Ushauri: Serikali badilisheni kodi kwenye usafiri kwa manufaa ya umma

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,753
Mimi napenda kutoa mawazo baada ya utafiti na huu hapa ni utafiti wangu wa usafiri.

Kwanza nianze kueleza hali ya sasa ya pato la basi mmoja kama mfano kutoka Dodoma kwenda Dar. Hili halijazingatia gharama za gari kama mikopo, registration , bima..... na mengineyo

Haya ndiyo makadirio ya ukweli kwa sasa wamiliki badala ya kulipa 18% wanapewa makadirio ambayo ni 1% na pesa zinaishia kwa madalali na hongo mbali mbali
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Hongo kwa Polisi 10,000 kwa siku: 520,000
  4. Makadirio ya kodi kwa mwaka mkadiriaji wa TRA anakula 100,000 kwenye hii: 500,000
  5. Matengenezo ya gari :6,000,000
  6. Dalali 5%: 2,000,000
  7. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,980,000
Utaratibu ambao ni mzuri fanyeni hivi.
  1. Kwanza punguzeni kodi za nauli kutoka 18% mpaka 10%
  2. Ticket zote ziwe za electronic hivyo kodi mtapata moja kwa moja.
  3. Madalali hawana sababu ya kuwepo
  4. Toeni mtindo wa makadirio maana kwa mfumo haina sababu
Mahesabu yatakuwa hivi
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Makadirio ya kodi kwa mwaka: 4,000,000
  4. Matengenezo ya gari :6,000,000
  5. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,000,000
Wamiliki watapata karibu Tsh 1M pungufu lakini serikali itapata wastani wa Tsh 3.5M zaidi na usumbufu utapungua. Angalieni mfano wa Luku zamani watu walikuwa wanaenda Tanesco kulipa na pesa zilibaki kuliwa na wafanyakazi lakini mfumo wa kulipa na kununua kwa electronic umebadilisha hilo. Serikali ikiweka kodi ndogo ambayo inaendana na hali halisi sio tu wataongeza kipato watasaidia wafanyabiashara kuondokana na hongo za Polisi, madalali na kuondoa ajali na usumbufu ambao hauna msingi.
 
Una hoja za msingi usikilizwe na wahusika wachuke hatua haraka. Ila hii ni iwapo figure zako ulizoweka hapa ni za kweli, japo Nina wasiwasi na figure zako.
 
Ajiri muhasibu akupie hesabu za ‘service costing per mile’ kama ni ya biashara ya usafirishaji ujenge hoja zinazoeleweka.

Hakuna hesabu za kibiashara hapo, trust me, zaidi ya vitu unavyotoa kichwani kwako tu (au hesabu za uelewa wako mdogo wa kibiashara).

Ni malalamiko tu yasiyo na kichwa wala miguu, kama yalivyo ya watanzania wengi; ambao hesabu zao za biashara na uelewa wao maswala ya kodi ni mdogo mno.

Ndio ukweli wenyewe
 
Mimi napenda kutoa mawazo baada ya utafiti na huu hapa ni utafiti wangu wa usafiri.

Kwanza nianze kueleza hali ya sasa ya pato la basi mmoja kama mfano kutoka Dodoma kwenda Dar. Hili halijazingatia gharama za gari kama mikopo, registration , bima..... na mengineyo

