US Election Coverage 2008

Jimmy Carter....the worst U.S. president ever....kwikwikwiiiii

Lol anacheza ligi moja na Dubya ama Dubya kamzidi? Alafu Edwards naona kasema akiombwa kuwa running mate atachomoa(pride na ego?).
 
Lol anacheza ligi moja na Dubya ama Dubya kamzidi? Alafu Edwards naona kasema akiombwa kuwa running mate atachomoa(pride na ego?).

Hapana bana! Dubya hayuko katika level moja na Carter. Dubya kakaa mihula miwili. Carter walimtosa baada ya muhula mmoja tu. Kwenye uchaguzi wa '80 alishinda majimbo sita tu kati ya 50. During his administration there was a creepy malaise in the American society....no wonder why he lost the way he did.
 

The thing is we have to bring in all the factors of what happened before he became the President. The same as Obama Boy, he will be inheriting a country which is in mess, it may take longer to clean a mess than to run a country, and that can bring him down like it did to Carter!
 

It didn't take long for The Greatest Communicator to restore America's respect...
 
It didn't take long for The Greatest Communicator to restore America's respect...

At least, you do not eat up Hillary's word that talk is cheap! Maana Obama is also a Great Communicator!! Unanifurahisha unapokuwa objective!
Haya tupatie habari za Haninty anasemaje? Maana baada ya Ed Rendell kuwasifia akina Fox, tumeshakuwa na uhakika ya kuwa Hillary is looking for support among the Repugs lakini she should instead strengthen the Democratic base.
 

Don't miss the show....3PM EST.
 
Niko Grand Forks, ND kikazi na bahati nzuri Sen. Obama anatarajiwa kuhutubia watu wa ND leo na Mama (Sen. Clinton) vile vile yuko mjini, kuna rumors that Oprah Winfrey naye yupo na gang ya Obama. Sen. Clinton atahutubia baada ya masaa mawili Sen. Obama kumaliza, kuanzia saa 11:00 jioni. Its crazy here in Grand Forks with Security Service na national na local Media na Police wa kawaida, I mean for a small town like this one which has never seen this much attention. I am so excited to be part of this. Much later.
 
Tax release of the Clintons:
Mpaka sasa nimeona summary tu kwenye blogs:

2000-2007 Returns
Feds Taxes Paid: $33.7 million
Charity: $10.2 million
Her Senate Salary: $1,051,606
His Presidential Pension: $1,217,250
Her Book Income: $10,457,083
His Book Income: $29,580,525
His Speech Income: $51,855,599

Lakini suala hili la kurelease Friday afternoon data muhimu hivi inachekesha, wanajua labda media itaripoti j'mosi na watu wengi hawatasikia, lakini bado watu wataendelea kufuatilia and this is just the summary, saa hizi watu wako busy wanafuatilia details, nasikia unaweza kudownload, ngoja nikaitafute even though they are highly doctored!
 
Nyani: hii wiki inaisha vibaya kwa Hillary na McCain:

Hillary: Advisor wake Mark Penn alikuwa busy anawasaidia Columbia to negotiate trade agreement, ingawa Hillary alisema she opposes it. Sasa Penn ame-apologize but after teh hysteria clinton made about NAFTA and Obama, Penn has to resign or else it will be trouble and she looses further credibility with blue collar workers.

McCain: got booed at MLK memorial ceremony na alisema it was only in the 90's that he realized the imprtance of MLK when he was 60! Until then he was busy dealing with Vietnam! Alafu mtu mweusi ndo alimshikia mwamvuli! All the wrong moves!
Mmh! hivi bado unaona kama Babu atawezana na Obama?
 

Nilijua watamzomea McCain kwani ustaarabu hawana! Watu wote hufanya makosa. Sasa mtu anapokuja na kukiri bila spin yoyote mbele yako halafu unamzomea...what does that say about you? Nijuavyo mimi Mac hategemei kura ya weusi. Sikumbuki Republican yoyote yule ktk miaka karibuni aliyewahi kupata asilimia zaidi ya kumi katika uchaguzi wa uraisi.

If anything today's booing will come back and bite them in the but in November. Unakumbuka kwenye mazishi ya Senator Paul Welstone wa MN walivyomzomea Trent Lott? Siku ya uchaguzi ilipofika watu wakampigia kura candidate wa Republican....So the booing was expected and I don't think it's an issue.
 
