US Election Coverage 2008


...jamani nomination imekwisha na mama anajua ila media inataka news tuu maana bila kumtaja Obama kila dakika hawana raha kabisa na ratings zitashuka,sasa ngoja tumshushie babu tsunami maana ndicho anachosubiri,sasa utaona real democrats,independent wanao make sense,ant war & ant Bush nyuma ya Obama kumaliza GOP for good!
 

Ngoja akija huku kwa ile fund raising dinner June/July nitakutumia picha!
 
You know I was kidding on refund, naongeza mchango mwingine ingawa kijana ana PoP!

Achana na huyu mwehu YNIM!

..duh, wamekurudisha nini kwenye kamati ya fweza!!?? polepole this time watakuitia police, halafu ututie majonzi hapa...kwani tutakumisi.
 
Koba,

Huyu mama ni kama lile kimba la mwisho mwisho, halitaki kutoka ujiondokee zako msalani kuendelea na biashara zako. 🙁
 
Koba,

Rush na wenzake wanaswali kila dini ili Mama ashinde ili wamnyuke. It is easy to tell Americans about the years of Clintons, lakini ukitaka leta kuhusu Ojwang, watapakwa rangi kuwa ni Racist!

..wanajaribu tuu lakini hata mama akishinda nomination GOP theres no way wakashinda november.GOP tsunami inawasubiri kuanzia congress,senate mpaka white house itakuwa landslide..haya majitu lazima yachapwe maana yameleta shida dunia nzima ni kama manazi tuu,bora Hillary kuliko huyo babu mwenye akili ya vita tuu....remember 06!
 
Koba,

Huyu mama ni kama lile kimba la mwisho mwisho, halitaki kutoka ujiondokee zako msalani kuendelea na biashara zako. 🙁

...media wanamtumia kupata ratings tuu huku facts ziko wazi...zero chance!
 
Rev,

...Snipes kacheza na uncle sam, naona wamemnyea 3!!
...binti mmoja wa Joji kichaka anasema atavote BO au HRC, kaboooom, kaaaazi ipo!
....nitasubiri hizo picha kwa hamu!

NB: nadhani tupo pamoja kwamba hizi ni jokes tu...thanks.
 
naona GOP wanakwenda negative ile mbaya kwenye AD zao...wapumbavu sana hawa labda KKK wenzao ndio watawsikiliza,maana hata wall street wanaongoza kumpa $$$ Obama ambao ndio tax windfall ilipoangukia,hawana sera wameshtukiwa na kila mtu wanategemea negative campaign tuu ambayo ita keep their base and stupid tuu lakini sio mtu mwenye akili zake,wamemaliza nchi ng'ombe hawa,nenda OH na PA ndio utagundua watu wanavyo suffer kwa kukosa kazi!
 
Rev,
..sorry, kule kwenye thread ya legacy ya nyerere, nimeona ume-post document toka 'heritage foundation'.....nataka kujua spin yako, kwasababu mie naona document ile ina back msimamo wangu na wengine juu ya ulonyo lonyo tuliorithishwa na nyerere!!.

nitakuwa nachungulia kule...........thanks.
 
...Gabriel gani? yule kivuli pale Ilala au? lakini yule wa Ilala alikuwa Mzambia toka Kabwe kwikwikwikwi!! acha magirini wewe....
Si huyu babu yako wa miaka 84 ambaye anakataa kuamini kashindwa! Nyie si mnatoka ukoo mmoja eti Jongwe!
 

Umeisoma? Sasa kama umeisoma, uelewe wazi kuwa Mimi Pro-Nyerere nina uwezo wa kuwa na mawazo tofauti hata kupingana naye.

Nilikutana na Nyerere 1994 Sabasaba alikuja kwenye Banda la shirika langu, nikamkebehi kuhusiana na utaifishwaji wa mashirika, akaniambia nina bahati alikuwa ana shughuli nyingi la sivyo angelinikatisha kitako!

Niachangia kule kwa Legacy mkisha leta vilio vyenu vya kunyang'anywa mbuzi na kuku wa kienyeji!
 

Koba,


Obama gives America a fresh start, fresh breath and fresh minds, ndiyo maana kila mtu anaehuka. Wnaositasita hata kama ni Republican ni wale wanaoogopa mabadiliko.

In 12 years, hawa mabwana wadogo ambao ni 18 leo, ndio watakuwa majority generation. Hivi vizee vyake YNIM ambavyo ni vya ki-Hillary vitakuwa vimeshaachia manyanga au uwezo wao kuelewa ni batili.

Both parties need to start to shape themselves for the next decade of new majority voters ambao wengi watakuwa ni Gen Y2K na mentality zao ni za ki Youtube, Myspace etc.

Sisi tayari tuna generation JF na Serikali ya waliotembea kwa miguu kuunga Azimio la kupata Uhuru are still running the country as if Richard Turnbull is still alive!
 
...i'm sending another 100$ to Obama,Mccain lazima tukumalize na GOP wenzako maskini...mama sio factor tena habari yake kwisha sasa!

Hahahaha....acha fix wewe....unabeba maboksi siku nzima halafu uchangie dola 100....puh-lease.....
 
Rev,

...Snipes kacheza na uncle sam, naona wamemnyea 3!!
...binti mmoja wa Joji kichaka anasema atavote BO au HRC, kaboooom, kaaaazi ipo!....nitasubiri hizo picha kwa hamu!

NB: nadhani tupo pamoja kwamba hizi ni jokes tu...thanks.

Sasa hizi fix sasa...
Dizaini umeshaanza kulizimua gongo....
Hebu lete exact quote hapa...
 

duh!! kumbe anko kingwangwala eeenh....mie '94 nilikuwa O'level.

heri yako unasema kweli, hapo sasa tutaelewana....the guy was not a saint kama MKJJ anavyotaka kutulazimisha!! nimeisoma kwa kina na ninakushukuru kwa kuiweka pale!!

issue sio kunyang'anywa kuku na mbuzi, bali ni injustice ya kunyimwa demokrasia, kujengewa misingi mibovu na dhuluma ya mali halali za watu walizozitolea jasho lao.....kama kweli alikuwa na nia ya kukukalisha kitako, kwanini asiweke appointment na wewe jumapili flani baada ya misa ya asubuhi?? acha bwana.....nimekuuliza swali kule.
 

leo umekula nini? broccoli? naona mind yako ipo sharp.....au ndio "truthness"??
 
Sasa hizi fix sasa...
Dizaini umeshaanza kulizimua gongo....
Hebu lete exact quote hapa...

kama kawaida yako, too lazy!! una resource zote ktk xposure yako, lakini mpaka mimi nikuwekee kila kitu! uncle hii ni forum....haya basi, nenda kapekenyue kwenye www.msnbc.com tena ni yule mtarajiwa ndio karopoka huo ukweli wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…