Haya ndiyo makadirio ya ukweli kwa sasa wamiliki badala ya kulipa 18% wanapewa makadirio ambayo ni 1% na pesa zinaishia kwa madalali na hongo mbali mbali
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Hongo kwa Polisi 10,000 kwa siku: 520,000
  4. Makadirio ya kodi kwa mwaka mkadiriaji wa TRA anakula 100,000 kwenye hii: 500,000
  5. Matengenezo ya gari :6,000,000
  6. Dalali 5%: 2,000,000
  7. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,980,000
Utaratibu ambao ni mzuri fanyeni hivi.
  1. Kwanza punguzeni kodi za nauli kutoka 18% mpaka 10%
  2. Ticket zote ziwe za electronic hivyo kodi mtapata moja kwa moja.
  3. Madalali hawana sababu ya kuwepo
  4. Toeni mtindo wa makadirio maana kwa mfumo haina sababu
Mahesabu yatakuwa hivi
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Makadirio ya kodi kwa mwaka: 4,000,000
  4. Matengenezo ya gari :6,000,000
  5. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,000,000
Wamiliki watapata karibu Tsh 1M pungufu lakini serikali itapata wastani wa Tsh 3.5M zaidi na usumbufu utapungua. Angalieni mfano wa Luku zamani watu walikuwa wanaenda Tanesco kulipa na pesa zilibaki kuliwa na wafanyakazi lakini mfumo wa kulipa na kununua kwa electronic umebadilisha hilo. Serikali ikiweka kodi ndogo ambayo inaendana na hali halisi sio tu wataongeza kipato watasaidia wafanyabiashara kuondokana na hongo za Polisi, madalali na kuondoa ajali na usumbufu ambao hauna msingi.
Hongo, nenda TAKUKURU
 
Hongo, nenda TAKUKURU
Shida ya watanzia ina anzia hapa.

Unakuta mtu anaandika ujinga mtupu, hakuna hesabu zozote za kibiashara kwenye malalamiko yake and yet he can found an audience to cheer his nonsense and give him/her likes.

The nonsense is beyond.

Lazima muambiwe ukweli

Mimi sasa hivi nitakuwa nawapa ukweli tu.

Hiyo post ni ujinga, hakuna hesabu za biashara hapo.

Ujinga mtupu.

Na yeyote anaempa like ana support ujinga.

The nonsense is beyond me
 
Ajiri muhasibu akupie hesabu za ‘service costing per mile’ kama ni ya biashara ya usafirishaji ujenge hoja zinazoeleweka.

Hakuna hesabu za kibiashara hapo, trust me, zaidi ya vitu unavyotoa kichwani kwako tu (au hesabu za uelewa wako mdogo wa kibiashara).

Ni malalamiko tu yasiyo na kichwa wala miguu, kama yalivyo ya watanzania wengi; ambao hesabu zao za biashara na uelewa wao maswala ya kodi ni mdogo mno.

Ndio ukweli wenyewe
Hiyo ni hoja yake na kama unaona ni upuuzi unayohaki nawe kuweka hoja yako badala ya kumkashifu, nasubiri hoja zako.
 
Hiyo ni hoja yake na kama unaona ni upuuzi unayohaki nawe kuweka hoja yako badala ya kumkashifu, nasubiri hoja zako.
Nimeshaeleza unahitaji kupiga kwanza hesabu za service costing.

Costs ambazo hajagusia (to get average mile costs) tuone uhalali wa hoja zake independently.

Hakuna figures hapo za kupigia hesabu malalamiko ya hoja zake, zaidi ya figures za kijinga tu.

Yes atapewa like kwen kwenye jukwaa hili, but factual kaandika ujinga mtupu.

Ndio ukweli wenyewe, kwenye dunia ya hesabu za biashara, hayo malalamiko yake kwa figures alizotoa ni ujinga.

Is that how you do service costing on transportation business (ujinga mtupu).

I don’t care kuna wasaa ni kuwatwanga tu, kusoma ujinga nako kunatosha.
 
Mimi napenda kutoa mawazo baada ya utafiti na huu hapa ni utafiti wangu wa usafiri.

Kwanza nianze kueleza hali ya sasa ya pato la basi mmoja kama mfano kutoka Dodoma kwenda Dar. Hili halijazingatia gharama za gari kama mikopo, registration , bima..... na mengineyo

