Serikali ndio watu wa kwanza tuwalaumu na wanakosesha nchi mapato Kwa kuandaa sera mbovu zilizopitwa na wakati na serikali huwarudisha nyuma kimaendeleo Kwa kuweka viwango vibovu vya kodi na mianya ya Rushwa na kubaki kudandia kila kitu Kwa kukurupuka, angalia mfano calculator ya TRA kwenye magari yanayotoka nje kuja ndani yaani nchi haitengenezi hayo magari lakini kodi inakua maradufu hio ndio tunaita wanabaki kudandia tu bila kufikiria, Kwa mfano ruhusu watu waagize magari, walipe ushuru kiasi huku ukizingatia mazingira na uelewe wengi wakiwa na vyombo vya moto utauza mafuta mengi na vipuri hapo mzunguko utakuepo