kuwa makampuni yao [or rather special groups] zinafaidika,sasa watajua nani anafaidika.

..kwenda kwa wa-saudi na hii ikiwa mara ya pili [kwa suala hili],i find it very low of american gov. na udhaifu wa serikali yake. in retrospect,haitofautiani sana na kuongea na magaidi!
 
Yeah, Lamu na hata sikutaka kugusia suala lake kuwasema wenzie kuwa wanataka kuongea na magaidi.
yes ana ubabe wa kitoto...kununia watu; na alifikiri utasaidia, wapi!!
Kaongea na Libya hadi Gaddafi akakubali kuachia mizinga yake ichukuliwe ikakae Tennessee. Kaambiwa aongee na Korea ya Kaskazini ili afanikiwe...na kweli kapeleka watu wake wakazungumzie ugomvi ulioko. Kaambiwa aongee na Iran ndo atafanikiwa; anasuasua lakini ndiko anakoelekea, na hadi mawaziri wake wanasema hivyo......Sasa jana sijui ndo kaongea nini mtu mzima yule naye.....Ovyoooo
 
Yeah, Lamu na hata sikutaka kugusia suala lake kuwasema wenzie kuwa wanataka kuongea na magaidi.
yes ana ubabe wa kitoto...kununia watu; na alifikiri utasaidia, wapi!!
Kaongea na Libya hadi Gaddafi akakubali kuachia mizinga yake ichukuliwe ikakae Tennessee. Kaambiwa aongee na Korea ya Kaskazini ili afanikiwe...na kweli kapeleka watu wake wakazungumzie ugomvi ulioko. Kaambiwa aongee na Iran ndo atafanikiwa; anasuasua lakini ndiko anakoelekea, na hadi mawaziri wake wanasema hivyo......Sasa jana sijui ndo kaongea nini mtu mzima yule naye.....Ovyoooo

..alikuwa anajipendekeza kwa wa-israeli!

..hao jamaa it's high time wakaambiwa kwamba waanze kuwa serious na peace talks. ariel alianza kwenda vizuri,ila ndo hivyo,sijui "atakufa" lini?
 
Daaah, Yes!! Nilikuwa nishamsahau yule mbabe mwingine....litakuwa juju tu lile. Yule kweli aliyavalia njuga mazungumzo, na alikuwa anafanya kitu muzuri ili watu wote wa pande mbili waweze kulala usiku kwa amani...Wapi??? Juju tiii...anahemea mirija hivi sasa, kama bado yupo hai!
 
..najiuliza kama wanasiasa wa tanzania wanajifunza lolote toka kwenye uchaguzi huu.

..kitila?
 
Ni swali linisumbualo sana kichwa hilo mkuu....Kama wanajifunza itakuwa vyema ili tuendeleze nchi yetu, kama la basi tutakuwa tunawalipa kusinzia kwao bungeni..Hivi still wanasinzia????
 
..najiuliza kama wanasiasa wa tanzania wanajifunza lolote toka kwenye uchaguzi huu.

..kitila?[/
QUOTE]

I see tunajifunza sana tena kwa bidii. Yapo mengi tunayochota. Mojawapo ni umuhimu wa kuwa na wagombea wazuri kadhaa ndani ya chama na kuruhusu ushindani wa uhakika ndani ya chama. Hii inakomaza sana wagombea, inawapa nafasi wananchi kuwapima wagombea vya kutosha kabla hawajafanya maamuzi na, muhimu zaidi, inatangaza vizuri sana chama. Vilevile, tunajifunza hapa kwamba mgombea ni muhimu awe na sera na misimamo yake sanjari na sera za chama. Sasa kule kwetu kuna tabia chafu sana ya wagombea, hasa wa CCM, kusema kwamba mimi sina sera, sera ni za chama. Sasa hii ni fake, ndio maana vyama vyetu unakuta havibadiliki japokuwa viongozi wanabadilika kila siku. Again, we are learning the importance of balancing style and substance in politics and the need for a leader to be inspirationally visionary (a lesson particulary from Obama). So, yeah, we are learning a lot from these elections. Nafikiri Zitto anachota zaidi maana yeye yupo hukohuko kipindi hiki.
 
Huckabee naye hapa alilchemsha ile mbaya...a joke gone sour!

Mike Huckabee's joke about Barack Obama misfires with NRA crowd
BY CELESTE KATZ
DAILY NEWS POLITICAL CORRESPONDENT

Saturday, May 17th 2008, 4:00 AM

He's a pistol, that Mike Huckabee.

Even a friendly National Rifle Association audience seemed stunned Friday after the former presidential candidate cracked a tasteless joke about a gun aimed at Barack Obama.

Huckabee, a Republican and former Arkansas governor, was addressing the gun group's convention in Louisville, Ky., when a loud crash was heard off stage.

"That was Barack Obama," Huckabee ad-libbed. "He just tripped off a chair.... He's getting ready to speak, and somebody aimed a gun at him and he, he dove for the floor."

Most in the audience went silent. A video picks up some muttering and muted laughter following the crude quip about the Democrats' likely nominee.

Obama, an Illinois senator, received Secret Service protection earlier than usual in the campaign cycle - back in mid-2007 - out of concern that he might face a heightened risk as a formidable black contender for presidency.