Haya ndiyo makadirio ya ukweli kwa sasa wamiliki badala ya kulipa 18% wanapewa makadirio ambayo ni 1% na pesa zinaishia kwa madalali na hongo mbali mbali
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Hongo kwa Polisi 10,000 kwa siku: 520,000
  4. Makadirio ya kodi kwa mwaka mkadiriaji wa TRA anakula 100,000 kwenye hii: 500,000
  5. Matengenezo ya gari :6,000,000
  6. Dalali 5%: 2,000,000
  7. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,980,000
Utaratibu ambao ni mzuri fanyeni hivi.
  1. Kwanza punguzeni kodi za nauli kutoka 18% mpaka 10%
  2. Ticket zote ziwe za electronic hivyo kodi mtapata moja kwa moja.
  3. Madalali hawana sababu ya kuwepo
  4. Toeni mtindo wa makadirio maana kwa mfumo haina sababu
Mahesabu yatakuwa hivi
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Makadirio ya kodi kwa mwaka: 4,000,000
  4. Matengenezo ya gari :6,000,000
  5. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,000,000
Wamiliki watapata karibu Tsh 1M pungufu lakini serikali itapata wastani wa Tsh 3.5M zaidi na usumbufu utapungua. Angalieni mfano wa Luku zamani watu walikuwa wanaenda Tanesco kulipa na pesa zilibaki kuliwa na wafanyakazi lakini mfumo wa kulipa na kununua kwa electronic umebadilisha hilo. Serikali ikiweka kodi ndogo ambayo inaendana na hali halisi sio tu wataongeza kipato watasaidia wafanyabiashara kuondokana na hongo za Polisi, madalali na kuondoa ajali na usumbufu ambao hauna msingi.
Uchambuzi mzuri sana, hongera mkuu.
 
Nimeshaeleza unahitaji kupiga kwanza hesabu za service costing.

Costs ambazo hajagusia (to get average mile costs) tuone uhalali wa hoja zake independently.

Hakuna figures hapo za kupigia hesabu malalamiko ya hoja zake, zaidi ya figures za kijinga tu.

Yes atapewa like kwen kwenye jukwaa hili, but factual kaandika ujinga mtupu.

Ndio ukweli wenyewe, kwenye dunia ya hesabu za biashara, hayo malalamiko yake kwa figures alizotoa ni ujinga.

Is that how you do service costing on transportation business (ujinga mtupu).

I don’t care kuna wasaa ni kuwatwanga tu, kusoma ujinga nako kunatosha.
Muda ulioutumia ungeutumia kuweka mahesabu yako, weka hesabu mbadala ili tuzifananishe.
 
Shida ya watanzia ina anzia hapa.

Unakuta mtu anaandika ujinga mtupu, hakuna hesabu zozote za kibiashara kwenye malalamiko yake and yet he can found an audience to cheer his nonsense and give him/her likes.

The nonsense is beyond.

Lazima muambiwe ukweli

Mimi sasa hivi nitakuwa nawapa ukweli tu.

Hiyo post ni ujinga, hakuna hesabu za biashara hapo.

Ujinga mtupu.

Na yeyote anaempa like ana support ujinga.

The nonsense is beyond me
Mkuu kama hukubaliani na hoja au mahesabu yake ni sawa na ni uhuru wako, ila usiwapangie wengine cha kufanya dhidi ya hoja na mahesabu yake. Heshimu uhuru wa wenzako.

Pili, kwa uungwana ungeonesha uelewa na umahiri wako kwenye eneo hilo kwa kuainisha ama kukokotoa mahesabu sahihi kama unavyodhani ili kutuonyesha na kutuelimisha jinsi mtoa hoja alivyokosea!

Tatu, mtoa hoja kasema kafanya utafiti japo ni mdogo na kaishauri serikali vizuri nama ya kuongeza mapato na wakati huo namna ya kuondoa usumbufu kwa wafanya biashara.

Nne, wewe huja sema wa kufanya chochote chanya kwa pande zote mbili zaidi ya kumshambulia mtoa hoja kiasi kwamba tunatilia shaka usomi wako unaojinadi nao kwenye hoja hii.

Mkuu nikukumbushe kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti, weka utafiti wako hapa, acha janja janja!

NO research no right to speak!
 
Mkuu kama hukubaliani na hoja au mahesabu yake ni sawa ila usiwapangie wengine cha kufanya dhidi ya hoja na mahesabu yake.

Pili, ungeuonesha uelewa na umahiri wako kwenye eneo hilo kwa kuainisha ama kukokotoa mahesabu sahihi kama unavyodhani ili kutuonyesha jinsi alivyokosea.

