US bombers fly close to North Korea

US bombers fly close to North Korea

mara ya kwanza alipeleka
submarine kwenye rasi ya korea kapigwa bit kazitoa safari kaleta ndege hahahaha US bwana
 
mimi nashindwa kumuelewa donad trump kwa ubabe wake kwanini hataki kunya pale ili kinuke
 
nchi zote alizopiga iran ,iraq,afganstan nk nadhani zilikua hazina uwezo wa kuipiga marekani moja kwa moja sasa hiii ni changamoto nyingine.
 
Nothing new has ever done by Uncle Sam (USA) since the eruption of this political conflict , it has been always about military mighty show-off with No military action /engaigement . if USA was a military mighty nation as in most cases claimed to be it would have done this long time ago it is more than 2 years now .What did they do with Carl Vinson (navy carrier) ,perhaps they have turned into a sailing boat US Army is the thuggish and coward army .something that most of the people do not realize , Uncle Sam is scared to death when hearing these 2 words North Korea /Kim Jong Un
 
Ur in nightmare.. Marekani ilienda Syria kupigana vita? Lini? Hujui kabisa kumbe ww..
Marekani alikwenda Syria kumuondoa Bashaar. Na kuweka kibaraka wake madarakani. Na kama ilivyo kawaida yake huwa hathubutu kupigana peke yake. Alianzisha vikundi ndani na jirani ya Syria ili kumsaidia.

Kwa kiasi kikubwa alikuwa anaelekea kufanikiwa. Hadi pale alipoingia mrussia. Mambo yakabadilika. Wakati mwanzo marekani alikuwa akibembelezwa wakae meza moja na Bashaar,kwa kiburi akawa hataki. Leo yeye ndio anaomba meza ya mazungumzo.

Kama kuna vita Marekani kapigana peke yake akashinda,basi vita hiyo itakuwa imepiganwa Hollywood. Kwenye movie.

Kumbuka marekani kazi yake ni kudondosha mabomu kwenye majengo na kuyateketeza. Lakini mashoga wake anaowaita makomandoo wakigusa vita vya aridhini hukiona cha moto kama kule Somalia.
Na NK wameapa hawatakuwa wanyonge tena. Ni kweli wamarekani wanauwezo wa kuwateketeza ila watateketea wrote.
 
Daaaa,......kuna jamaa humu anaitwa ze kokuyo ni bonge la kilaza aisee ....
Yy ni ushabiki tu kwenda mbele
 
Yani sijui unawaza nini,kabisa marekani apigwe na huyu mtoto...fikiria tena mkuu...marekani mtu mwingne
Mkuu huijui North Korea au umeijua baada ya kusikia chokochoko anazofanya ukadhani America ni wababe zaidi eh? Tafuta history yao ujue.
 
Poyoyo kweli Wewe, hata Saddam mlimsifia hivi hivi, Leo yuko wapi?
China imeshamwokoa nani kijeshi na kiuchumi? Mugabe alipowekewa vikwazo akakimbilia China, je alipata nafuu?
Tatizo mmejaa ushabiki bila fact.
**Hivi unaweza kujitukana mwenyewe alafu ukawa na jazba/hasira sawa km umetukanwa na mtu mwingine?

Kijana wangu (naona unajiita POYOYO nakuongeza jina lingine POPOMA usilete sinema kwenye uhalisia wewe, kumbe mnadandia habari without search behind eh !.

Kwanza inatakiwa ujue/ujifunze kujua vita ya kiuchumi, vita ya kiutawala na vita ya kibabe nk, usiniletee takataka za kina Mugabe kwenye hii kitu ya North Korea na American kijana.
 
Daaaa,......kuna jamaa humu anaitwa ze kokuyo ni bonge la kilaza aisee ....
Yy ni ushabiki tu kwenda mbele
Nasikia kapewa kazi ya kumsafishia choo Dotard, maana jamaa ana uharo pindi akisikia Kiduku akiliamsha dude ktk anga la Japan.
 
Daaaa,......kuna jamaa humu anaitwa ze kokuyo ni bonge la kilaza aisee ....
Yy ni ushabiki tu kwenda mbele
Punguza mwendo mkuu kuna kona kali mbele!!
Hasira siyo dalili nzuri au bando linakaribia kukata note siyo bando la kwenye simu!
uyo ze kokuyo, kuna kila dalili kuwa yupo vizuri apo upstair pengine pengine kushinda .....
me siyo Jecha au yule msema kweli !!
 
Back
Top Bottom