TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Hizo ni biti za mbwa koko kubweka afu hang'atii
Ina maana kubwa sana ili ajuwe yupo nao au wameshamkimbia kwa tarifa yako tu kujitangaza kuwa utamsaidia U.S. kwenye hivita ni sawa na kujaribu kumeza wembe kufanya hivyo ni kukaribisha makombara ya Rocket Man kwenye anga yako!!yani huyu kila kitu allies
hahahaha
Yule ni korea siyo black wala mwarabu kama unavofikiliaTalking is cheap.. Tokea umezaliwa hadi leo hii ulishasikia na kuona wapi U.S akianza kuigonga nchi yoyote kuna mtu atajaribu kuisaidia nchi inayopigwa..? Tumeona kila mahali from Iraq, Afghanistan, Libya hakuna aliyetia mguu kuisaidia.. So acha kuwaza ujinga eti NK itasaidiwa.. Nasema kipigo kitakatifu kikianza, no one WILL EVER STEP IN TO ASSIST NK... Kiduku will face FURY and FIRE the World has never seen..!! Subiria kipigo hujawahi ona maisha yako yote NK atakachofanyiwa..!!
Hii Ligi ni Tamu kichizi.
Ila Kiduku lazima akae, watu wasioijua marekani na historia ya Dunia ndio watakaosema NK itashinda. Lakini wanaojua Dunia inaendaje Lazima waelewe kuwa USA ndio mshindi katika Vita hii
Hahaaaaa...!!! Daah mkuu,afadhali wewe umeleta la kufaa.JIPATIE ELA YA UGALI HAPA: Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!. NI RAHISI SANA JIUNGE FUATA MAELEKEZO UANZE KUPIGA ELA
US bombers have flown close to North Korea's east coast in a show of force, the Pentagon says.
The move is to demonstrate that President Donald Trump has a "range of military options to defeat any threat", spokeswoman Dana White said.
The US and North Korea have ramped up their rhetoric recently.
At the UN on Tuesday, Mr Trump said that he would "totally destroy" North Korea if the US was forced to defend itself or its allies.
Naungana nawewe mkuuIna maana kubwa sana ili ajuwe yupo nao au wameshamkimbia kwa tarifa yako tu kujitangaza kuwa utamsaidia U.S. kwenye hivita ni sawa na kujaribu kumeza wembe kufanya hivyo ni kukaribisha makombara ya Rocket Man kwenye anga yako!!
kudondoshewa kitu cha Hydrogen siyo kitu kidogo mkuu 80km zinahusika kuangamia ujuwe na madhara mengine mengi na dogo ujuwe akili zake wa Japan ndio wana zijuwa vizuri !!
muulize Ze kokuyo,
Punguza mwendo mkuu kuna kona kali mbele!!
Hasira siyo dalili nzuri au bando linakaribia kukata note siyo bando la kwenye simu!
uyo ze kokuyo, kuna kila dalili kuwa yupo vizuri apo upstair pengine pengine kushinda .....
me siyo Jecha au yule msema kweli !!
kama unavyochapwa na mumeo?U.S mchape fasta fasta kiduku... unachelewa nn.. Do it now..!! Aaaarrrgghww
kama unavyochapwa na mumeo?
Punguza mwendo mkuu kuna kona kali mbele!!
Hasira siyo dalili nzuri au bando linakaribia kukata note siyo bando la kwenye simu!
uyo ze kokuyo, kuna kila dalili kuwa yupo vizuri apo upstair pengine pengine kushinda .....
me siyo Jecha au yule msema kweli !!

Hahaha ilo bandle likipungua mahala fulani ni shidah !Kwa maneno weye, eti note sio bando la simu!![]()
Naona kashindwa kuona nondo anazotupia Kokuyo humu ndani.
Jibu murua Fundi!![]()
Hahaha ilo bandle likipungua mahala fulani ni shidah !
siri ya doctor!
Nasikia Babu kasema leo sisi watu wa jamuhuri ya korea kasikazini tusikanyage marekani !!!
ameshituka anaweza jikuta ananyongewa kimya kimya huko white house kwetu ni kazi inayowezekana !!
hahahahaha ndio tumemshanga huyu mzee anazeeka vibaya !!Haha!, ama kweli ni siri ya Doctor!
Kwa hiyo mmepigwa mkwara wa kwenda huko sio?
Lakini hata asingepiga, kwani kuna Mkorea wa kawaida anaweza ataruhusiwa na Kim kwenda U.S?
hahahahaha ndio tumemshanga huyu mzee anazeeka vibaya !!
ila ujuwe amechanganya na zake akaunganisha na dots akaona kim anaweza tuma watu wake huko marekani wakabadilisha upepo kuwa pili pili!!

mkuu anga lote lipo ndani ya target ninakuhakikishia trump hatarudisha tena hizo ndege zake hapo maaana U.S. anazijuwa akili za kim akisema amesema akili za kim wajapan wanazijuwa aliwakimbiza asubuhi alfajiri wakaacha shughuli zao za Hawa na Adam bila muafaka na kukimbilia mashimoni Ze kokuyo, analijuwa hilo!! nikujulishe tu kuwa kwa sasa Kim hazira zake zipo kiwango cha mwisho zikipita tena ni vita rasimi!!!!!!Hali inazidi kuwa ya hatar sana, watu tunashindwa kujadili (critical analysis) tunafanya reporting na kubishana.
Leo NK imesema ipo tayar kwa vita na italipoa fight bomber za us hata kama zitakuwa nje ya air space yake. Hii vita hakuna taifa litakalo muunga mkono US na wakijua fika madhara yake kwa raia wao. Kama UK amemuunga mkono china kutumia njia ya kidepromacia kutatua huu mgogoro US atajikuta pekeyake. Sehem ambazo US alikuwa anapata msaada kwa marafik zake walikuwa wanajua udhaifu wa maeneo husika na walishambulia pasipo zuru nchi zao. Kwa NK hii ni tofaut sana. Babu anavuliwa nguo mchana kweupe kabisa
Viingereza vingine ni shida kwanini tusitumie lugha yetu kiswahili adhimu.USA has showed military showcase in Korean Peninsula and it went as much closer to North Korea!!!
The deployed destroyer were the B1 Suicide Bomber escorted by F -35 the finisher !!!
Eti Mbwa Kim Jung Un sijui anataka nini!!!As( a an) international community we must come out and remove Kim family from power!!! This is a right time than never ever before!!
We need to live in our world peacefully!!! Without any intimidation!!!
Kim Must be be Assassinated by any means or Pyongyang must be destroyed to keep our world safe for our new generation.