Mkuu yeye kasema kafanywa utafiti na kaishauri serikali nama ya kuongeza mapato na kuondoa usumbufu kwa wafanya biashara. Wewe hujafanya chochote kwa pande zote mbili zaidi ya kumshambulia kiasi kutilia shaka usomi unaojinadi nao.

Mkuu nikukumbushe utafiti hupingwa kwa utafiti, weka utafiti wako hapa, acha janja janja!

NO research no right to speak!
Tulia poyoyo wewe nilikuwa nawaangalia Suns v Washington; nipo juu juu jeifu kujibu ujinga.

Vinginevyo akili za watanzania kama za serikali yao kuunganisha taasisi mbili za kibiashara bila kufuata kanuni za acquisition and consolidation accounts nani aanze kurudisha hela mapema (akili za Bashe na jinsi wanavyomdhulumu ‘bi tozo’ hela za walipa kodi).

Sijapata kuona muungano wa taasisi za kibiashara wa hovyo kama tulivyofanya ni wizi mtupu wa hela na upotefu wa hela za serikali; but hiyo ni story nyingine.

Now wacha nitoe somo la ‘service costing ya hesabu za usafirishaji’ on the next post.
 
Tulia poyoyo wewe nilikuwa nawaangalia Suns v Washington; nipo juu juu jeifu kujibu ujinga.

Vinginevyo akili za watanzania kama za serikali yao kuunganisha taasisi mbili za kibiashara bila kufuata kanuni za acquisition and consolidation accounts nani aanze kurudisha hela mapema (akili za Bashe na jinsi wanavyomdhulumu ‘bi tozo’ hela za walipa kodi).

Sijapata kuona muungano wa taasisi za kibiashara wa hovyo kama tulivyofanya ni wizi mtupu wa hela na upotefu wa hela za serikali; but hiyo ni story nyingine.

Now wacha nitoe somo la ‘service costing ya hesabu za usafirishaji’ on the next post.
Mkuu hoja hapa ni biashara ya usafiri wa basi, jinsi ya kuondoa usumbufu kwa Wamiliki na kuongeza mapato kwa serikali.

Mkuu wewe mwenyewe umesema mtoa hoja kaandika ujinga, naomba uanishe ujinga wake kwa kutumia utaalam wako ambao umejinasibu nao hapa!

Mkuu acha kutukana watu na serikali hao hawajatoa hoja hii, acha kurukia mambo yasiohusika na hoja hii!

Tulia mkuu kabisa na jikite kwenye hoja hii ya msingi iliyopo mezani!
 
Hesabu za biashara ya bus zipo hivi

Mind you some figures won’t be accurate, kwa sababu mimi naishi kijijini na sijui hesabu zenu za mishahara ya mijini. But then if you are clever you’ll get the idea.

Mwanzo

Piga hesabu kwa mwaka gari litatembea kilometres ngapi kwa trip na week za mwaka (zidisha upate mileage za mwaka).

Toa siku ambazo unadhani hesabu gari litapunzika. Kwenye hesabu zako za mwaka.

Toa siku ambazo unadhani gani linatakiwa kufanyiwa scheduled maintance.

…….hard to do it kwenye hii forum without kutumia excel na figures zingine to get mile costs.

Hila main post ni ujinga mtupu na mimi muda wangu wa kupumzika umefika.

Just hire an accountant wakuwafanyia hesabu za service costing kupata mile costs.

Hila kwa figure hizo za mada, hakuna hesabu za biashara kwa ujumla hapo zaidi ya ujinga tu; hata mkimpa likes mia. Mnatabia ya kusifiana ujinga.

👋
 
Mkuu hoja hapa ni biashara ya usafiri wa basi, jinsi ya kuondoa usumbufu kwa Wamiliki na kuongeza mapato kwa serikali.

Mkuu wewe mwenyewe umesema mtoa hoja kaandika ujinga, naomba uanishe ujinga wake kwa kutumia utaalam wako ambao umejinasibu nao hapa!

Mkuu acha kutukana watu na serikali hao hawajatoa hoja hii, acha kurukia mambo yasiohusika na hoja hii!

