fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,542
Mzee kim halali yupo na binocular ana angalia juu ya anga ole wenu mpite tena amesema atamnyoga mtu atakaye kosea target maana yatatumwa makombora 30 kwa kila ndege moja huko ma ICBM yakiwa kwenye submarine !!Eti upepo kuwa pili pili lakini wewe!
Na hizi kauli zao za hivi karibuni hopefully hawatashtukiziana.
