US bombers fly close to North Korea

US bombers fly close to North Korea

Mmarekani atachapwa na itakiwa haibu.
Ukizingatia china anapiga jalamba akiwa upande wa Pyongyang.
Poyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.
 
Poyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.
Dont make noise improve your arguments

punguza kukariri unadhani ni mwarabu huyo

Russia na China wapo upande wa kiduku
 
Poyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.
Umetumia kigezo cha kumfananisha Sadam na Kim...?
 
Walio nyuma ya kiduku wengi wanafiki kama yeye mwenyewe akishindwa kusimama basi atapata msaada akiwa ameshazidiwa Sana na msaada wa kinafiki tuache porojo Russia na China Iran Nani wamewai kumsaidia mwanzo mwisho hizo nchi ni wanifiki Sana Wana urafiki wa kinafiki kinafiki kiduku ajiimalishe yeye kama yeye sio hao wanafiki
 
Dont make noise improve your arguments

punguza kukariri unadhani ni mwarabu huyo

Russia na China wapo upande wa kiduku
Mzee soma nembo za product nyingi hata hizi iPhone tunazo tumia zimeandikwa assembled in China made in america mchina hana ubunifu uchumi na maendeleo yake ya kisayansi ni yakuiga tunaita vertical progress anakua kwa kuendeleza kilichopo na nikutoka marekani na kusimama kwa China kunatokna na financial support kubwa kutoka marekani so hawezi kua upande wa Korea maana marekani itamuwekea vikwazo vya kiuchumi
 
USA has showed military showcase in Korean Peninsula and it went as much closer to North Korea!!!
The deployed destroyer were the B1 Suicide Bomber escorted by F -35 the finisher !!!
Eti Mbwa Kim Jung Un sijui anataka nini!!! As a an international community we must come out and remove Kim family from power!!! This is a right time than never ever before!!
We need to live in our world peacefully!!! Without any intimidation!!!
Kim Must be be Assassinated by any means or Pyongyang must be destroyed to keep our world safe for our new generation.
 
USA has showed military showcase in Korean Peninsula and it went as much closer to North Korea!!!
The deployed destroyer were the B1 Suicide Bomber escorted by F -35 the finisher !!!
Eti Mbwa Kim Jung Un sijui anataka nini!!! As a an international community we must come out and remove Kim family from power!!! This is a right time than never ever before!!
We need to live in our world peacefully!!! Without any intimidation!!!
Kim Must be be Assassinated by any means or Pyongyang must be destroyed to keep our world safe for our new generation.
Hiyo International community ni akina nani. Kim jong yupo kwake anajilinda. Wewe na hao mashoga mnadai eti our world ni mashoga na wewe nenda ukaolewe
 
USA has showed military showcase in Korean Peninsula and it went as much closer to North Korea!!!
The deployed destroyer were the B1 Suicide Bomber escorted by F -35 the finisher !!!
Eti Mbwa Kim Jung Un sijui anataka nini!!! As a an international community we must come out and remove Kim family from power!!! This is a right time than never ever before!!
We need to live in our world peacefully!!! Without any intimidation!!!
Kim Must be be Assassinated by any means or Pyongyang must be destroyed to keep our world safe for our new generation.
Ni kawaida ya mashoga
 
Hiyo International community ni akina nani. Kim jong yupo kwake anajilinda. Wewe na hao mashoga mnadai eti our world ni mashoga na wewe nenda ukaolewe
Anajilinda au anatishia amani majirani? USA should pulverize huyu mkora once and for all.
 
Technology sasa kila nchi wanayo sio siri tena.
Sleeping agent kila nchi wanawatumia
Kama ni elimu inafuatwa kila mahali.

Hivi karibuni manowari za kivita za USA ziligongana na meli zingine, wengi walishangaa na kusema itakuwaje Marekani na maarifa yote hayo.

Watajiuliza sana lakini ukweli ni kwamba mataifa mengi kama China na Russia, Iran, Pakistan, India wako vizuri pia.

China wamemvuruga sana
8c1b7c0a4d94b22f3696451061871966.jpg
80f76105691e41e0a3590a1e98a6f155.jpg
 
Anajilinda au anatishia amani majirani? USA should pulverize huyu mkora once and for all.
Oh na sie ma hydrogen ,long range missiles na makombora yote tunayaelekezea south Korea na Japan tutatawageuza into ashes tuone nani atapata

Kama mbwai na iwe mbwai ,..hujiulizi tu kwanini USA anabaki kubweka na Kim kuchezea sharubu
 
hivyo vi-tiara unadhani vinamuagopesha nani? labda waarabu wangeogopa.
 
Back
Top Bottom