1.CHENNEY VOTED AGAINST MANDELA'S FREEDOM.
2.MC CAIN VOTED AGAINST MLK COMMEMORATION.
NYANI NGABU SUPPORTS THEM!THERE FORE MAKES SENSE THAT MWAFRIKA NGABU NDIO HIVYO ALIVYO!
 
1.CHENNEY VOTED AGAINST MANDELA'S FREEDOM.
2.MC CAIN VOTED AGAINST MLK COMMEMORATION.
NYANI NGABU SUPPORTS THEM!THERE FORE MAKES SENSE THAT MWAFRIKA NGABU NDIO HIVYO ALIVYO!

Unlike you I believe in forgiveness.
 
Unlike you I believe in forgiveness.
ACHA BIAS NYANI..WE SUBIRI REVERAND WRIGHT NAYE AKISHA APOLOGIZE THEN TUTAJUA UKWELI KAMA KWELI WEWE NI MTU MWENYE KUSAMEHE.. MAANA UNAONEKANA WEWE NI KAMA WALE MACHIFU WETU WA ZAMANI WALIOUZA WENZAO UTUMWANI NA NCHI KWA MKOLONI!
 
ACHA BIAS NYANI..WE SUBIRI REVERAND WRIGHT NAYE AKISHA APOLOGIZE THEN TUTAJUA UKWELI KAMA KWELI WEWE NI MTU MWENYE KUSAMEHE.. MAANA UNAONEKANA WEWE NI KAMA WALE MACHIFU WETU WA ZAMANI WALIOUZA WENZAO UTUMWANI NA NCHI KWA MKOLONI!

Oh yeah...aje tu aombe radhi kama anaamini alikosea. Mi ntamsamehe. Lakini anapoendelea kijificha haileti picha nzuri. Hapa duniani ni vyema kuwa moyo wa kusamehe kwani sote hukosea. Na hili unapingana nalo?
 
Oh yeah...aje tu aombe radhi kama anaamini alikosea. Mi ntamsamehe. Lakini anapoendelea kijificha haileti picha nzuri. Hapa duniani ni vyema kuwa moyo wa kusamehe kwani sote hukosea. Na hili unapingana nalo?
MSAMAHA NI MSAMAHA TU..ILO TUNAKUBALIANA!LAKINI PASTOR WRIGHT YEYE ILIKUWA NI VIEWS TU AMBAZO NI REALITY NA ALICHOOSE WRONG WORDS TO DELIVER WHEREAS WAKINA MC CAIN NI VITENDO VYAO VIOVU!BOTTOM LINE AKIOMBA MSAMAHA NI KWA MATAMSHI MABOVU NA SI VITENDO VIOVU!WHAT REMAIN TO BE SEEN IS IF EMPATHY WILL TAKE ITS COURSE THIS TIME AROUND!
 
Nyani, sijui Mama ana mkosi gani?
Yaani naona anazidi kupatikana katika uongo after Sniper gate sasa tumepata hospital-gate:

Sijui kwa nini mama anakuwa anaumbuka hivi wakati mshauri wake Mark Penn receives millions in payment na bado anazidi kumwumbua na wateja wake - serikali ya Columbia, sasa naona Mark Penn kapoteza mteja wake maana hakuweza kuweka wazi is he with his client or against his client? Wait which client? HIllary Clinton or Columbia? With friends like these, who needs enemies?
http://tpmelectioncentral.talkingpointsmemo.com/2008/04/colombia_fires_mark_penn.php
 
Mark Penn ameshakuwa liability ktk kampeni ya mama! anapaswa kuwa fired.....haitatokea, na hapo ndipo wakina sisi tunaona kwamba mama judgement yake ipo na shida na kwa maana hiyo hafai kuwa raisi.
 
Hiyo story ya hospitali ni honest mistake. Yeye aliambiwa na Sherriff Deputy mmoja kuwa hivyo ndivyo ilivyotokea na yeye akairudia hii story kwenye capaign stump.

Halafu usikute hiyo hospitali wanakataa tu kwa vile ni publicity mbaya kwao.
 
Hiyo story ya hospitali ni honest mistake. Yeye aliambiwa na Sherriff Deputy mmoja kuwa hivyo ndivyo ilivyotokea na yeye akairudia hii story kwenye capaign stump.

Halafu usikute hiyo hospitali wanakataa tu kwa vile ni publicity mbaya kwao.

nakubaliana na wewe!! tena waweza kuta sio hata mistake ni ukweli.....ila ndio hivyo tena, HRC camp ishageuka kama story ya MV. Bukoba! ni suala la when and where.....its a wrap!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…