Huckabee dropped out of the GOP contest after winning a handful of states on the strength of his appeal to Christian conservatives. He has thrown his support behind presumptive GOP nominee John McCain.

In a later statement, Huckabee said, "I made an offhand remark that was in no way intended to offend or disparage Sen. Obama. I apologize that my comments were offensive. That was never my intention."

The Obama campaign declined comment on Huckabee's gun joke and the McCain campaign had no immediate response.

ckatz@nydailynews.com

With News Wire Services

[media]http://news.yahoo.com/s/ap/20080516/ap_on_el_pr/huckabee_obama[/media]

Video link... [media]http://uk.youtube.com/watch?v=-2PC8Zy2n7A&feature=related[/media]
 
Angalieni mwendawazimu hapa...

[media]http://uk.youtube.com/watch?v=d1wSZBTAXRs&eurl=http://www.mashada.com/forums/other-news-politics/77882-chris-matthews-serves-ignorant-obama-hating-talk-radio-host.html[/media]
 
..najiuliza kama wanasiasa wa tanzania wanajifunza lolote toka kwenye uchaguzi huu.

..kitila?


Dar Si Lamu,

Niliuliza hili swali mwezi wa January kama si February, nikauliza Watanzania tunajifunza nini kwa huu mchakato mzima wa Uchaguzi wa Marekani, nikajibiwa kwa kebehi sana. go back perhaps about 150 pages, utakuta majibu ya hawa hawa wana mapinduzi wa JF kuhusiana na swali lako.
 
ha ha kweli weekend imeanza...
Ebanae Rev za siku nyingi? Umepotea sana au ndio mambo ya ku operate chini kwa chini?

Haya nasikia Insiders wa Billary wanaanza kukubali kuwa she can't win.
Mkuu nipo unajua maboksi yameelemea, nafuu ni wikiendi.
 
Dar Si Lamu,

Niliuliza hili swali mwezi wa January kama si February, nikauliza Watanzania tunajifunza nini kwa huu mchakato mzima wa Uchaguzi wa Marekani, nikajibiwa kwa kebehi sana. go back perhaps about 150 pages, utakuta majibu ya hawa hawa wana mapinduzi wa JF kuhusiana na swali lako.

..rev,

..wasamehe,kwani hawajui watendalo! ila sasa tunajifunza,inshaallah taratibu tutaelimika!

..kitila kajaribu kujibu,mwenzetu mmoja akaanza utani. anyways, IT inatusaidia sana siku hizi na ndio tegemeo letu. kazi ni kwetu tu,elimu imejaa tena ya bureee!
 
Rev.Kishoka said:
Niliuliza hili swali mwezi wa January kama si February, nikauliza Watanzania tunajifunza nini kwa huu mchakato mzima wa Uchaguzi wa Marekani, nikajibiwa kwa kebehi sana.

..nimejifunza kwamba Barack Obama ameiga toka kwa Jakaya Kikwete kwamba ni muhimu kwa kila kampeni kuwa ni KIBWAGIZO au KAULI MBIU. Kikwete alikuja na ari mpya, kasi mpya, Obama akaja na change--yes we can.

..kupagawisha wapiga kura ni muhimu sana kuliko uzoefu na weledi wa masuala ya kisiasa na kijamii. hili nimelishuhudia kwa Wamarekani na Tanzania[ngazi ya taifa na hata ubunge]

..role of the media.
 
..nimejifunza kwamba Barack Obama ameiga toka kwa Jakaya Kikwete kwamba ni muhimu kwa kila kampeni kuwa ni KIBWAGIZO au KAULI MBIU. Kikwete alikuja na ari mpya, kasi mpya, Obama akaja na change--yes we can.

..kupagawisha wapiga kura ni muhimu sana kuliko uzoefu na weledi wa masuala ya kisiasa na kijamii. hili nimelishuhudia kwa Wamarekani na Tanzania[ngazi ya taifa na hata ubunge]

..role of the media.

..hapo umechemsha au unamkejeli jk.

..mbona mama ana slogan yake!

..halafu hili tushaliongea huko nyuma.
 
Mnaweza kuspin na hili as well...Lakini ukweli unabaki jaluo ameiangusha machine ya kina Clinton, Yes the same skinny, inexperienced junior senator from IL.

Michigan and Florida alone can't save Hillary Rodham Clinton's campaign.

Interviews with those considering how to handle the two states' banished convention delegates found little interest in the former first lady's best-case scenario. Her position, part of a formidable
comeback challenge, is that all the delegates be seated in accordance with their disputed primaries.

Even if they were, it wouldn't erase Barack Obama's growing lead in delegates.
 
Mnaweza kuspin na hili as well...Lakini ukweli unabaki jaluo ameiangusha machine ya kina Clinton, Yes the same skinny, inexperienced junior senator from IL.

Michigan and Florida alone can't save Hillary Rodham Clinton's campaign.

Interviews with those considering how to handle the two states' banished convention delegates found little interest in the former first lady's best-case scenario. Her position, part of a formidable
comeback challenge, is that all the delegates be seated in accordance with their disputed primaries.

Even if they were, it wouldn't erase Barack Obama's growing lead in delegates.

..mbona iko wazi kuwa ni obama vs mccain!

..kuna baadhi ya vyombo vya habari ishakuwa nadra kuona habari za mama.
 
Back
Top Bottom