Tulia mkuu kabisa na jikite kwenye hoja hii ya msingi iliyopo mezani!
Nahitaji costs luluki hili nikupigie hesabu, including bei ya bus (maana annual
depreciation costs zimo), licence costs za route, gharama za marataili, mishahara ya madereva, wapo wangapi, overtime pay, holiday zao, relief drivers, fuel price, servicing, admin costs. Insurance costs;on top of that I am tired.

Jumlisha na gharama za malalamiko yako (that’s why people learn accounts, hire them wakugipie hizo hesabu za service costing).

Hila kwa huyo bwana alichoandika, hakuna hesabu za biashara hapo zaidi ya ujinga; ndio ukweli wenyewe.

👋
 
Mimi napenda kutoa mawazo baada ya utafiti na huu hapa ni utafiti wangu wa usafiri.

Kwanza nianze kueleza hali ya sasa ya pato la basi mmoja kama mfano kutoka Dodoma kwenda Dar. Hili halijazingatia gharama za gari kama mikopo, registration , bima..... na mengineyo

Haya ndiyo makadirio ya ukweli kwa sasa wamiliki badala ya kulipa 18% wanapewa makadirio ambayo ni 1% na pesa zinaishia kwa madalali na hongo mbali mbali
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Hongo kwa Polisi 10,000 kwa siku: 520,000
  4. Makadirio ya kodi kwa mwaka mkadiriaji wa TRA anakula 100,000 kwenye hii: 500,000
  5. Matengenezo ya gari :6,000,000
  6. Dalali 5%: 2,000,000
  7. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,980,000
Utaratibu ambao ni mzuri fanyeni hivi.
  1. Kwanza punguzeni kodi za nauli kutoka 18% mpaka 10%
  2. Ticket zote ziwe za electronic hivyo kodi mtapata moja kwa moja.
  3. Madalali hawana sababu ya kuwepo
  4. Toeni mtindo wa makadirio maana kwa mfumo haina sababu
Mahesabu yatakuwa hivi
  1. Namba ya safari kwa mwaka 260 (Kwenda na kuridi tumehesabu kama safari moja)
  2. Mapato kwa mwaka: 40,000,000
  3. Makadirio ya kodi kwa mwaka: 4,000,000
  4. Matengenezo ya gari :6,000,000
  5. Pato baada ya matumizi: Tsh 30,000,000
Wamiliki watapata karibu Tsh 1M pungufu lakini serikali itapata wastani wa Tsh 3.5M zaidi na usumbufu utapungua. Angalieni mfano wa Luku zamani watu walikuwa wanaenda Tanesco kulipa na pesa zilibaki kuliwa na wafanyakazi lakini mfumo wa kulipa na kununua kwa electronic umebadilisha hilo. Serikali ikiweka kodi ndogo ambayo inaendana na hali halisi sio tu wataongeza kipato watasaidia wafanyabiashara kuondokana na hongo za Polisi, madalali na kuondoa ajali na usumbufu ambao hauna msingi.
Wewe unafanya biashara ya magari au kondakta???
 
Hesabu za biashara ya bus zipo hivi

Mind you some figures won’t be accurate, kwa sababu mimi naishi kijijini na sijui hesabu zenu za mishahara ya mijini. But then if you are clever you’ll get the idea.

Mwanzo

Piga hesabu kwa mwaka gari litatembea kilometres ngapi kwa trip na week za mwaka (zidisha upate mileage za mwaka).

Toa siku ambazo unadhani hesabu gari litapunzika. Kwenye hesabu zako za mwaka.

Toa siku ambazo unadhani gani linatakiwa kufanyiwa scheduled maintance.

…….hard to do it kwenye hii forum without kutumia excel na figures zingine to get mile costs.

Hila main post ni ujinga mtupu na mimi muda wangu wa kupumzika umefika.

Just hire an accountant wakuwafanyia hesabu za service costing kupata mile costs.

Hila kwa figure hizo za mada, hakuna hesabu za biashara kwa ujumla hapo zaidi ya ujinga tu; hata mkimpa likes mia. Mnatabia ya kusifiana ujinga.

👋
Mkuu uko vizuri, ukisha pumzika tummalizie tu mchanganuo, malizia mkeka, tupate kuelimika.
 
Back
Top Bottom