Daniel Abed Shauri
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 259
- 172
Kwa hio unataka kusema, Russia walishindwa kutimiza ahadi yao ya kumsaidia Sadamu, na kumuokoa mshirika wake Iraq , pia kuviokoa visima vyake vya mafuta kwasababu ya umbali????? Sio kweli.Mkuu as we speak tayari silaha za kivita za russia zipo NK.
alafu kumbuka kijiographia russia na NK wapo jirani