US bombers fly close to North Korea

US bombers fly close to North Korea

Hahaaaa kesho kutwa utamsikia James Mattis anakwambia hatuna mpango wa kuishambulia N Korea
Nadhani ni muda wa kusitisha mkiwara sasa
3784f07cb5ad399b4f12d287a682f028.jpg
kwa bwana rocket man.
 
alianza na aircraft carriers tukajua analiamsha dude kumbe mbwembwe tu, na hao bombers wakirudi bila kuchafua hali ya hewa Nk, ndio itabidi kukubaliana na kiduku kuwa Trump anabwekabweka tu kama mbwa
 
Unazungumzia SAMs ambazo Israel imekua ikiziJam kila siku kule Syria.
Kiduku ana S200 km zile za Syria ambazo kila siku zinahangaishwa na F15 za miaka ya 70 sembuse Leo kuna F22,B-2,?!

historia ya wapi hiyo mkuu, embu leta hata source tuone.

Hivi hujui vita vya Korea marekani ilipiga mabomu Pyongyang yote ile mpaka wakawa wanaripoti kwamba hakuna cha kulipua tena mji wote upo udongoni.
Marekani ilirusha mabomu tani 650,000 kwenye ile vita zaidi ya mabomu yote iliyorusha kwenye vita vya pili vya dunia ambayo yalikua tani laki nne na kitu.
Theluthi ya raia wa NK waliuawa, zaidi ya watu milioni 3 waliuawa. Marekani ilibakisha sehemu ndogo tu iichukue Korea yote ile. Huyo mchina kaja kuingilia kipindi NK kashakula kichapo cha mbwa mwizi ndo majeshi ya US yakarudishwa nyuma hadi pale mpakani (DMZ). Unadhan Kim kung'ang'ania nukes ni mjinga?!,anawajua Marekani vilivyo...

Wakati wa vita vya Korea NK ilikua ishateka Korea kusini yote ikibakiza kisehemu kidogo tu iichukue SK yote, ndipo Marekani akaingia mzima mzima kumtandika NK kuanzia SK mpaka kwake tena chumbani kabisa kuanzia Pyongyang mpaka vijijini kabisa huko. Usicheze na Marekani ww... Hata vita sasa hv vikizuka huyo mchina atakuja kuingilia baadae kipindi dogo yuko hoi taabani ili kuokoa jahazi maaana mchina mwenyewe anajua shughuli ya Marekani.



huyu mzee wenu wa kindergarten anacho kitafuta atakipata!!


Mkuu vipi, naona kama vile lugha imeanza kubadilika hivi...lol!
 
Kwa hio unataka kusema, Russia walishindwa kutimiza ahadi yao ya kumsaidia Sadamu, na kumuokoa mshirika wake Iraq , pia kuviokoa visima vyake vya mafuta kwasababu ya umbali????? Sio kweli.
Ni swala la historia russia yupo karibu mno ni kama ndugu na NK

itikadi zao zinafanana toka zamani japo russia kidogo amekuwa

bepali.....na swala la kijiografia pia linachangia
 





Mkuu vipi, naona kama vile lugha imeanza kubadilika hivi...lol!
Tuna waangalia kwa karibu sana lazima mpate mnachokitaka bila shaka hamtarudia kupitisha tena hizo ndege zenu huko pwani ya north!!
 
Hii Ligi ni Tamu kichizi.


Ila Kiduku lazima akae, watu wasioijua marekani na historia ya Dunia ndio watakaosema NK itashinda. Lakini wanaojua Dunia inaendaje Lazima waelewe kuwa USA ndio mshindi katika Vita hii
mkuu U.S. amesha zeeka ndio maana Russia wamewaita watoto wa kindergarten !!
hana ubabe tena !!
kwa sasa Ubabe wa us umehamia kwenye Twitter!!
 
historia ya wapi hiyo mkuu, embu leta hata source tuone.

Hivi hujui vita vya Korea marekani ilipiga mabomu Pyongyang yote ile mpaka wakawa wanaripoti kwamba hakuna cha kulipua tena mji wote upo udongoni.
Marekani ilirusha mabomu tani 650,000 kwenye ile vita zaidi ya mabomu yote iliyorusha kwenye vita vya pili vya dunia ambayo yalikua tani laki nne na kitu.
Theluthi ya raia wa NK waliuawa, zaidi ya watu milioni 3 waliuawa. Marekani ilibakisha sehemu ndogo tu iichukue Korea yote ile. Huyo mchina kaja kuingilia kipindi NK kashakula kichapo cha mbwa mwizi ndo majeshi ya US yakarudishwa nyuma hadi pale mpakani (DMZ). Unadhan Kim kung'ang'ania nukes ni mjinga?!,anawajua Marekani vilivyo...

Wakati wa vita vya Korea NK ilikua ishateka Korea kusini yote ikibakiza kisehemu kidogo tu iichukue SK yote, ndipo Marekani akaingia mzima mzima kumtandika NK kuanzia SK mpaka kwake tena chumbani kabisa kuanzia Pyongyang mpaka vijijini kabisa huko. Usicheze na Marekani ww... Hata vita sasa hv vikizuka huyo mchina atakuja kuingilia baadae kipindi dogo yuko hoi taabani ili kuokoa jahazi maaana mchina mwenyewe anajua shughuli ya Marekani.
Hujui Kiswahili ama? Mbona ulichoandika kinaendana na nilichosema. US ilikuwa imeshaichukua NK lakini CHINA wakaja kuwasaidia na kuwarudisha nyuma, kwa maneno mengine waliwachapa hadi kwenye huyo mpaka DMZ au unadhani walirudi bila kichapo? Na kwa taarifa yako NK ni nchi pekee yenye mkataba na CHINA wakusaidiana pale mmoja wa atakapoingiliwa na adui.
 
Najua wengi tunaleta ushabik tuu, ila wana US ni watu wenye akili mno, mission zao huwa zina akili sana, kiduku atakuja chezea kichapo npaka dunia itashangaa
 
Unamfahamu huyu jamaa???
George-W-Bush.jpeg


Bush kaharibu sana lakini hajawahi kudhubutu kuisongelea N.Korea hujawahi kujiuliza ni kwanini??

Hii week haita isha N.Korea atatest bomu la nuclear la masafa marefu..... Na huu ndiyo mda wa kurusha kombora kisiwa cha Guam, halafu tuone Trump ata react vipi....

Trump anacho ofia ni jeshi lake limejaa mashoga wakienda vitani hawata rudi wataolewa na wanaume wa N.Korea....
 
Back
Top Bottom