US Election Coverage 2008


Labda niongeye tu kwamba the larger states left ni North Carolina na Indiana, which combined have same delegates as Philadelphia. So if Obama wins with wider margin in NC and keeps it close in Indiana, then it's game over for real. Lakini YNIM, mbona naona Guam imekaa ki-Hillary, not that it matters with 5 delegates or so.
 
SUV,
politics za Guam ni kama za HI, kwa inside info's nilizonazo....Guam ipo ready for change!! yes, 5 delegates matters a lot kwenye close primaries kama hii!!.
 
SUV,
politics za Guam ni kama za HI, kwa inside info's nilizonazo....Guam ipo ready for change!! yes, 5 delegates matters a lot kwenye close primaries kama hii!!.

YNIM it's true that we must not be complacent with 5 delegates, and I am hoping for the best. I am not convinced that Puerto Rico will necessarily go for Hillary, hii inatokana na ile myth ya Latinos lakini I think Puerto Ricans are not Mexican Latinos. Maybe you think that because PR changed it from caucus to primary, that might be more favorable to Hillary? I hope that Jaluo keeps the margins tight.
 
kwani ile effect ya bill richardson haiwezi kumsidia jaluo kunyakua latino votes huko puerto rica?.
 
kwani ile effect ya bill richardson haiwezi kumsidia jaluo kunyakua latino votes huko puerto rica?.

Unajua tatizo la Latinos ni kwamba they are not monolith group, kila group ya Latinos imekuja kivyake na wana matatizo yao. Kwa mfano mexican Latinos ni tofauti na PR na also Cubans. Richardson ni half Mexican ndiyo maana aliweya kuwa governor wa New Mexico lakini sijui kama PR watamkubali just kwa kuwa ni Latino.
 
Mjaluo wetu anachechemea, yuko hoi bin taaban, kathibitisha maneno ya Nyani "ndivyo Tulivyo" ngoja nikamdai refund ya mchango wangu kama Kikwete na BAE!
 
hahahahaaaa...Rev. refund sahau kaka....

.....fix huyo, hakuwa ka-donate mahala popote, kwanza wamemtoa nduki kusema paka jizi kwenye ile kamati ya fweza pale kanisani kwake!! maana shavu lilikuwa linatutumka kama "mtoto wa biscuti."...shame on you Rev. Kishoka!!.
.....Rev. Kishoka, is our worst person of the dayyyyyyy, kwa kujipakazia ku-donate kwa BO while hajafanya hivyo na ufisadi wa pesa za kanisa!!!.
 


You really sound like Hillary now, an angry and bitter old white woman!
 
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? shika adabu yako!

03/24/08 CHECK CRD PURCHASE 03/20 OBAMA FOR AMERICA 312-819-2416 IL 432374XXXXXX9114 083840017087342 ?MCC=8651 091000019DA $50.00

 
You really sound like Hillary now, an angry and bitter old white woman!

kwikwikwikwikwikwi.......except for the fact that, I'm YNIM, happy and sweet young black(African-Tanzanian) man!!. what??...

I
 
Susu,

Hawa PR si wngi wao ndio walioko NY, ndiyo maana mama anajitapa. Ikiwa obama atapata japo popular votes kama 150000+ North Carolina, basi mchezo umekwisha maana mama atachechemea kwenye anga zote.

Obama atamwambia mama alete kura zake za FL na MI ajumuishe na atakufa kifo cha Mende!
 
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? shika adabu yako!

...umenichesha sana yaani kwikwikwi, ati "shika adamu yako" kwikwikwikwi, sound like my late grandma!!! LOL.
....hamna lolote, hiyo kitu umecopy/paste kwa staili ya kufoji kama ile bank statement iliyokupatia VISA ya kutinga USA!!.
....wewe ni comedian, kuanzia leo nitashika adabu yangu na adabu itanishika mie!!! asante kwa kunikumbusha.
 
...i'm sending another 100$ to Obama,Mccain lazima tukumalize na GOP wenzako maskini...mama sio factor tena habari yake kwisha sasa!
 

Angalia mwenzio Wesley Snipes kanyeshewa mvua!
 
...i'm sending another 100$ to Obama,Mccain lazima tukumalize na GOP wenzako maskini...mama sio factor tena habari yake kwisha sasa!

Koba,

Rush na wenzake wanaswali kila dini ili Mama ashinde ili wamnyuke. It is easy to tell Americans about the years of Clintons, lakini ukitaka leta kuhusu Ojwang, watapakwa rangi kuwa ni Racist!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…